HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,054 93,693 Sep 12, 2012 #5 Wa sasa ni msanii ndio.maana anapenda kupiga picha na wasanii kila aendapo yaani ni mtu wa maonesho akimaliza muda wake hiyo ndo kazi aliyobakiza
Wa sasa ni msanii ndio.maana anapenda kupiga picha na wasanii kila aendapo yaani ni mtu wa maonesho akimaliza muda wake hiyo ndo kazi aliyobakiza
K Kifarutz JF-Expert Member Aug 7, 2012 1,736 359 Sep 12, 2012 #6 Tofauti nyingine, Nyerere alikuwa kaaazi kaaaaazi, huyu safaaaari safaaaari
Autorun JF-Expert Member Mar 21, 2008 557 116 Sep 12, 2012 #7 Ntarudi kwa tofati nyingne zaidi baadae
H hippocratessocrates JF-Expert Member Jul 1, 2012 3,598 1,539 Sep 13, 2012 #8 Dah?! wakuu it's hilarious but naked truth..
Idimi JF-Expert Member Mar 18, 2007 14,885 10,352 Sep 13, 2012 #9 Babkey said: ...teh teh...ntachafuka men!! Click to expand... Bwahahahhh. Usichafuke meen!