MONDULI CCM: Ni upuuzi mtupu

MONDULI CCM: Ni upuuzi mtupu

Acha kupotosha,wanachokitaka ni kule democrasia ndani ya CCM haikufuatwa na badala yake wachache wakajipangia chaguo lao. CCM acha tu isepe.
 
Siasa za Tanzania zina ukabila ,you cannot ignore it
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.
tatizo lako ni hili: huamini kinachitokea hivyo umeamua kumwaga yaliyopo kwenye ubongo wako hata kabla hujafikiri vyakutosha! Unamfananisha Lowasa na watia nia wengine!!! Bwana harusi na mpambe wapi na wapi! Tafakari!!!
 
Wee ndo npuuzi kabishaaa.thread yako ya hovyooo

Leta ya kwako mkuu ambayo si ovyo!! Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake na huo ndiyo ukwel!! Hawa madiwan wameonyesha utoto, ukabila na ukanda!! Na kama kanda ya ziwa tukiamua kuwa na ukanda kila wakati raisi atatoka kwetu!!
 
Leta ya kwako mkuu ambayo si ovyo!! Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake na huo ndiyo ukwel!! Hawa madiwan wameonyesha utoto, ukabila na ukanda!! Na kama kanda ya ziwa tukiamua kuwa na ukanda kila wakati raisi atatoka kwetu!!

Madiwani 9 Simiyu na 19 Monduli utoto na ukabila!!! Unajielewa?unaelewa maana ya ukabila na ukanda.????
 
Hata hao wanaokimbia chama malengo yao ni kuchaguliwa ndio maana wanahama na wakipokelewa tu wanatangaza nia, tujue hao hao ni mamuruki
 
Kwani wale madiwan 26 waliohamia chadema kule simiyu ni wa kaskazini? Acha ujinga pakashume wewe
 
kwa yaliyotendeka dodoma watanzania wote wapenda haki walipaswa kuihama kabisa ccm. wanaoendelea kubaki huko ni kwa ajili ya matumbo yao tu.


Na huko mwendako yakitokea hayo, nakwenda UDP?
 
Titizo lenu chadomo mnapenda siasa nyepesi,siasa za matukio,bila kujijua mnatembea kwenye kinvuli cha CCM. Kwa mtindo huo mtasubiri sana kuaminika kama watu makini nyinyi misukule ya mtei
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.
Nadhani sasa wanawakilisha/kupaza sauti zao kwa matendo. Wameambiwa mchakato ulikuwa batili, mfumo wa uteunzi ulinajisiwa, by the way kuna baadhi za kauli Nazo zimechagiza hayo yanayoendelea kwa sasa! Demokrasia ndg yangu ni Kama shillingi, ina Pande mbili ndg yng! Muhimu Heshima tu uamuzi wao.
 
Kauli ya kusema RAIS hawezi toka KASKAZINI ndio inawahamisha..
 
Washafundishwa anayetoa hela nyingi ndo anakuwa rais. Uelewa wetu mdogo. Hii ni kuanzia viongozi mpaka mtu wa chini kabisa. Hata waliosoma wengine utawakuta humo humo. Kaazi kweli kweli

Wengine ubinafsi tu. Maslahi binafsi. Kila pembe ya nchi ikiwa hivi sasa hivi tutakuwa kama Rwanda na Burundi. Nawasikitikia wasio liona hili.
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.

sio upuuzi tu ila we ni punguani kwani chama si hiari ya mtu,kama walimtaka lowasa mkamkata watatafuta opportunity nje ya ccm jinga wewe
 
Back
Top Bottom