pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,556
*Money is evil ?*
*Jamaa mmoja karudi mapema kutoka Kazini mpole!*
*MKEWE: Vipi leo mbona mapema na mpole hivyo?*
*MUME: Ofisi yetu imeungua Moto na watu wote wamekufa.*
*MKEWE: Sasa ilikuwaje wewe ukapona?*
*MUME: Nilikuwa chooni, nje kidogo na ofisi.*
*MKEWE: Loh maskini familia zao zitakuwaje?*
*MUME: Watalipwa milioni 200 kila mfiwa.*
*MKEWE: Akahamaki kwa hasira,"Ona sasa kunyakunya kwako ovyo umetukosesha mihela yote!! Hebu rudi huko kabla moto haujazimika* ...
*Jamaa mmoja karudi mapema kutoka Kazini mpole!*
*MKEWE: Vipi leo mbona mapema na mpole hivyo?*
*MUME: Ofisi yetu imeungua Moto na watu wote wamekufa.*
*MKEWE: Sasa ilikuwaje wewe ukapona?*
*MUME: Nilikuwa chooni, nje kidogo na ofisi.*
*MKEWE: Loh maskini familia zao zitakuwaje?*
*MUME: Watalipwa milioni 200 kila mfiwa.*
*MKEWE: Akahamaki kwa hasira,"Ona sasa kunyakunya kwako ovyo umetukosesha mihela yote!! Hebu rudi huko kabla moto haujazimika* ...