DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,470
- Thread starter
- #21
Kwani wewe hauoni Morocco ameshinda? Wewe hauoni haki imeshinda? Nikiangalia anayeumia hapa ni wewe na wenzako wa aina yako ambao hamjifunzi kutoingiza siasa kwenye michezo.Ulivyosema Morocco imeshinda, haki imeshinda tayari ushaeleweka.
Mnavyo comment comment kwa mitandao mkafkiri watu hawatoenda uwanjani ? KIMEWAUMA SANA uwanja tumejaza na October tuna ✅