Mo Mo Mo! nimekuita mara tatu

Na huyo alie mfunga kapanda daraja au azam.kafungwa na Costal Union tuseme Costal union wapo njema zaidi.ya azam..?
Azam hajafungwa bali katoa sare na katika mpira ili ufungwe lazima ufanye makosa na makosa yanasababishwa nakukosekana na umakini,ubora na uzembe.

Ili ufingww lazima timu moja iwe bora siku hiyo kuliko nyingine
 
Azam hajafungwa bali katoa sare na katika mpira ili ufungwe lazima ufanye makosa na makosa yanasababishwa nakukosekana na umakini,ubora na uzembe.

Ili ufingww lazima timu moja iwe bora siku hiyo kuliko nyingine
Azam kiubora alitakiwa ashinde
 
Back
Top Bottom