T Tafakuru Member Dec 9, 2011 83 33 Sep 2, 2012 #1 Wadau, nnaskiaga kuna kitu kinaitwa morning pills kwa wanawake. Naomba kujua matumizi yake na upatikanaji wake. Ni swali kwa wanaojua na elimu kwa wasiojua kama mimi
Wadau, nnaskiaga kuna kitu kinaitwa morning pills kwa wanawake. Naomba kujua matumizi yake na upatikanaji wake. Ni swali kwa wanaojua na elimu kwa wasiojua kama mimi
Dark City JF-Expert Member Oct 18, 2008 16,253 11,598 Sep 2, 2012 #2 Ukienda ofisi yoyote ya UMATI na baadhi ya Pharmacy za Dar utapata hizo pills...Wengi wanaziita morning after pills. Ni emergency contraceptives ambazo mwanamke ambaye amefanya unsafe sex anaweza kuzitumia ndani ya masaa 72 kumkinga asipate mimba. Watu wanaopinga utoaji mimba wanazipinga sana kwani zinazuia mimba iliyokwishatungwa kukua. UNAWEZA KUSOMA ZAIDI HAPA Babu DC!!
Ukienda ofisi yoyote ya UMATI na baadhi ya Pharmacy za Dar utapata hizo pills...Wengi wanaziita morning after pills. Ni emergency contraceptives ambazo mwanamke ambaye amefanya unsafe sex anaweza kuzitumia ndani ya masaa 72 kumkinga asipate mimba. Watu wanaopinga utoaji mimba wanazipinga sana kwani zinazuia mimba iliyokwishatungwa kukua. UNAWEZA KUSOMA ZAIDI HAPA Babu DC!!