zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,855
Kumekuwa na mitazamo kadhaa wa kadhaa kwa sasa katika jamii kuhusu mahusiano na wengi wamekuwa wakisema pesa Ina nguvu Sana katika mapenzi.
Wengi wanaamini kuwa pasipo kuwa na Pesa kwa sasa huwezi kuyafurahia mapenzi utakuwa Kama mwizi aliyeiba naye akaibiwa kariakoo.
Bila Pesa utasikia wanasema huwezi pata mpenzi la hasha. Hata ukimpata mpenzi mapenzi yenu hayawezi dumu ni Kama kujisumbua
Wanawake wa sasa ni Pesa tu. Piga kazi utafute pesa upate penzi ufurahie lakini imani yangu ni kuwa mapenzi ni hisia za kweli kwa mwenza. Pesa inaweza kuwa kigezo cha kupata penzi.
Wengi wanaamini kuwa pasipo kuwa na Pesa kwa sasa huwezi kuyafurahia mapenzi utakuwa Kama mwizi aliyeiba naye akaibiwa kariakoo.
Bila Pesa utasikia wanasema huwezi pata mpenzi la hasha. Hata ukimpata mpenzi mapenzi yenu hayawezi dumu ni Kama kujisumbua
Wanawake wa sasa ni Pesa tu. Piga kazi utafute pesa upate penzi ufurahie lakini imani yangu ni kuwa mapenzi ni hisia za kweli kwa mwenza. Pesa inaweza kuwa kigezo cha kupata penzi.

