Mombo-Lushoto Pics

Mombo-Lushoto Pics

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,204
Reaction score
99,943
Huyo unaemuona hapo ni "Local Made Traffic" hahahahaaaa dogo anafanya kazi nzuri sana maana hio kona sio mchezo kwahio kazi ya dogo ni kusimama hapo kutwa nzima kuzuia magari yanayokuja, ukikosea hio kona kuna metres za kutosha huko chini
Lushotooo.jpg

Hizi ni Baadhi ya picha chache nilizofanikiwa kuwawekeeni kama zawadi za Lushoto

attachment.php


Picha hizi za kwanza zinaonyesha magari yanavyopisha, hio NOAH ilikua mbele yetu, hio ni Shambalai ya Dar-Lushoto na hio ni Coster ya Tanga-Lushoto, na hio NOAH inapiga trip Mombo-Lushoto

attachment.php



Hapa jamaa amepaki ili kupisha tupite, huku ni full busara na sio sheria. Hizo ni views za bara bara na mazingira mengine

Lushoto03.jpg
 

Attachments

  • lushot0 3.jpg
    lushot0 3.jpg
    23.6 KB · Views: 4,184
  • Lushot3.jpg
    Lushot3.jpg
    26.3 KB · Views: 4,156
  • Lushot4.jpg
    Lushot4.jpg
    4.1 KB · Views: 3,388
  • Lushoto04.jpg
    Lushoto04.jpg
    1.3 KB · Views: 3,333
  • Lushot05.jpg
    Lushot05.jpg
    1.2 KB · Views: 3,332
Umenikumbusha nyumbani, kuanzia Mombo,Maili tano, Vuga road, Soni, Kidenyamigongo, Mgwashi, Nyasa, Maluati, Dochi, Chuo-Ija, Hospital mpaka town ni kona tu, kwetu pazuri!
 
Ni kweli kabisaaaaaa Mpwa wangu ngoja MANI na zumbemkuu pamoja na Paloma waje huku nako ila nimeshindwa kuziweka vizuri
Umenikumbusha nyumbani, kuanzia Mombo,Maili tano, Vuga road, Soni, Kidenyamigongo, Mgwashi, Nyasa, Maluati, Dochi, Chuo-Ija, Hospital mpaka town ni kona tu, kwetu pazuri!
 
Last edited by a moderator:
nimefika huko damn da place is natural like Geneva ,i like the place,
 
wee Chakaza kwenu si huko kwenye gesi??
Tehe tehe zumbemkuu,gas na mimi wapi nawapi! Mie mtu wa matunda tuu. Kwanza na mie nataka kuanzisha hoja hakuna kusafirisha matunda kwenda Dar kama wale wa gas. Kama mbwaimbwai tuu,kila mtu na chake bwana
 
Last edited by a moderator:
Tehe tehe zumbemkuu,gas na mimi wapi nawapi! Mie mtu wa matunda tuu. Kwanza na mie nataka kuanzisha hoja hakuna kusafirisha matunda kwenda Dar kama wale wa gas. Kama mbwaimbwai tuu,kila mtu na chake bwana
teh teh teh teh!
na nkapa aondoke kwetu asituambukize kula chamaki nchanga...
 
teh teh teh teh!
na nkapa aondoke kwetu asituambukize kula chamaki nchanga...
Mkuu pale Mkuzi nimeweka mtu wangu anieleze akisikia harufu ya samaki nchanga anakaangwa tu anifahamishe ili nije na Hoja binafsi hapa JF. Hatuwezi kuambukizwa kula hao jamaa tusije kurudisha ule ugonjwa wa Tauni.
 
Mkuu inaonyesha ndio kwanza unafika Lushoto. Kule barabarani ukifanya ubishi wa kupishana unajikuta uko ndani ya gema na kama ukipona basi ujue una bahati. Na hii ndio sababu busara na hekima hutumika.
 
Nikitaka kupiga tour lushoto,naweza kufata utaratibu gani? au zipo kampuni zinatoa package ya tour kwa lushoto?
 
Nikitaka kupiga tour lushoto,naweza kufata utaratibu gani? au zipo kampuni zinatoa package ya tour kwa lushoto?

Gari yangu inatumia wese kidogo sana haifiki laki mbili kwenda na kurudi. Njoo uikodishe otherwise wacheki Lakeland Africa ndio wana trip za huko sana.......muulize mtu anaitwa Doto au Grace au google
 
Mkuu pale Mkuzi nimeweka mtu wangu anieleze akisikia harufu ya samaki nchanga anakaangwa tu anifahamishe ili nije na Hoja binafsi hapa JF. Hatuwezi kuambukizwa kula hao jamaa tusije kurudisha ule ugonjwa wa Tauni.
hahahahahaaha!
ndo maana wale jamaa wafupi sana kumbe sababu ni hiyo ya chamaki
 
nimefika huko damn da place is natural like Geneva ,i like the place,

Teh teh, akili zilizodumazwa!

Geneva hakuwezi kufikia hata thumni ya mahali kama Lushoto. Baridi kali, mandhari nyingi ni ya kufoji na sio halisi, moshi wa viwanda na sumu zingine zimeharibu mazingira kwa kiasi kikubwa na nadhani hakuna chakula hai cha kuliwa na binadamu akasitawi.

Afrika ni pazuri, kama Amerika, na sehemu zingine za tropiki... Akili kama hizi zilizodumazwa ndizo zinawafanya wenzetu wafe huko Mediterania kwa hamu ya kuishi 'Geneva' ya kufikirika iliyopo kichwani mwao huku wakimshangaa Haruna Moshi Shaaban ambaye alishindwa kuishi Ulaya.
 
TONGOI!! Hahaaaa haaahaaa nimekumbuka mbali sana enzi hizo mombo kweli ukifika lazima upumzike kabla ya kukabili milima na haikuwepo lami kakini ajali wala hatukuzisikia sana na magari yalipakia watu mpaka kule walikokokua wanaita keria.
 
Mkuu pale Mkuzi nimeweka mtu wangu anieleze akisikia harufu ya samaki nchanga anakaangwa tu anifahamishe ili nije na Hoja binafsi hapa JF. Hatuwezi kuambukizwa kula hao jamaa tusije kurudisha ule ugonjwa wa Tauni.

Mkuu mkuzi pazuri sana haswa peasi zake.
 
Back
Top Bottom