Morogoro ni kama imerogwa

Watanzania mshakariri maendeleo ni barabara za lami
 
Zile hoteli (sio hoteli hata ila sehemu ya kuchimba dawa na kula chochote)ambapo mabasi yote yanayopita hiyo barabara yanapenda kusimama pale njiani bado zipo vilevile au walishaboresha? Maana hata jina sikumbuki panaitwaje..
 
Acha wivu wa kike nawewe kajenge kijijini kwenu.
 
Acha wivu wa kike nawewe kajenge kijijini kwenu.

Moshi pale kwenye Boma tuna nyumba 3. Moja imepangishwa. Moja iko wazi na moja ndio anakaa Mama Mkubwa. Na yuko mwenyewe na dada wa kazi.

Tuna family tree ndogo.

Alaf Unajenga nyumba kule nani akae. Tushajenga mjini. Kule tutarud kuzikwa.
 
Baada ya miaka 7 Morogoro itazidiwa na Mlowo, nipo Mlowo njooni
 
Hapo juu imetajwa Morogoro, Moshi gafla Tanga!
Kiujumla semeni tz yote, acheni rejareja 😎

Ukiacha Dsm.
Kuna miji pia TZ maendeleo yana kasi.

Mfano Dodoma , Mwanza, Arusha na miji kama Kahama.
Hii nimeshuhudia binafsi.
As years goes by. Maana nimepita miji hiyo 2010 na nikarud kwa wakat tofaut miaka ya 2020's.
 
Morogoro sehemu gani unakopitia wewe?

Tuseme hata lami ya Kihonda-veta inayoelekea SGR hujaiona?

Vipi ile inayopita Tubuyu_Tungi? Na ile ya mafiga, Tumbaku_Kichangani hadi area 5?
 
Mwingine alikuja akasema JIJI LA MBEYA NI LIKIJIJI LIKUUBWAAA LILILO CHANGAMKAAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…