Money is evil.

pappilon

JF-Expert Member
Jan 27, 2015
3,192
3,556
*Money is evil ?*

*Jamaa mmoja karudi mapema kutoka Kazini mpole!*

*MKEWE: Vipi leo mbona mapema na mpole hivyo?*

*MUME: Ofisi yetu imeungua Moto na watu wote wamekufa.*

*MKEWE: Sasa ilikuwaje wewe ukapona?*

*MUME: Nilikuwa chooni, nje kidogo na ofisi.*

*MKEWE: Loh maskini familia zao zitakuwaje?*

*MUME: Watalipwa milioni 200 kila mfiwa.*

*MKEWE: Akahamaki kwa hasira,"Ona sasa kunyakunya kwako ovyo umetukosesha mihela yote!! Hebu rudi huko kabla moto haujazimika* ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom