siku zote magufuli amekuwa akifanya kazi nzuri lazima apongezwe. Hata ile kashfa ya nyumba za serikali ilishinikizwa na mkapa na sumaye na yeye akaona achukue japo nyumba moja.
pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu kama chuki na visasi.....john pombe magufuli ni mchapakaziii..siku zote magufuli amekuwa akifanya kazi nzuri lazima apongezwe. Hata ile kashfa ya nyumba za serikali ilishinikizwa na mkapa na sumaye na yeye akaona achukue japo nyumba moja.
Hivi mpango ulianza baada ya Magufuli kuwa waziri wa wizara hii? Tuache kutoa credit zisizo na uhakika. Huu mpango ulianza tangia enzi za Mzee MKAPA wakati magufuli hayuko wizara hiyo. Ni sasa tu tunaanza 'kuonyeshwa" matunda yake....
omarilyas
....Nimekaa nikafikiria kwa upande mwingine wa shilingi......Roho itasuuzika sana nikiona mheshimiwa Rais akipeana mikono kwa "job well done" na watuwatakaowaburuza na kuwaegesha pale "magogoni" wezi wa rasilimali zetu za taifa.
Magufuli ni dume kama Mrema tu; hata umpeleke ambako wewe unadhani hakuna kazi ya kufanya, atapata kazi ya kufanya tu.
Tungekuwa na mawaziri kama hawa hata kumi tu, tungekuwa tunasogea mbele.
Kwenye kazi ni matendo, longo longo zingine hazitusaidii kabisa. Hongera mkuu Magufuli.
Kuna watu watasagia lakini ukiwauliza wao wamefanya nini? Hakuna cha maana!
Hebu tueleze amefanya kitu gani ? yaani mnakuwa kama mmelogwa au ndio wapiga debe ? Tuone samaki washuke bei ,hamna uwezo wa kuvua maji makubwa watu wanavua mnapiga makelele mnaibiwa, habari yenyewe uzushi mtupu ,maana wanaandika wamewakamata watu hata hawaelewi lugha wanayozungumza ,mara unaona kuna mmoja anaitwa Kombo sijui mwengine Ilenoi yaani ndani ya meli mna vibaka kibao wanatoa ushahidi.
Kazi gani mnasifu ,watu wanakwiba ng'ombe na kuvuka nao mipaka ,jamani hakuna hata bahari ni open land mnaenda kukamatiwa kimeli kibovu kina samaki tani tano mnasifu tumeua tembo kumbe nguluwe nchanga.Shahidi anasema kuna mimeli kibao tena mimeli ya kazi haya ndani ya wiki au mwezi tuone hizo nazo zimekamatwa.Kimeli kibovu tu ata rada hazifanyi kazi ,maana sijafahamu rada ya meli nyengine ilikuwa inawasaidiaje wao wakati kwenye bahari meli unaiona kwenye horizon ikitokeza mlingoti tu,na nyie mnalocate vitu vingine kwa kutumia rada yenu ,yaani wanapandikiza uongo na mijamaa inaona kazi kubwa wamefanya kweli wadanganyika hatuelewi hata tunapopakiwa.
.....bwana nani hii ni vigumu sana kutokea,kumbuka Pombe alipelekwa kule kama adhabu fulani hivi...hata kama mafanikio haya ni majumuisho ya tija mbaliX2,Pombe ana kila sababu binafsi ya kufurahi.it just proofs that when you are good U'r good,no matter the environment one is subjected to.
**pombe delivered on Ground,he's doin it on Water,i'm sure he can do the same on Air!!
Sam ,
Mimi wala sitaudhunika hata kidogo wakimwondoa huyo Magufuli . Ni nani asiyefahamu ya kuwa yeye ndiye aliye kuwa architect wa kuuza nyumba za serikali kwa bei ya chini kabisa pale oysterbay ? Ni nani asiyejua mpango wake wa kunya'nganya walala hoi viwanja vyao !
Mimi nikiwa mmoja wa victim wa policy mbovu za huyu bwana nitafurahi sana kama wanamtandao watamwondoa !