C cyruss Senior Member Jan 13, 2012 196 40 Feb 24, 2012 #1 wadau natumia modem ya sasatel..vp mpango mzima uleule wa kupunguza gharma(hack..) kama kuna mtalaam humu anijuze.
wadau natumia modem ya sasatel..vp mpango mzima uleule wa kupunguza gharma(hack..) kama kuna mtalaam humu anijuze.
P Paul S.S JF-Expert Member Aug 27, 2009 6,402 3,242 Feb 24, 2012 #2 mkuu hizo modem za CDMA za sasatel na ttcl na zantel bado hazijapatiwa ufumbuzi wa namna ya kuzichakachua Tafuta za GSM kama voda, tigo na airtel
mkuu hizo modem za CDMA za sasatel na ttcl na zantel bado hazijapatiwa ufumbuzi wa namna ya kuzichakachua Tafuta za GSM kama voda, tigo na airtel
C cyruss Senior Member Jan 13, 2012 196 40 Feb 24, 2012 Thread starter #3 paulss said: mkuu hizo modem za CDMA za sasatel na ttcl na zantel bado hazijapatiwa ufumbuzi wa namna ya kuzichakachua Tafuta za GSM kama voda, tigo na airtel Click to expand... Nipe namba yako nikutafut uchakachue..vod,tgo au airtel
paulss said: mkuu hizo modem za CDMA za sasatel na ttcl na zantel bado hazijapatiwa ufumbuzi wa namna ya kuzichakachua Tafuta za GSM kama voda, tigo na airtel Click to expand... Nipe namba yako nikutafut uchakachue..vod,tgo au airtel