Monifere - Nyimbo Bora ya Bongo Flava kwa Sasa

Monifere - Nyimbo Bora ya Bongo Flava kwa Sasa

Bado Niponipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2008
Posts
680
Reaction score
168
MONIFERE by GOZBY ft VANESSA MDEE & JUX

Kwangu mimi wimbo huu unaweza kuchezwa popote Africa, nilipousikia mara ya kwanza (last weekend nikiwa Botwana) sikujua kama ni bongo flava. Kama hujawahi kuusikia basi pata nafasi hiyo kwenye link hapo chini, ni wimbo mzuri kwa kweli.

Monifere by Gosby - HulkShare
 
Hiyo ngoma ni kali sana aisee, hao vijana walitulia kweli kweli, asante kwa link nilikuwa naitafuta sana hii kitu, naisikia sana redioni nadhani ni brand new hit song

Monifere my babyyy!!!! safi sana hiyo
 
Hiyo ngoma ni kali sana aisee, hao vijana walitulia kweli kweli, asante kwa link nilikuwa naitafuta sana hii kitu, naisikia sana redioni nadhani ni brand new hit song

Monifere my babyyy!!!! safi sana hiyo

Karibu Mkuu, mimi baada ya kuusikia basi ilinibidi niingie mtandaoni kuushusha, nikagundua ni wimbo mpya una one week tu
 
Cheza cheza bila kukunja goti, Kutoka kwa AY, Na yenyewe naikubali sana...
 
Cheza Cheza bila kukunja goti...AY n Mwana FA
 
Wimbo hauna Quality nzuri-audio, ngoja niutafute sehemu nyingine
 
Goma la kinyamwezi sana,,mtoto Vanessa kachana kama ameambiwa baada ya hapo hatochana tena milele..
 
Back
Top Bottom