Mobile Money Ongezeni Fixed account kwenye Menu

Roadmap

JF-Expert Member
Aug 19, 2013
2,898
5,797
Wakuu mimi ni mjasiliamali ambae walau kwa siku naweza kuingiza faida ya elfu tano au elfu kumi sasa ombi langu kwa haya makampuni yanaoendesha mobile money kama T-pesa, Mpesa, Tigopesa,Eazy pesa na halopesa kuwa wafikiria namna ya kuweka Account ambayo mtu unaweza kuweka kiwango fulani cha pesa ila tu Huruhusiwi kukitoa mpaka muda ulioset ufike kama ilivo kwa mabank, Ila tu wao waturuhusu ku deposit pesa ila ku withdraw iwe mpaka kwa muda mteja aliochagua, Wanaweza kutoa interest kwa muda ulio fix hio pesa.
Mana njia ya kibubu ni locally sana na usalama wake ni mdogo
 
Wakuu mimi ni mjasiliamali ambae walau kwa siku naweza kuingiza faida ya elfu tano au elfu kumi sasa ombi langu kwa haya makampuni yanaoendesha mobile money kama T-pesa, Mpesa, Tigopesa,Eazy pesa na halopesa kuwa wafikiria namna ya kuweka Account ambayo mtu unaweza kuweka kiwango fulani cha pesa ila tu Huruhusiwi kukitoa mpaka muda ulioset ufike kama ilivo kwa mabank, Ila tu wao waturuhusu ku deposit pesa ila ku withdraw iwe mpaka kwa muda mteja aliochagua, Wanaweza kutoa interest kwa muda ulio fix hio pesa.
Mana njia ya kibubu ni locally sana na usalama wake ni mdogo
Wazo zuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mimi ni mjasiliamali ambae walau kwa siku naweza kuingiza faida ya elfu tano au elfu kumi sasa ombi langu kwa haya makampuni yanaoendesha mobile money kama T-pesa, Mpesa, Tigopesa,Eazy pesa na halopesa kuwa wafikiria namna ya kuweka Account ambayo mtu unaweza kuweka kiwango fulani cha pesa ila tu Huruhusiwi kukitoa mpaka muda ulioset ufike kama ilivo kwa mabank, Ila tu wao waturuhusu ku deposit pesa ila ku withdraw iwe mpaka kwa muda mteja aliochagua, Wanaweza kutoa interest kwa muda ulio fix hio pesa.
Mana njia ya kibubu ni locally sana na usalama wake ni mdogo
Naunga mkono hoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mimi ni mjasiliamali ambae walau kwa siku naweza kuingiza faida ya elfu tano au elfu kumi sasa ombi langu kwa haya makampuni yanaoendesha mobile money kama T-pesa, Mpesa, Tigopesa,Eazy pesa na halopesa kuwa wafikiria namna ya kuweka Account ambayo mtu unaweza kuweka kiwango fulani cha pesa ila tu Huruhusiwi kukitoa mpaka muda ulioset ufike kama ilivo kwa mabank, Ila tu wao waturuhusu ku deposit pesa ila ku withdraw iwe mpaka kwa muda mteja aliochagua, Wanaweza kutoa interest kwa muda ulio fix hio pesa.
Mana njia ya kibubu ni locally sana na usalama wake ni mdogo

wazo ni zuri, ila sasa hizo huduma za Mobile money zinaratibiwa na BOT, So mpaka wapate ruhusa toka huko ndio wanaweza fanya hivo
 
Kama una nmb acc wanayo, tatizo ni pesa ya kianzio wanataka minimum laki tano.
 
Tayari tuna MPAWA ( Vodacom )

Wanaweza iboresha mpawa na ikawa na fixed deposit,

Tofauti na sasa ambapo unaweka na kutoa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hujiulizi kwanini MPAWA haijaenda beyond..?, ile ni product ya CBA(Commercial Bank of Africa), tunarudi palepale, kuna BOT, Mitandao ya simu ikipewa sana room for creativity kwenye mobile money basi Bank zitafungwa, hata hivo mabenki walishapiga kelele sana, ndio maana na wao sasa wameanza kuwafata watu wa mobile money kwa kuja na Agency Banking, Mteja anafatwa sikuhizi sio ww mtoa huduma ufatwe, na huko mbeleni hutomfata tena mteja mteja atamaliza shida zake mwenyewe kwa Selfcare(selfservice) eg Digital banking
 
wazo ni zuri, ila sasa hizo huduma za Mobile money zinaratibiwa na BOT, So mpaka wapate ruhusa toka huko ndio wanaweza fanya hivo

Majibu mujarabu, na ziada moja. Hata huko benki ukitaka kuweka fixed unatakiwa uwe na kiasi unachokisudia, (taslimu ) ndio utapata faida stahiki.hiyo yako inaitwa WADU.
 
