Morocco imeshinda, haki imeshinda

Morocco imeshinda, haki imeshinda

Ulivyosema Morocco imeshinda, haki imeshinda tayari ushaeleweka.
Mnavyo comment comment kwa mitandao mkafkiri watu hawatoenda uwanjani ? KIMEWAUMA SANA uwanja tumejaza na October tuna ✅
Kwani wewe hauoni Morocco ameshinda? Wewe hauoni haki imeshinda? Nikiangalia anayeumia hapa ni wewe na wenzako wa aina yako ambao hamjifunzi kutoingiza siasa kwenye michezo.
 
Leo si kiingilio bure? Stars imeshinda ngapi?
Wanajidanganya wenyewe halafu wanadhani kila mtu amedanganyika. Aibu ya karne ilikuwa inawanyemelea leo wakaona wafanye fungulia mbwa ila watu walikuwa kama wapo msibani.
 
Mkijaza uwanja na kutiki ili mjichague, hao wanaofurahia Tanzania leo kufungwa wanapata shida gani?
Kujichagua una maana gani?.

Ama ulitaka mimi CCM nikachague wa CHADEMA ?

Kwani sisi tukijichagua tutapata shida gani ?
 
Kenya kesho tunaandamana kwann tutolewe kwa matuta
 
Hii timu ni nzuri ila kuna mambo ya kipuuzi yaliingizwa kujitukuza kisiasa na kidini, tulionya mkiingiza siasa na udini timu haitafika mbali. Hii timu ni ya watanzania wote mkome kushadidia siasa na udini kwenye timu ya taifa
 
Ilikuwa halali stars ifungwe we bandeji gani ile aliyofungwa kagoma
Kafungwa solotape. Timu haina hata daktari ile.

Kuna siku niliona mchezaji kaumia katolewa nje, daktari hata hakumgusa, kamwangalia kwa jicho kali akamwambia arudi kucheza. Timu mbofu, benchi bofu, hamasa za hovyo za kudandia treni kwa mbele.
 
Hii timu ni nzuri ila kuna mambo ya kipuuzi yaliingizwa kujitukuza kisiasa na kidini, tulionya mkiingiza siasa na udini timu haitafika mbali. Hii timu ni ya watanzania wote mkome kushadidia siasa na udini kwenye timu ya taifa
Hamna timu pale ila mengine nakubaliana na wewe. Tunawaambia kila siku waiache timu icheze hawasikii.

Timu ikishuka kiwango wanapotea, ghafla ikifanya vizuri wanatokea vichochoroni, hamasa zao zinakuja na laana timu inafungwa wanapotea tena.
 
Back
Top Bottom