Sultan Kipingo
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 238
- 179
Mtu mmoja ameuawa na wananchi wenye hasira kali akidhaniwa kuwa ni popobawa.
Anadaiwa kuwa amekuwa akiwaingilia kimwili watu kimazingara.
Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro athibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Chanzo: Tbc Taifa
Anadaiwa kuwa amekuwa akiwaingilia kimwili watu kimazingara.
Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro athibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Chanzo: Tbc Taifa