Ulitaka niimalizeje kwani mkuu? Au ulitaka niendelee kuhusu kipi alikutana nacho baada ya after life?
Baadae pia alipigwa chini na huyo Mke wake mpya badaa ya kuanza kufirisika,na Mke kubeba kila kitu na kurudi kwa bwana wake wa zamani!! Hapo vp!?Ulitaka niimalizeje kwani mkuu? Au ulitaka niendelee kuhusu kipi alikutana nacho baada ya after life?
kuna kipande uliposoma nilikuwa sijapost soma tena
Wanaume msiwe na papara mkipata pesa.Funzo
Nimeisummerize mkuu iwe short ndiyo maana
Nimekusoma Mkuu nimekiona hicho kipande cha mwisho! Kweli pesa yako mwenyewe ndiyo inakua hivivi! Jamani tukiwa na pesa tunatakiwa tuwe wapole sana,Kama vile hakuna jipya ili tuishi kwa amani!Soma tena hukumaliza kusoma mkuu soma tena kuna kipande hukusoma
Hapana.Baadae pia alipigwa chini na huyo Mke wake mpya badaa ya kuanza kufirisika,na Mke kubeba kila kitu na kurudi kwa bwana wake wa zamani!! Hapo vp!?
.Asante ntalifanyia kazi mkuu