David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 3,628
- 8,658
Inaonyesha ni jinsi gani wa TZ tulivyokuwa na IQ ndogo watu wanaua tu bila hata kuhoji.1. Watafiti waliuawa kule Dodoma wakidhaniwa kuwa ni mumiani.
2. Huyu anauawa Morogoro akidhaniwa ni popobawa
3. Jamaa aliuawa kwa kupigwa pale Msimbazi akidhaniwa kuwa ni mwizi
4. Kuna yule mwanafunzi alipigwa na aliuawa posta akidhaniwa kuwa kibaka.
Unaweza kuona ni kama kitu rahisi na habari isiyo na uzito kwa kuwa wanaofikwa na "dhana" hizi za kijinga ni watu wa mbali......
Inafikia hatua mpaka mtu unaenda kazini ukiomba mungu akutangulie