Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 825
- 847
Wakuu habari yenu!
Kwanza niseme sijaanzisha huu Uzi kwa lengo La kupromote au kuponda biashara ya MTU. Mimi binafsi nahitaji kujua Yale ambayo siyajui kama tujuavyo JF ni pana na ina kila aina ya watu!
Katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii , kupitia mtandao Wa Facebook nilikutana na post ya kijana mwenzetu anaitwa Herry Samir Sovi (hilo ndo jina analotumia Fb) akitoa fursa kwa vijana ambao ni wasanii chipukizi kujiunga na chama kinachoitwa Money is Power , wakishajiunga yeye Herry Samir Sovi atawasaidia kuwafikisha mbali kimuziki.
Post ilinivutia japo Mimi sio mwanamziki, nikaamua kumfatilia vizuri kwa timeline yake nijue anafanya kazi gani hadi ajitoe kuwasaidia vijana wenzake. Nilichokiona kwenye Timeline yake ni picha za shuhuda mbalimbali za watu kutoka mikoa mbalimbali hapa Tanzania wakimshukuru kwa kuyabadili maisha yao kupitia chama cha Money is Power.
Baadhi ya watu waliuliza kupitia comments , money is power ni nini? Swali halijibiwi kwenye comment bali Walikuwa wanapewa namba wawasiliane WhatsApp kupata maelezo kuhusu Money is power,
Nikachukua namba nikamcheki whatsapp bhana Herry Samir Sovi nilichoambiwa kwa kifupi ni hivi;
°Money is power ni chama kilichoanzishwa uingereza miaka ya 70. Kwa hapa Tanzania kina miaka 15 sasa tangu kiingie.
°kwa mujibu wa ye mwenyewe Herry Samir Sovi ni mzaliwa Wa Kigoma alikuwa muuza viatu soko la kariakoo, siku moja alikuja mzungu kununua viatu kwake, yule mzungu baada ya kuona hali anayopitia bhana Herry katika utafutaji Wa maisha aliguswa sana akaamua kumshirikisha habari za hiki chama cha MP .
°Herry kwa woga na mashaka (kishingo upande) akaamua kujiunga huku akilini mwake akijua ni chama cha kutoa kafara kama ilivyo kwa vyama vingine vya utoaji kafara. Lakini hali haikuwa hivyo , mwanzoni ndugu zake walimtenga baada ya maisha yake kubadilika ghafla , ndugu waliamini jamaa amejiunga na vyama vya utoaji kafara .
°Money is power ni chama cha mafanikio ambacho ukijiunga wanakupa Tsh million 100, Wanakununulia nyumba popote utakapochagua,na pia unapewa usafiri gari aina ya BMW mpya.
°Ni chama ambacho hakitoi kafara na sio Freemason
°Kujiunga inabidi ununue vifaa flani hivi (nimesahau) kwenye maduka ya waarabu , cost haizidi Laki moja inategemea na mkoa uliopo.
Baada ya kununua hivyo vifaa utapewa form ukishajaza unapata gari BMW , Tsh million 100, na nyumba bure. Hizo Pesa unatumia kadri uwezavyo.
°Chama kinaofisi kila mkoa hapa Tanzania.
°Chama hakichagua dini,kabila,wala kipato cha MTU yeyote anaruhusiwa kujiunga kikubwa anunue hivyo vifaa.
Nilitamani sana kuona kilichoandikwa kwenye form ila niliambiwa huwezi kupewa form bila kununua hivyo vifaa.
Nikiangalia testimonies za watu kwenye page yake ya Facebook wanamshukuru sana na wanatamani Tanzania ingepata vijana kama bhana Herry Samir Sovi ingekuwa mbali sana kiuchumi.
YEYOTE ANAYEJUA MORE DETAILS JUU YA HIKI CHAMA TAFADHALI ATUJUZE .
Nimeweka picha hapo chini ni testimonies za watu mbalimbali wakimshukuru bhana Herry Samir Sovi..
Kwanza niseme sijaanzisha huu Uzi kwa lengo La kupromote au kuponda biashara ya MTU. Mimi binafsi nahitaji kujua Yale ambayo siyajui kama tujuavyo JF ni pana na ina kila aina ya watu!
Katika pitapita zangu kwenye mitandao ya kijamii , kupitia mtandao Wa Facebook nilikutana na post ya kijana mwenzetu anaitwa Herry Samir Sovi (hilo ndo jina analotumia Fb) akitoa fursa kwa vijana ambao ni wasanii chipukizi kujiunga na chama kinachoitwa Money is Power , wakishajiunga yeye Herry Samir Sovi atawasaidia kuwafikisha mbali kimuziki.
