modem ya orange

Ina slot ya sim card? na ukiweka line tofauti ya Orange ina prompt nini au inasemaje.. na sofware yake yakukonnect inaitwaje?
 
Ina slot ya sim card? na ukiweka line tofauti ya Orange ina prompt nini au inasemaje.. na sofware yake yakukonnect inaitwaje?
nikiweka line ya airtel inaonyesha hivyo hapo chini
Capture.PNG

nikiweka line ya line safaricom inaonyesha hivi
f.PNG

software ya kukoconnect ni orange
 
Ok inagoma Airtel coz hao ni mfumo wa GSM so hi ukiweza ichakachua utaweza tumia sasatel, zantel na ttcl tu, ok cna uhakika sana lakn i thnk modem yako hajawa locked bali iyo software ya orange.. Subiri nikikaa fresh ntakutaftia software flani ya cdma itakuwezesha utumia hio mitandao niliotajata apo juu.
 
Ok inagoma Airtel coz hao ni mfumo wa GSM so hi ukiweza ichakachua utaweza tumia sasatel, zantel na ttcl tu, ok cna uhakika sana lakn i thnk modem yako hajawa locked bali iyo software ya orange.. Subiri nikikaa fresh ntakutaftia software flani ya cdma itakuwezesha utumia hio mitandao niliotajata apo juu.
shukrani mkuu, nasubiri
 
Mi ninavyo jua line za safaricome zinawekwa pin on. Sasa jaribu kuweka pin number ambayo utaipata kwenye ile kadi ya safaricom uliotowa line yako,kisha Weka hzo pin.
 
Mi ninavyo jua line za safaricome zinawekwa pin on. Sasa jaribu kuweka pin number ambayo utaipata kwenye ile kadi ya safaricom uliotowa line yako,kisha Weka hzo pin.
tatizo ni kwamba ninata ipige kazi kwa kutumia line za kibongo mkuu
 
Ok nimeiupload iyo software filesonic coz kwingine inagoma ndo maana ataivo nimechelewa kuileta hapa.. ok idownload kutoka

hapa: Download ZTEMT_UT_setup.rar for free on Filesonic.com

Apo tumia premium account kudownload:

username: Fileuser1

password: micuenta

Wat to do ni ku unistall iyo iliopo itoe kabisa then chomoa na modem kisha download hii nilioupload.. extract it.. then install..

sasa weka line ya Zantel, Ttcl, Sasatel, e.t.c kwenye modem na uichomeke then ifungue iyo software utaona imeisoma fresh..

apo kwishney utaweza connect bila shida.. but as i can remember hii modem haisupport Hybrid just CDMA x1 namaanisha

utapata speed ya only 156 kbps baadala ya Hybrid ambayo ni 3.1mbps I could be wrong lakini as I can remember hayo ndo

nilikutana na hii modem wakati huo!!! So fanya hivo and usisahau kuleta Feedback :poa
 
Bac nunua ya hku bongo kwanini upate tabu. Hyo ya orange inatofauti gani na ya zantel cdma?
 
Ok nimeiupload iyo software filesonic coz kwingine inagoma ndo maana ataivo nimechelewa kuileta hapa.. ok idownload kutoka

hapa: Download ZTEMT_UT_setup.rar for free on Filesonic.com

Apo tumia premium account kudownload:

username: Fileuser1

password: micuenta

Wat to do ni ku unistall iyo iliopo itoe kabisa then chomoa na modem kisha download hii nilioupload.. extract it.. then install..

sasa weka line ya Zantel, Ttcl, Sasatel, e.t.c kwenye modem na uichomeke then ifungue iyo software utaona imeisoma fresh..

apo kwishney utaweza connect bila shida.. but as i can remember hii modem haisupport Hybrid just CDMA x1 namaanisha

utapata speed ya only 156 kbps baadala ya Hybrid ambayo ni 3.1mbps I could be wrong lakini as I can remember hayo ndo

nilikutana na hii modem wakati huo!!! So fanya hivo and usisahau kuleta Feedback :poa

shukrani mkuu imefanya kazi, nimetumia laini ya zantel
 
Bac nunua ya hku bongo kwanini upate tabu. Hyo ya orange inatofauti gani na ya zantel cdma?

jomba inaonekana una kimbele front kwani mm sijaziona za kibongo mpaka uniambia nikanunue,kama hauna skills kaa kimya angalia na ujifunze shenzi taipu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom