DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,470
- Thread starter
- #41
Mungu ni wetu sote ila watatafuta pengine pa kuzitumbua.Kodi zetu zimepumua
Mungu ni wetu sote ila watatafuta pengine pa kuzitumbua.Kodi zetu zimepumua
Nimefurahi sana timu ya wapemba kufungwa leo. Hivi hawa makocha tuliopewa na chawa wa sa100 waliwahi kutwaa kombe gani?Hongera sana kwa wana haki wowote pale nchini Tanzania.
Leo ilikuwa ni Haki vs Dhulma na uonevu.
Upuuzi na ushamba umeshindwa ila endeleeni kukaza mafuvu.
mda naangalia mpira nilivyoangalia bandeji ya kagoma nimecheka sanaKafungwa solotape. Timu haina hata daktari ile.
Kuna siku niliona mchezaji kaumia katolewa nje, daktari hata hakumgusa, kamwangalia kwa jicho kali akamwambia arudi kucheza. Timu mbofu, benchi bofu, hamasa za hovyo za kudandia treni kwa mbele.
Halafu hawa ndiyo walienda kufanya maandalizi ya mashindano Misri sijui wapi kule. Hii nchi ina ujinga mwingi sanamda naangalia mpira nilivyoangalia bandeji ya kagoma nimecheka sana
😁😁😁😁😁 kunywa biaaa kisha enjoy kwa ushindiMy ribs 😆😆😆😆
Watu walikuwa wanaingia firiiMmeona Uwanja ulivyofulika?
Nyie kaeni mnanuna nuna kwenye mitandao tutawaonesha jinsi tutavyofurika kupiga kura October
Na Sisi tutashinda baada ya kudumisha haki,na amaniHongera sana kwa wana haki popote pale nchini Tanzania.
Leo ilikuwa ni Haki vs Dhulma na uonevu.
Upuuzi na ushamba umeshindwa ila endeleeni kukaza mafuvu.
Hatari sanaKimataifa ndiyo uwezo halisi wa mtanzania unaonekana. Huko hakuna kudanganyana.
Ndani tunafanyana wajinga halafu tukienda nje tunategemea miujiza ituonyeshe tuna uwezo.
Then waliunganishe na INEC na CCM ili ushindi uwe asilimia miaKwa nini lisingeunganishwa li waya kutoka pale TFF mpaka uwanjani?
MUNGU yupo kazini 🙏Hongera sana kwa wana haki popote pale nchini Tanzania.
Leo ilikuwa ni Haki vs Dhulma na uonevu.
Upuuzi na ushamba umeshindwa ila endeleeni kukaza mafuvu.
Ndiyo kawaida ya Nyumbu kufurika mahala pamojaMmeona Uwanja ulivyofulika?
Nyie kaeni mnanuna nuna kwenye mitandao tutawaonesha jinsi tutavyofurika kupiga kura October
🤣Timu ya mama.. Wangepeleka Polisi waibe matokeo ya Morocco
😂😂Kwa masikitiko makubwa nimeumia sana yani sisi wakufungwa moja kweli hii haki jamani??????
Kmmk 🤣🤣🙌Leo watoto WA mama wamepelekewa moto sana😆View attachment 3449554
Umefurika wapi? Unajua kiingilio kilikuwa shilingi ngapi weweMmeona Uwanja ulivyofulika?
Nyie kaeni mnanuna nuna kwenye mitandao tutawaonesha jinsi tutavyofurika kupiga kura October
Timu ya mama yao imetolewaKipigo kizuri moroco hakuna kujichosha kuiipiga stars wanaocheza papatu papatu .. hatulazimishani mapenzi