shukrani mkuu, nasubiriOk inagoma Airtel coz hao ni mfumo wa GSM so hi ukiweza ichakachua utaweza tumia sasatel, zantel na ttcl tu, ok cna uhakika sana lakn i thnk modem yako hajawa locked bali iyo software ya orange.. Subiri nikikaa fresh ntakutaftia software flani ya cdma itakuwezesha utumia hio mitandao niliotajata apo juu.
Ok nimeiupload iyo software filesonic coz kwingine inagoma ndo maana ataivo nimechelewa kuileta hapa.. ok idownload kutoka
hapa: Download ZTEMT_UT_setup.rar for free on Filesonic.com
Apo tumia premium account kudownload:
username: Fileuser1
password: micuenta
Wat to do ni ku unistall iyo iliopo itoe kabisa then chomoa na modem kisha download hii nilioupload.. extract it.. then install..
sasa weka line ya Zantel, Ttcl, Sasatel, e.t.c kwenye modem na uichomeke then ifungue iyo software utaona imeisoma fresh..
apo kwishney utaweza connect bila shida.. but as i can remember hii modem haisupport Hybrid just CDMA x1 namaanisha
utapata speed ya only 156 kbps baadala ya Hybrid ambayo ni 3.1mbps I could be wrong lakini as I can remember hayo ndo
nilikutana na hii modem wakati huo!!! So fanya hivo and usisahau kuleta Feedback oa
Bac nunua ya hku bongo kwanini upate tabu. Hyo ya orange inatofauti gani na ya zantel cdma?