MONDULI CCM: Ni upuuzi mtupu

MONDULI CCM: Ni upuuzi mtupu

Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.


Ungejiuliza swali moja.
Kwanini wafuwasi wa Lowasa hawakuhama chama kipindi cha nyuma lowasa alipokuwa akigombea uraisi?
Je! ni kwanini kipindi hiki ndio wafuasi wa Lowasa ndio wariact?

Pia nmsome mkuu Swadataa


Hoja ni kukiuka taratibu, kanuni na maadili ya chama kuwapata wagombea. Je mleta mada hvyo vilizingatiwa? Wafuasi wa watia nia uliyowataja ndio 'hamnazo' maana hamwezi mkafumbia uchafu uliyojitokeza. Waliyo na maskio wamesikia na wameihama CCM.
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.

Unachojitoa ufahamu wewe ni kuwa hao wanaohama wanapinga kukiukwa kwa taratibu za kumpata mgombea kwa mujibu wa kanuni za chama!
CCM hakuna uwazi na watia nia wote hawana uhakika Wa taratibu gani zitatumika kuwaengua!
 
Usianze kupotosha ukweli. CCM inakufa kibudu. Hakuna cha ukabila wala ukanda. Mwisho wa uonevu wa ccm umefika. Bado endelea kuangalia muvi hadi iishe
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.

Hhahahaaa hili nalo neno
 
sie watu wa mbeya .baada ya kutoswa mwandosya bila sababu tulizitupia chooni kadi za magamba
 
Vijana wa ccm sijuwi akili wanapelekaga wapi!!?
 
Na wale wanaokosoa uteuzi Wa ccm Wakati ni makada Wa ccm ni vema wakarudisha kadi pia wakaenda chadema mapema kuliko kulalamika mitaani. Urais si fadhila kwamba Mtu aliyetumia fedha nyingi kushawishi watu wampende au wajitokeze kutangaza nia ndo apewe urais. LA hasha urais ni zaidi ya hapo.
Duh una hasira! Katika siasa ndugu yangu unatakiwa uwe na uvumilivu. Hata wewe kuna siku utakereeka na ukipendacho ukafanya maamuzi ambayo wengine watasema hivihivi unavyosema. Ushauti ni kupenda kwa kiasi na kunena kwa kiasi. Hao wanaohama siyo kwa sababu tu ya mtu wao kuavhwa bali pia wana protest uvunjigu wa taratibu au haki. Kumbuka haki siyo itendeke bali ionekane inatendeka.
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.

Mnasubiri nini sasa? Kigoma walitoka na Zitto pia. Na wengine waliokatwa mtoke pia.
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.

Wewe ni popoma!. Lembeli, nae ni mmasai?. Hao wakina Nchimbi na wengine walio kosoa utaratibu uliotumika kumpata mgombea wa ccm nao ni wakaskazini?.

Ficha aibu yako.
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.

Kuna limasai moja hapa kazini...limepandishwa cheo sasa imekuwa taabu kweli....amejaza wamasai wenzake mpaka wafagiaji...asilimia kubwa watu wa kaskazini ni tatizo kwa ukabila.
 
Wazee wa "bao la mkono" hongereni na genge lenu la wezi na wanyang'anyi.
 
Simiyu madiwani 11 wa ssm wamejiunga CHADEMA jana, unamaanisha Cheyo na Chenge nao walikatwa Dodoma! Kitu ambacho hujakijua na unatakiwa ukifuatilie ili ukijue ni kwamba CCM haitakiwi tena nchini Tanzania.
 
Leta ya kwako mkuu ambayo si ovyo!! Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake na huo ndiyo ukwel!! Hawa madiwan wameonyesha utoto, ukabila na ukanda!! Na kama kanda ya ziwa tukiamua kuwa na ukanda kila wakati raisi atatoka kwetu!!
Nyie peke yenu mnafika millioni 12+? Kama hamfiki basi futa hiyo ndoto yako mfu,eti mukiamua!!acha ufala wewe
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.

tatzo sio kama mtu wao wamekosa bali mtoto wa rais kusema rais hawez kutokea kanda ya kaskazin hiyo ndo inayosumbua na kuamua kurudsha kadi
 
Kumbe wanaokimbia CCM ni wa Monduli tu !!??nilidhani kila kona ya nchi watu wanahama
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.

Uchaguzi ndani ya ccm was not free and fair kulikuwa na hujuma za wazi za kumkata EDO na hicho ndicho wanachokipinga wanamonduli pamoja na nchi nzima kwa ujumla.USIJIFANYE KIZIWI NA KIPOFU KWA KUTOKUONA KILICHOTENDEKA NDANI YA CCM.
 
Back
Top Bottom