Hilo suala la vocha huwa linaniumiza kichwa kwamba jambazi ameenda kufanya tukio anafika pale anaongeza kwanza muda wa maongezi anaendelea kufanya uhalifu Tanzania ya maajabu.Hivi kuna watu bado hawaamini kama sheria ya mitandao inafanya' majambazi wenyewe sikuhizi hawatumii cm wanakutana kimya kimya wanafanya yao wanaondoka alafu wanaokota kavocha kaliko tumika kanatupwa eneo la tukio police wakianza upelelezi wanaokota kale kavocha anakamatwa mtu alie katumia anaenda ozea jela wao wanapeta tu' tuwe makini jamani zama zimebadilika.