MOI hali tete kwa wagonjwa

hivi wenye haki nchii ni madaktari tuuu au mbona polisi wapambana na majambazi watu hatari ,lakini mshahra laki na nusu ,mbona hawagomiii?.hapo ni uzalendo tu haupo kwa hao watu wa afya .
Muulize baba yako kwani nae ana haki ya kupokea posho nzito wakati mishahara ya hao unaowauliza ni kiasi hicho?
 
hivi wenye haki nchii ni madaktari tuuu au mbona polisi wapambana na majambazi watu hatari ,lakini mshahra laki na nusu ,mbona hawagomiii?.hapo ni uzalendo tu haupo kwa hao watu wa afya .

polisi wana kiapo.
 
Fanya kazi yako ya kusafisha wagonjwa waliojinyea hapo muhimbili na sio kuingilia kazi za watu wengine..unesi ujafikia kwanini kudandia hoja za watu?
Role ya Nesi ni kubwa sana musithubutu hata kudharau ni zaidi ya kuosha waliojinyea na vidonda,wakigoma wao ni masaa 12 tuu inatosha kuangusha serikali naona watanzania wengi munawadharau sana manesi hamjui mfumo wa kiutendaji wa hospitali
 
sio bonge sema claud fm yote imekaa kinafki tuu

Tatizo la radio clouds ni kwamba wanajifanya much knowers na wanashindwa kutofautisha kati ya jokes na seriousness. Huwa nawashangaa kwenye issues ambazo zinahitaji utaalamu kuziongelea wao wanajifanya kuziongelea, kulaumu na kutoa fishy connclusion.

Pili they are not consistent in their arguments.Haiwezekani anaongea mtu huyu unasema unakubaliana naye. Mwingine akija akatoa kauli inayopingana na wa jana naye unasema unamkubali na unahitimisha kuwa ndivyo inapswa kuwa.

It's very disgusting to find people using this public media for outdated propaganda. We know you are pro-CCM and pro-government for that matter. But learn to call a spade a spade when presenting serious issues from events
 
Tatizo la radio clouds ni kwamba wanajifanya much knowers na wanashindwa kutofautisha kati ya jokes na seriousness. Huwa nawashangaa kwenye issues ambazo zinahitaji utaalamu kuziongelea wao wanajifanya kuziongelea, kulaumu na kutoa fishy connclusion.

Pili they are not consistent in their arguments.Haiwezekani anaongea mtu huyu unasema unakubaliana naye. Mwingine akija akatoa kauli inayopingana na wa jana naye unasema unamkubali na unahitimisha kuwa ndivyo inapswa kuwa.

It's very disgusting to find people using this public media for outdated propaganda. We know you are pro-CCM and pro-government for that matter. But learn to call a spade a spade when presenting serious issues from events
Sasa hapa ndo tunaposhindwa kujua wakumlaumu ni nani kweli we kwa akili yako unadhani clouds wanauwezo wowote wa kuilazimaisha serikali kufanya chochote hata kama wangesema yale wewe unayotaka wayaseme? big NO.
Hili swala zima ni muendelezo wa uongozi mmbovu ndani ya serikali yetu kila mtu amepewa uwezo wa kuamua na kusema vile yeye anavyohisi ni haki kwa mfano majibu ya katibu wa wizara aliyoyatoa hivi majuzi yaani unaweza jiuliza hivi huyu mama anajua madhara ya kauli zake kweli, lakini mama anauakika hakuna wakumhoji kwa nini ulisema vile wala vip.
Na haya ndo madhara ya serikali ya kishkaji wote kwenye system wanaoneana aibu.
Eee mungu tunusuru waja wako.
 
.. Hivi wakati wa enzi za Mwalimu na wakati hali ya uchumi ilikuwa mbaya kulikuwa na migomo?? Nadhani Kuna issue kubwa ya kutatua zaidi ya kuongeza mishahara kwa wagomaji....siku hizi ukitaka usikike unagoma... e.g. wauza Mafuta etc..
 
Tafsiri ya hiyo signature hapo chini inakuhusu wewe! Wenzako wamekaa na kunadika kwa uchungu hali jinsi ilivyo wewe unaleta mzaha! unakuna kichwa una nini wewe! kuna saburi laki ili ushike kinyesi . waache wenye fikra pevu wakune vichwa vyao. we kuna hilo saburi lako kwani hata akili zako zipo huko
kama nilivyosema, mwenye uwezo wa kupeleka mgonjwa wake india anaweza kufanya hivyo - kwa asiyeweza basi asubiri wakati tunaandaa mchakato wa kuandaa mazungumzo na hawa madaktari. Poleni wananchi lakini tuvumiliane suala hili kama nilivyosema mwazo tumeshaliingiza kwenye mchakato.
 
hivi wenye haki nchii ni madaktari tuuu au mbona polisi wapambana na majambazi watu hatari ,lakini mshahra laki na nusu ,mbona hawagomiii?.hapo ni uzalendo tu haupo kwa hao watu wa afya .

shika adabu zako wewe kobe, kwanini watu wakiandamana kwa amani kudai maisha bora wewe unawaita majambazi?
 
Back
Top Bottom