Mtanzatozo
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 972
- 1,163
ni yeyey..View attachment 1956565Kula TIKITI MAJI hilooo!
ni yeyey..View attachment 1956565Kula TIKITI MAJI hilooo!
Ukiwa huna hela alafu ukamuita Mo mara tatu unaonekana Kama Mlio wa ng'ombe
Azam hajafungwa bali katoa sare na katika mpira ili ufungwe lazima ufanye makosa na makosa yanasababishwa nakukosekana na umakini,ubora na uzembe.Na huyo alie mfunga kapanda daraja au azam.kafungwa na Costal Union tuseme Costal union wapo njema zaidi.ya azam..?
Azam kiubora alitakiwa ashindeAzam hajafungwa bali katoa sare na katika mpira ili ufungwe lazima ufanye makosa na makosa yanasababishwa nakukosekana na umakini,ubora na uzembe.
Ili ufingww lazima timu moja iwe bora siku hiyo kuliko nyingine
Na Dodoma wanalinda uwanja wao usiku na mchana,haingii mtu.Next match ni dhidi Dodoma Jiji ambao ni wamoto sana msimu huu
Pale wakatoe sare tena, inatosha sanaNa Dodoma wanalinda uwanja wao usiku na mchana,haingii mtu.
Malizia kwa Mipango ya kimjini mjini.League ni jinsi unavyomaliza sio unavyoanza. Yanga mwaka jana waliongoza almost 90% ya msimu wa 20/21 lakini Ubingwa ulienda Msimbazi