Taasisi ya Mifupa-MOI
Member
- Apr 15, 2025
- 91
- 174
Labda Daniel Arap Moi yule Rais wa Jamhuri ya Kenya.Wakuu kirefu cha MOI ni nini..?
Sio Dennis Roberts 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa huu Uzi tunaugeuza kama PM yetu maana wenyewe hawajibu.secretarybird kama una kitu cha kuniambia tunaweza chart humumkuu
Denis ataleta uwongo uwongo 😂Sio Dennis Roberts 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ulipo tupoSasa huu Uzi tunaugeuza kama PM yetu maana wenyewe hawajibu.
Ngoja niwaongeze watu.
Dr am 4 real PhD Monetary doctor karibuni katika meza ya duara.
Na hiyo ndiyo furaha yangu.Ulipo tupo