Haka ni kalasti boni kangu ka kike... basi huwa kila nikijifungia chumbani na wife kanakuja kanagonga mlango kwa nguvu huku kana shout moom..mooom r u okay. ?
Hehehe hapo nakua sina ujanja mzee mzima inabidi nitoke tu, naenda kujipooza na kesto barridiii.
Hehehe hapo nakua sina ujanja mzee mzima inabidi nitoke tu, naenda kujipooza na kesto barridiii.