Ni wajinga wa soka pekee ndiyo wanaoweza kusema Yanga ananunua mechi

Shozylin

JF-Expert Member
Jul 21, 2022
298
607
Yanga ni timu bora hapa Tanzania kwa sasa, wala hili halina ubishi. Tusiwabeze Yanga eti tu kwasababu hakupata magoli mengi yaliyomuwezesha kushinda baadhi ya michuano.

Tuanze na rekodi ya kimataifa, tukiwatoa Zalan FC:

~ Yanga dhidi ya Al-Hilal: Yanga walimiliki mpira kwa umiliki wa juu kuliko Al-Hilal.

~ Yanga dhidi ya Club Africain: Bado Yanga walimiliki mpira umiliki wa juu kuliko Africain kwa mechi ya nyumbani na ugenini.

Tukija ligi za ndani, kiuhalisia anayefuata kwa ubora nyuma ya Yanga ni Simba na Azam, sasa tuangalie wachezaji wa kikosi cha kwanza cha Yanga dhidi ya Simba na ubora wao.

Fikiria wewe unamiliki timu (X) na upo sokoni kununua wachezaji hawa, utamnunua nani kulingana na ubora wake pamoja na uzoefu (hapa acha ushabiki)?

Beki
~ Namba 2: Israel Mwenda dhidi ya Djuma Shaban.

Kiungo
~ Namba 6: Kanoute dhidi ya Bangala.
~ Namba 8: Mzamiru dhidi ya Aucho.
~ Namba 9: Kibu Denis dhidi ya Fiston Mayele.

Kwa upande wangu mimi kulingana na namba pamoja na uzoefu wa wachezaji hapo juu nitawachukua waliyo upande wa Yanga.

Na huo ndiyo ukweli, hakuna mchezaji niliyemtaja hapo juu anayemzidi ubora mchezaji wa Yanga, ukibisha njoo na rekodi zao wote.

Wakati huo jiulize, mara ya mwisho timu yako kuifunga Yanga ilikua mwaka gani? Una muda gani hujaifunga yanga? Kwanini hujaifunga?

Msianze kuongea ugoro mkaonekana ni mashabiki maandazi/mihogo. Ukweli ni kwamba Yanga anaugusa mwingi, hii inatokana na aina ya wachezaji aliyonao.

Wakati huo Simba mpinzani wa Yanga hakua na Kocha wa Mazoezi kwa muda mrefu. Kocha Mkuu walisema wamemuazima kutoka Coastal Union ila baadaye Coastal walikanusha kuwa hawakuwa na mkataba naye. Wakati huo huo pia walikuwa wameazima Kocha wa Magolikipa.

Kama tu timu ina benchi la ufundi la namna hii itajilinganishaje na timu yenye benchi la ufundi bora? Kinacho itafuna Simba nadhani sasa mmekielewa.

Siamini kweye bahasha.

FB_IMG_16687520429662253.jpg
 
Ngada fc wamebaki kupiga ramli kama waganga wa kienyeji, Timu yao inao kina kibu denis alafu wanataka wapate matokeo the same na yanga ni maajabu ya mwaka aya
 
We ni utopolo for life maana umeandika upupu humu ...hivi fikiria wewe ni wa kumlinganisha Mzamiru na Aucho yaan Aucho ambayo anaonekana kipindi timu inamiliki mpira ikiwa haina mpira humwoni alf mnaanza kuropoka eti Dr Aucho !!!...idiot
 
Sasa yanga Mara ya mwisho kumfunga Simba kwenye ligi ni lini?
Maana naona kila siku et Simba inapata tabu kumfunga yanga ,Kwan yanga ni mtoto kwa Simba.
Hamchelew mnakimbilia kwenye ngao wakat huo huo na nyie mshafungwa pale kigoma .
Kiukweli huu wimbo wa yanga kumfunga Simba kila Mara hata siuelew kabisa sijui mnaogopa nn had mnajibanza kwenye huu uhuni usio na uhalisia.
Juz tu Simba na yanga wamekutana kwenye ligi ,je ni Nan alizidiwa kistatistic je Nan alitaman mpira uishe ?je Nan alifurahia sare?
Ni Bora mngekuja na wimbo kuwa yanga na Simba hakuna mbabe wanatoshana nguvu kidogo ingeeleweka ila kuja na propaganda za kiwak as if kila Simba akikutana na yanga anafungwa .

Alafu kukomalia kuwa yanga inamfunga Sana Simba kwa lugha nyepes mshajiona waz nyie ni watoto kwa Simba so mtoto akimpiga mkubwa lazima iwe habar.
Yanga ni sawa na osasuna ambayo ikimfunga Barca basi huo ndio ukubwa wao ila kirank ni waz Nan ni mtoto hapo.

Achen ujinga chezen mpira muongeze point kadhaa huko kimataifa ,kumtoa tu mwarabu basi mnajiona ni magiant wa Africa
 
Sasa yanga Mara ya mwisho kumfunga Simba kwenye ligi ni lini?
Maana naona kila siku et Simba inapata tabu kumfunga yanga ,Kwan yanga ni mtoto kwa Simba.
Hamchelew mnakimbilia kwenye ngao wakat huo huo na nyie mshafungwa pale kigoma .
Kiukweli huu wimbo wa yanga kumfunga Simba kila Mara hata siuelew kabisa sijui mnaogopa nn had mnajibanza kwenye huu uhuni usio na uhalisia.
Juz tu Simba na yanga wamekutana kwenye ligi ,je ni Nan alizidiwa kistatistic je Nan alitaman mpira uishe ?je Nan alifurahia sare?
Ni Bora mngekuja na wimbo kuwa yanga na Simba hakuna mbabe wanatoshana nguvu kidogo ingeeleweka ila kuja na propaganda za kiwak as if kila Simba akikutana na yanga anafungwa .

Alafu kukomalia kuwa yanga inamfunga Sana Simba kwa lugha nyepes mshajiona waz nyie ni watoto kwa Simba so mtoto akimpiga mkubwa lazima iwe habar.
Yanga ni sawa na osasuna ambayo ikimfunga Barca basi huo ndio ukubwa wao ila kirank ni waz Nan ni mtoto hapo.

Achen ujinga chezen mpira muongeze point kadhaa huko kimataifa ,kumtoa tu mwarabu basi mnajiona ni magiant wa Africa
Aliyetamani sare ni Simba...hapo vipi? Niongeze sauti au inatosha
 
Sasa yanga Mara ya mwisho kumfunga Simba kwenye ligi ni lini?
Maana naona kila siku et Simba inapata tabu kumfunga yanga ,Kwan yanga ni mtoto kwa Simba.
Hamchelew mnakimbilia kwenye ngao wakat huo huo na nyie mshafungwa pale kigoma .
Kiukweli huu wimbo wa yanga kumfunga Simba kila Mara hata siuelew kabisa sijui mnaogopa nn had mnajibanza kwenye huu uhuni usio na uhalisia.
Juz tu Simba na yanga wamekutana kwenye ligi ,je ni Nan alizidiwa kistatistic je Nan alitaman mpira uishe ?je Nan alifurahia sare?
Ni Bora mngekuja na wimbo kuwa yanga na Simba hakuna mbabe wanatoshana nguvu kidogo ingeeleweka ila kuja na propaganda za kiwak as if kila Simba akikutana na yanga anafungwa .

Alafu kukomalia kuwa yanga inamfunga Sana Simba kwa lugha nyepes mshajiona waz nyie ni watoto kwa Simba so mtoto akimpiga mkubwa lazima iwe habar.
Yanga ni sawa na osasuna ambayo ikimfunga Barca basi huo ndio ukubwa wao ila kirank ni waz Nan ni mtoto hapo.

Achen ujinga chezen mpira muongeze point kadhaa huko kimataifa ,kumtoa tu mwarabu basi mnajiona ni magiant wa Africa
Simba na Yanga ni derby, haijalishi ligi ipi wamekutana lakini tangu 2019 Simba kashachezea vichapo zaidi ya mara 3 zote ilihali bado haijawahi kumfunga Yanga

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Sio kama Simba awaelewi kwamba Yanga ni Bora zaidi kuliko timu zote katika ligi Kwa Sasa ila Si mashabiki wengi wanaweza kukiri Hadharani. Ni Mashabiki wachache wenye ushujaa wa kufanya hivyo ila ukweli wanaujua.
Ukweli ni kua Simba ndio timu iliyofungwa maranyingi zaidi na Yanga.
 
