Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 9,509
- 12,879
Ningekuwa mimi huyu jamaa, ningelipa kisasi kwa baba kuuwawa namna ile na mimi najiua.
Marekani na Israel wanatakiwa waongope siku za usoni kufanya walichokifanya, wasiwe na mazoea.
Sio kuwazuia, ila wanatakiwa wafikirie mara mbili kufanya walivyofanya.
Ibaki historia, kwamba Marekani ilifanya hivi na Irani ikafanya vile kwa gharama ya damu za viongozi wake. 😁
Marekani na Israel wanatakiwa waongope siku za usoni kufanya walichokifanya, wasiwe na mazoea.
Sio kuwazuia, ila wanatakiwa wafikirie mara mbili kufanya walivyofanya.
Ibaki historia, kwamba Marekani ilifanya hivi na Irani ikafanya vile kwa gharama ya damu za viongozi wake. 😁