Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,379
- 105,217
Mazungumzo mafupi kati ya Jambazi aliyeshilia mateka na Starling anayetaka kumuokoa mateka
Jambazi: "Weka silaha yako chini, ukisogea hatua moja namuua huyu"
Starling: "Sawa nimekubali naweka silaha chini"
Jambazi ambaye kamuwekea silaha kichwani mateka na kumuamuru starling ambaye kamnyooshea silaha kuwa aweke silaha chini vinginevyo mateka atauwawa, halafu starling anatii amri ya Jambazi.
Hii scene iko mbali sana na uhalisia.
Katika hali ya uhalisia kwa kama situation hiyo silaha ndio kitu muhimu. Ukipoteza silaha umekubali kupoteza maisha ya mateka na yako mwenyewe.
Directors wanaweza kukuletea hii scene katika namna nyingi, wanaweza kukuletea scene inayomuonesha Polisi dhidi ya mwalifu aliyeshikilia mateka.
Halafu baadae huyo polisi unamuona anaenda kutii amri ya jambazi kwa kusalimisha silaha yake chini kwakitisho cha kuuliwa huyo mateka iwapo ataendelea kumnyooshea jambazi silaha.
Kwenye mafunzo ya upolisi unafunzwa kuwa usikubali kusalimisha silaha yako, kwasababu ukifanya hivyo nafasi ya wewe kupona inashuka na kuwa zero.
Lakini kingine ni kuwa Starling tayari alikuwa amemuweka kwenye target Jambazi tayari alikuwa yupo kwenye perfect angle ya kuweza ku shoot.
Sasa Directors wanatuaminisha kwamba ule muda ambao Starling anavuta trigger kumshoot Jambazi kutakuwa na nafasi ambayo Jambazi naye ataipata ya kumshoot mateka baada ya kupigwa risasi na Starling kitu ambacho hakiwezi kuwa realistic.
Jambazi: "Weka silaha yako chini, ukisogea hatua moja namuua huyu"
Starling: "Sawa nimekubali naweka silaha chini"
Jambazi ambaye kamuwekea silaha kichwani mateka na kumuamuru starling ambaye kamnyooshea silaha kuwa aweke silaha chini vinginevyo mateka atauwawa, halafu starling anatii amri ya Jambazi.
Hii scene iko mbali sana na uhalisia.
Katika hali ya uhalisia kwa kama situation hiyo silaha ndio kitu muhimu. Ukipoteza silaha umekubali kupoteza maisha ya mateka na yako mwenyewe.
Directors wanaweza kukuletea hii scene katika namna nyingi, wanaweza kukuletea scene inayomuonesha Polisi dhidi ya mwalifu aliyeshikilia mateka.
Halafu baadae huyo polisi unamuona anaenda kutii amri ya jambazi kwa kusalimisha silaha yake chini kwakitisho cha kuuliwa huyo mateka iwapo ataendelea kumnyooshea jambazi silaha.
Kwenye mafunzo ya upolisi unafunzwa kuwa usikubali kusalimisha silaha yako, kwasababu ukifanya hivyo nafasi ya wewe kupona inashuka na kuwa zero.
Lakini kingine ni kuwa Starling tayari alikuwa amemuweka kwenye target Jambazi tayari alikuwa yupo kwenye perfect angle ya kuweza ku shoot.
Sasa Directors wanatuaminisha kwamba ule muda ambao Starling anavuta trigger kumshoot Jambazi kutakuwa na nafasi ambayo Jambazi naye ataipata ya kumshoot mateka baada ya kupigwa risasi na Starling kitu ambacho hakiwezi kuwa realistic.