Ok nimeiupload iyo software filesonic coz kwingine inagoma ndo maana ataivo nimechelewa kuileta hapa.. ok idownload kutoka
hapa:
Download ZTEMT_UT_setup.rar for free on Filesonic.com
Apo tumia premium account kudownload:
username:
Fileuser1
password:
micuenta
Wat to do ni ku
unistall iyo iliopo itoe kabisa then chomoa na modem kisha download hii nilioupload..
extract it..
then install..
sasa weka line ya
Zantel, Ttcl, Sasatel, e.t.c kwenye modem na uichomeke then ifungue iyo software utaona imeisoma fresh..
apo kwishney utaweza connect bila shida.. but as i can remember hii modem haisupport
Hybrid just
CDMA x1 namaanisha
utapata speed ya only
156 kbps baadala ya Hybrid ambayo ni
3.1mbps I could be wrong lakini as I can remember hayo ndo
nilikutana na hii modem wakati huo!!! So fanya hivo and usisahau kuleta Feedback
😛oa