Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,316
Kwa wale wataalam wa Danc Hall hii kitu ni Club benga moja hatari sana,unabambia hadi asubuhi,Mond is very flexible anafeat popote pale hata kwenye mdumange
bila samahaningoma sio kali. samahani lakini
utaitwa hater's sasa hivi ... ngoja misukule yake ijeSasa diamond mbona mashairi yake ni yaleyale tu ya ngono mara kata mauno,mara chuma mboga..pathetic
Sasa diamond mbona mashairi yake ni yaleyale tu ya ngono mara kata mauno,mara chuma mboga..pathetic
mashairi yako mapya yako wap😬😬Sasa diamond mbona mashairi yake ni yaleyale tu ya ngono mara kata mauno,mara chuma mboga..pathetic
Mashairi gani kwani mimi ni msanii??..mashairi yako mapya yako wap
Jamaa wewe bwana!,Kila atayetoa comment inayoendana kinyume Na wcb unatoa povu kweli!Sasa unataka akuelemishe ??
Jamaa wewe bwana!,Kila atayetoa comment inayoendana kinyume Na wcb unatoa povu kweli!
nitake radhi Mkuu!Jamaa wewe bwana!,Kila atayetoa comment inayoendana kinyume Na wcb unatoa povu kweli!