Post ilinivutia japo Mimi sio mwanamziki, nikaamua kumfatilia vizuri kwa timeline yake nijue anafanya kazi gani hadi ajitoe kuwasaidia vijana wenzake. Nilichokiona kwenye Timeline yake ni picha za shuhuda mbalimbali za watu kutoka mikoa mbalimbali hapa Tanzania wakimshukuru kwa kuyabadili maisha yao kupitia chama cha Money is Power.
Baadhi ya watu waliuliza kupitia comments , money is power ni nini? Swali halijibiwi kwenye comment bali Walikuwa wanapewa namba wawasiliane WhatsApp kupata maelezo kuhusu Money is power,
Nikachukua namba nikamcheki whatsapp bhana Herry Samir Sovi nilichoambiwa kwa kifupi ni hivi;
°Money is power ni chama kilichoanzishwa uingereza miaka ya 70. Kwa hapa Tanzania kina miaka 15 sasa tangu kiingie.
°kwa mujibu wa ye mwenyewe Herry Samir Sovi ni mzaliwa Wa Kigoma alikuwa muuza viatu soko la kariakoo, siku moja alikuja mzungu kununua viatu kwake, yule mzungu baada ya kuona hali anayopitia bhana Herry katika utafutaji Wa maisha aliguswa sana akaamua kumshirikisha habari za hiki chama cha MP .
°Herry kwa woga na mashaka (kishingo upande) akaamua kujiunga huku akilini mwake akijua ni chama cha kutoa kafara kama ilivyo kwa vyama vingine vya utoaji kafara. Lakini hali haikuwa hivyo , mwanzoni ndugu zake walimtenga baada ya maisha yake kubadilika ghafla , ndugu waliamini jamaa amejiunga na vyama vya utoaji kafara .
°Money is power ni chama cha mafanikio ambacho ukijiunga wanakupa Tsh million 100, Wanakununulia nyumba popote utakapochagua,na pia unapewa usafiri gari aina ya BMW mpya.
°Ni chama ambacho hakitoi kafara na sio Freemason
°Kujiunga inabidi ununue vifaa flani hivi (nimesahau) kwenye maduka ya waarabu , cost haizidi Laki moja inategemea na mkoa uliopo.
Baada ya kununua hivyo vifaa utapewa form ukishajaza unapata gari BMW , Tsh million 100, na nyumba bure. Hizo Pesa unatumia kadri uwezavyo.
°Chama kinaofisi kila mkoa hapa Tanzania.
°Chama hakichagua dini,kabila,wala kipato cha MTU yeyote anaruhusiwa kujiunga kikubwa anunue hivyo vifaa.
Nilitamani sana kuona kilichoandikwa kwenye form ila niliambiwa huwezi kupewa form bila kununua hivyo vifaa.
Nikiangalia testimonies za watu kwenye page yake ya Facebook wanamshukuru sana na wanatamani Tanzania ingepata vijana kama bhana Herry Samir Sovi ingekuwa mbali sana kiuchumi.
YEYOTE ANAYEJUA MORE DETAILS JUU YA HIKI CHAMA TAFADHALI ATUJUZE .
Nimeweka picha hapo chini ni testimonies za watu mbalimbali wakimshukuru bhana Herry Samir Sovi..
Attachments
-
IMG_20180318_180758_369.JPG97.2 KB · Views: 182
-
IMG_20180318_180901_538.JPG121.6 KB · Views: 158
-
IMG_20180318_180925_902.JPG92.4 KB · Views: 149
-
IMG_20180318_180937_492.JPG108.2 KB · Views: 149
-
IMG_20180318_180954_262.JPG91.2 KB · Views: 134
-
IMG_20180318_181004_765.JPG122.9 KB · Views: 132
-
IMG_20180318_181018_346.JPG92.3 KB · Views: 136
-
IMG_20180318_181029_191.JPG80.5 KB · Views: 132
-
IMG_20180318_181046_976.JPG87.2 KB · Views: 136
-
IMG_20180318_181105_262.JPG81.1 KB · Views: 119
-
IMG_20180318_181156_021.JPG102.8 KB · Views: 126
-
IMG_20180318_181239_428.JPG82.7 KB · Views: 124
-
IMG_20180318_181221_789.JPG78.1 KB · Views: 129
-
IMG_20180318_181255_250.JPG106.7 KB · Views: 124
-
IMG_20180318_181206_917.JPG111.2 KB · Views: 127
-
IMG_20180318_181306_702.JPG99.1 KB · Views: 129
-
IMG_20180318_181318_032.JPG77.6 KB · Views: 143