VURUGU zilizuka nje ya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro kufuatia kahaba mmoja kumchapa makofi mlemavu wa miguu, Godlack Schone, 33, akimdai shilingi elfu 60 za ‘malipo' ya huduma ya mapenzi aliyompa kwa usiku kucha.
Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita mjini hapa na kuwalazimisha baadhi ya wafanyakazi wa mjengo huo kumjia juu changudoa huyo kwa kitendo cha kumpiga mlemavu mbele ya kadamnasi.
Paparazi wetu alifika fasta eneo la tukio, lakini katika mazingira yasiyokuwa ya kawaida, changu huyo baada ya kumuona alitimua mbio kwa kutokea mlango wa uani wa ofisi hiyo.
Akisimulia tukio hilo, karani mmoja wa ofisi hiyo anayefanya kazi upande wa utawala alisema chanzo cha ugomvi huo ni kahaba huyo kudai ‘haki' yake baada ya kumpa ‘huduma' ya mahaba Schone.
CHANZO: GUMZO LA JIJI
Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita mjini hapa na kuwalazimisha baadhi ya wafanyakazi wa mjengo huo kumjia juu changudoa huyo kwa kitendo cha kumpiga mlemavu mbele ya kadamnasi.
Paparazi wetu alifika fasta eneo la tukio, lakini katika mazingira yasiyokuwa ya kawaida, changu huyo baada ya kumuona alitimua mbio kwa kutokea mlango wa uani wa ofisi hiyo.
Akisimulia tukio hilo, karani mmoja wa ofisi hiyo anayefanya kazi upande wa utawala alisema chanzo cha ugomvi huo ni kahaba huyo kudai ‘haki' yake baada ya kumpa ‘huduma' ya mahaba Schone.
CHANZO: GUMZO LA JIJI