Lengo la mobile money ni kurahisisha transaction baina ya watu sio kufanya kazi kama benki.

Wengi wanazifanya benki ndogo kwa urahisi wa kuweka, kutoa na kuhamisha hela.

Usalama ni mdogo sana kulinganisha na benki kwenye hizi mobile wallet zetu.

Na kuna sheria za kuifanya benki kuitwa benki na kufanya kazi za kibenki ila hakuna sheria ya kuwafanya tigo pesa kufanya kazi za kibenki.

Ndo maana limits za kuweka hela kwenye hizi mobile wallet ni 5M ila benki ni unlimited.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujiulizi kwanini MPAWA haijaenda beyond..?, ile ni product ya CBA(Commercial Bank of Africa), tunarudi palepale, kuna BOT, Mitandao ya simu ikipewa sana room for creativity kwenye mobile money basi Bank zitafungwa, hata hivo mabenki walishapiga kelele sana, ndio maana na wao sasa wameanza kuwafata watu wa mobile money kwa kuja na Agency Banking, Mteja anafatwa sikuhizi sio ww mtoa huduma ufatwe, na huko mbeleni hutomfata tena mteja mteja atamaliza shida zake mwenyewe kwa Selfcare(selfservice) eg Digital banking
Ahsante kwa maeleza ya kina na yanayojitosheleza.
 
Lengo la mobile money ni kurahisisha transaction baina ya watu sio kufanya kazi kama benki.

Wengi wanazifanya benki ndogo kwa urahisi wa kuweka, kutoa na kuhamisha hela.

Usalama ni mdogo sana kulinganisha na benki kwenye hizi mobile wallet zetu.

Na kuna sheria za kuifanya benki kuitwa benki na kufanya kazi za kibenki ila hakuna sheria ya kuwafanya tigo pesa kufanya kazi za kibenki.

Ndo maana limits za kuweka hela kwenye hizi mobile wallet ni 5M ila benki ni unlimited.

Sent using Jamii Forums mobile app
limits ni 5M but it depends with type of customer/subscriber and terms
 
Hujiulizi kwanini MPAWA haijaenda beyond..?, ile ni product ya CBA(Commercial Bank of Africa), tunarudi palepale, kuna BOT, Mitandao ya simu ikipewa sana room for creativity kwenye mobile money basi Bank zitafungwa, hata hivo mabenki walishapiga kelele sana, ndio maana na wao sasa wameanza kuwafata watu wa mobile money kwa kuja na Agency Banking, Mteja anafatwa sikuhizi sio ww mtoa huduma ufatwe, na huko mbeleni hutomfata tena mteja mteja atamaliza shida zake mwenyewe kwa Selfcare(selfservice) eg Digital banking
Ni kweli,sasa tunajipakulia pesa kwenye tigo pesa,tala,branch to mention.Ambapo wakopeshaji hujawai kuonana nao ila kwa kuwatumia taarifa zako tu.Kikubwa watanzania tujifunze uaminifu kila kitu kitaenda sawa,mimi sasa hivi ninaweza kuamka asubuhi nikakopa zaidi ya laki tano kwenye system tajwa hapo juu.
 
Ni kweli,sasa tunajipakulia pesa kwenye tigo pesa,tala,branch to mention.Ambapo wakopeshaji hujawai kuonana nao ila kwa kuwatumia taarifa zako tu.Kikubwa watanzania tujifunze uaminifu kila kitu kitaenda sawa,mimi sasa hivi ninaweza kuamka asubuhi nikakopa zaidi ya laki tano kwenye system tajwa hapo juu.
Ni Kweli mkuu
 
Back
Top Bottom