Mokeo kesi za uchaguzi 2010.

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,277
6,673
Waungwana naomba kuuliza kuhusu kesi za uchaguzi mkuu mwaka 2010.
Je! Kuna kesi ambazo zimeshatolewa maamuzi?
Maamuzi yake yalikuwaje?
Kama hakuna ni lini kesi hizi zitafikia tamati?
 
Kwa kumbukumbu zangu nimeskia mbili - ya Ubungo ambayo ameshinda Mnyika na ya Singida ambayo ameshinda Tundu. tamati sijui
 
Back
Top Bottom