Simba Simba chumba chimba wewe na timu Yako yanga kwendeni mkafie mbali sura zenu zakulia ubwabwa tu hamna kitu mnunue mechi msinunue kwendraaaa .


Wachawi tu mnaotea nyota zawatu
 
Yanga msimu huu ndio mmepanda na kuwa wa 75 Afrika.
Na mpo katika mashindano ya vibonde wenzenu huko Shirikisho.

Najua lazima muwe na furaha tele maana mmepambana sana kwakweli msimu huu.

Ila bado sana kumfikia Simba kwa Ubora wa timu.

Na ni ukweli yanga kwa sasa hivi mnapambana sana kwa kutaka japo kumkaribia Simba katika michuano ya kimataifa.

Kwa hili nawapa pongezi nyingi tu.
 
Sasa yanga Mara ya mwisho kumfunga Simba kwenye ligi ni lini?
Maana naona kila siku et Simba inapata tabu kumfunga yanga ,Kwan yanga ni mtoto kwa Simba.
Hamchelew mnakimbilia kwenye ngao wakat huo huo na nyie mshafungwa pale kigoma .
Kiukweli huu wimbo wa yanga kumfunga Simba kila Mara hata siuelew kabisa sijui mnaogopa nn had mnajibanza kwenye huu uhuni usio na uhalisia.
Juz tu Simba na yanga wamekutana kwenye ligi ,je ni Nan alizidiwa kistatistic je Nan alitaman mpira uishe ?je Nan alifurahia sare?
Ni Bora mngekuja na wimbo kuwa yanga na Simba hakuna mbabe wanatoshana nguvu kidogo ingeeleweka ila kuja na propaganda za kiwak as if kila Simba akikutana na yanga anafungwa .

Alafu kukomalia kuwa yanga inamfunga Sana Simba kwa lugha nyepes mshajiona waz nyie ni watoto kwa Simba so mtoto akimpiga mkubwa lazima iwe habar.
Yanga ni sawa na osasuna ambayo ikimfunga Barca basi huo ndio ukubwa wao ila kirank ni waz Nan ni mtoto hapo.

Achen ujinga chezen mpira muongeze point kadhaa huko kimataifa ,kumtoa tu mwarabu basi mnajiona ni magiant wa Africa
Tunaposema Simba ni mtoto kwa Yanga hata tukija kwenye head to head Simba kama kamfunga Yanga mara chache kufananisha na Yanga. Mechi ya mwisho imeonekana kama Yanga anafurahia sare kwa sababu Yanga ndio alisawazisha na kuna msemo huwa wanasema anayecheka mwisho ndio huwa anacheka sana.

Halafu pia mkuu jiulize inakuaje Yanga afurahie sare ikiwa ana mechi nyingi hajapoteza kwake ni aidha ushindi na matokeo mabovu kwake ni sare hebu niambie nani hapo aliyeshangilia sare kati ya hao wawili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kama Simba awaelewi kwamba Yanga ni Bora zaidi kuliko timu zote katika ligi Kwa Sasa ila Si mashabiki wengi wanaweza kukiri Hadharani. Ni Mashabiki wachache wenye ushujaa wa kufanya hivyo ila ukweli wanaujua.
Ukweli ni kua Simba ndio timu iliyofungwa maranyingi zaidi na Yanga.

Timu bora zote afrika zipo klabu bingwa nyie na baadhi chache za shirikisho nyie wengine ni Mungu nisaidie tu
 
Utopolo wanajua kabisa Simba ni bora kuliko wao. Walipenda sana kuwa kwenye ligi ya mabingwa, wakaishia kwenye losers league.
 
Kupenda kubaya sana. Yaani leo mtu anaandika eti Djuma ni bora kwa Israh,,
Halafu anamwacha Kapombe pembeni anamchagua Israh.

Kuna usalama utopoloni huko?
 
Siku hizi wamekuja na match fixing!

Kila shabiki akianzisha uzi, basi lazima aje na bla bla za Yanga kupanga matokeo! As if ni jambo jepesi jepesi tu! Na ukimuuliza sababu hasa ya kupanga hayo matokeo, unakuta hana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom