Moom..moom.. r u okay?

sarikoki

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
1,194
721
Haka ni kalasti boni kangu ka kike... basi huwa kila nikijifungia chumbani na wife kanakuja kanagonga mlango kwa nguvu huku kana shout moom..mooom r u okay. ?
Hehehe hapo nakua sina ujanja mzee mzima inabidi nitoke tu, naenda kujipooza na kesto barridiii.
 
mkuu hebu tafuta njia nzuri ya kumuintatain huyu last born ili akupen faragha na mkeo. kwani dada/kaka zake wanafanya nini? ama wewe cd umezoea za ngono tu za katuni hununui? acha hizo bana nunua dora the mermaids uone kama atanyanyuka kwenye kochi.
 
mkuu hebu tafuta njia nzuri ya kumuintatain huyu last born ili akupen faragha na mkeo. kwani dada/kaka zake wanafanya nini? ama wewe cd umezoea za ngono tu za katuni hununui? acha hizo bana nunua dora the mermaids uone kama atanyanyuka kwenye kochi.

Hehehe.. ni ka lasti boni.. alafu nikiwa home hakaniachia aisee.... kwa kweli kanatupenda sana.. hayo madume hayanashida hata nisiporudi hata hayaulizi ulikua wapi.. yenyewe DSTV ikiisha ndo utayasikia.
 
Kama kanasumbua sana home, mnatakiwa mtoke out na mkeo yapo siku za weekend mnachukua chumba hoteli siku nzima ya mashambulizi tuu.
 
Badilisha ratiba ya mechi. Tegea kamelala ndio mjinafasi. Najua ni ngumu kuvumilia lakini hamna jinsi, at least kwa sasa.
 
Hehehe.. ni ka lasti boni.. alafu nikiwa home hakaniachia aisee.... kwa kweli kanatupenda sana.. hayo madume hayanashida hata nisiporudi hata hayaulizi ulikua wapi.. yenyewe DSTV ikiisha ndo utayasikia.
sasa mkuu mbona hii ni rahisi ingia kwa rum wakati waena kulala waaga wanao waambie leo najiskia vibaya msinisumbue eeh! mwambie kaka mtu mwekeen katuni mtoto nataka nilale kidogo na sitak usumbufu swa eeh unamuaga kwa amani ila hakikisha mama anapoingia hakamuoni ukisha funga mlango kwisha abari yake
 
Kweli kwenda sweet escape ni sawa, kumnunulia mtoto educative cartoon ni sawa pia (hiyo ya kumpa capcol mmhh???) ila ushauri wangu huu hapa: fanyeni hivo kwa kujifurahisha au kwa kumfurahisha mtoto na sio kwa kumkimbia.
Msimkimbie mtoto, don't sedate her, msimpumbaze na ma-cartoon. kaeni nae chini mumweleze kua you need space. tell her that the world does not evolve around her and that sometimes there is family time, sometimes her mum or you have time just for her but sometimes you and her mum need your own time and she must not interfere with that time. Mnapoenda kujifungia mnamwambia kabisa good night, it's pap and mom time now. baadae mkiwa nae mnakumbushia kua you are having family time. Ni muhimu ajue kua kila mtu ana nafasi yake katika maisha yenu.
 
sasa mkuu mbona hii ni rahisi ingia kwa rum wakati waena kulala waaga wanao waambie leo najiskia vibaya msinisumbue eeh! mwambie kaka mtu mwekeen katuni mtoto nataka nilale kidogo na sitak usumbufu swa eeh unamuaga kwa amani ila hakikisha mama anapoingia hakamuoni ukisha funga mlango kwisha abari yake

tatizo mtoto anasikia makelele ndio maana anakuja kucheck kama mama yuko fine.
 
Kweli kwenda sweet escape ni sawa, kumnunulia mtoto educative cartoon ni sawa pia (hiyo ya kumpa capcol mmhh???) ila ushauri wangu huu hapa: fanyeni hivo kwa kujifurahisha au kwa kumfurahisha mtoto na sio kwa kumkimbia.
Msimkimbie mtoto, don't sedate her, msimpumbaze na ma-cartoon. kaeni nae chini mumweleze kua you need space. tell her that the world does not evolve around her and that sometimes there is family time, sometimes her mum or you have time just for her but sometimes you and her mum need your own time and she must not interfere with that time. Mnapoenda kujifungia mnamwambia kabisa good night, it's pap and mom time now. baadae mkiwa nae mnakumbushia kua you are having family time. Ni muhimu ajue kua kila mtu ana nafasi yake katika maisha yenu.
dah sidhani kama yafaa kumwambia hivyo mtoto bora wampotezee kiaina tu hiyo ya pap an mom time imekaa kidhungu sana
 
dah sidhani kama yafaa kumwambia hivyo mtoto bora wampotezee kiaina tu hiyo ya pap an mom time imekaa kidhungu sana

Hawamwambii wanaenda kufanya nini, wamwambie tu kua they need some space. the lil girl is interfering in their sexual life. Ni sawa na pale unapomwambia mtoto mdogo hatakiwi kuingia katika maongezi ya watu wakubwa, she needs to wait hadi ukimaliza ndio aongee. In the same patient way wanaweza kumwambia kua sasa wanahitaji kua pamoja na asubiri hadi baadae tena watakua nae. Usimdanganye mtoto, anajenga a wrong picture na baadae inakua tena kazi ya kumwelewesha.
 
Haka ni kalasti boni kangu ka kike... basi huwa kila nikijifungia chumbani na wife kanakuja kanagonga mlango kwa nguvu huku kana shout moom..mooom r u okay. ?
Hehehe hapo nakua sina ujanja mzee mzima inabidi nitoke tu, naenda kujipooza na kesto barridiii.

Eti ni mpangaji vile? Hako katoto iko siku alijitia kulala na akaona jinsi mnavyohangaika lakini akabaini kuwa moomy anatowa sauti ya idhilali akahisi unamuonea.

Nakumbuka ulinikumba mkasa huo wakati nilipokuwa kaboy (wakati ule tulikuwa hivyo tena) nilimsikia mwanamke analizwa na kaka yangu na ilibidi nitoke chumbani kukimbia kesi!
 
Haka ni kalasti boni kangu ka kike... basi huwa kila nikijifungia chumbani na wife kanakuja kanagonga mlango kwa nguvu huku kana shout moom..mooom r u okay. ?
Hehehe hapo nakua sina ujanja mzee mzima inabidi nitoke tu, naenda kujipooza na kesto barridiii.

:biggrin1: siku nyingine kape ka wine hivi ili kalewe kakalale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom