Nimekoma Dada, ukinisikia tena unichape.Halafu ndo huwa mnawapiganiaaaaa.mnavuka bahari kwa watu ambao hawawezi vuka hata kijito kwa ajili yenu.
Bakhresa alituma mwanae Kama muwakilishi, Ila Huenda huwa hahudhurii misibaLabda wametuma wawakikishi....
Mkuu Ulitaka Wahusike Kivipi Hasa?
Mkuu embu kuwa na akili hata kidogo bac unazidiwa hata na nzi kutoa rambi rambi na kuudhuria kwenye msiba nijambo lingine unafikiri wote waliopo pale wameshindwa kutuma rambi rambi?Watanzania tuache upumbavu wa kifikra. Hujasikia wewe lakini sio lazima kila kitu kiwe public, watu wengine hawapendi kiki hasa kwenye mambo kama misiba.
Salamu zao za rambirambi utajuaje kuwa wamezifikisha kwa familia ya marehemu privately?
Acheni ujinga fanyeni mambo ya msingi.
Mkuu embu kuwa na akili hata kidogo bac unazidiwa hata na nzi kutoa rambi rambi na kuudhuria kwenye msiba nijambo lingine unafikiri wote waliopo pale wameshindwa kutuma rambi rambi?Watanzania tuache upumbavu wa kifikra. Hujasikia wewe lakini sio lazima kila kitu kiwe public, watu wengine hawapendi kiki hasa kwenye mambo kama misiba.
Salamu zao za rambirambi utajuaje kuwa wamezifikisha kwa familia ya marehemu privately?
Acheni ujinga fanyeni mambo ya msingi.
Kama kawaida kuxhimba kabiri ,kulia lia kwa kupaza sauti!
Watanzania tuache upumbavu wa kifikra. Hujasikia wewe lakini sio lazima kila kitu kiwe public, watu wengine hawapendi kiki hasa kwenye mambo kama misiba.
Salamu zao za rambirambi utajuaje kuwa wamezifikisha kwa familia ya marehemu privately?
Acheni ujinga fanyeni mambo ya msingi.
Kama mimi ninazidiwa akili na nzi basi wewe akili zako ni mavi.Mkuu embu kuwa na akili hata kidogo bac unazidiwa hata na nzi kutoa rambi rambi na kuudhuria kwenye msiba nijambo lingine unafikiri wote waliopo pale wameshindwa kutuma rambi rambi?
Labda hawakupata mwaliko!! Na kwa maneno ya IGP lazima waingie uoga.sijwasikia social media TV media Wala karimjee kumuaga mpendwa wetu mbona wengine tunajitoa mkipata matatizo .sio poa
Kama mimi ninazidiwa akili na nzi basi wewe akili zako ni mavi.
Iliandikwa wapi kuwa lazima kila mtu ahudhurie msiba wa mtu anemfahamu?
Unafahamu huyo Manji au Mo n.k wapo wapi? Wanafanya nini?
Unafahamu pamoja na Mengi kufa bado maisha ya wengine ibabidi yaende? Unafahamu hao wafanya biashara wana mambo mangapi ya kufuatilia ya muhimu zaidi?
Tatizo watu weusi mnapenda sifa za kipumbavu tu zisizokuwa na tija. Mtu ameshakufa mtu akitoa salamu za rambirambi hata kama sio public basi inatosha. Hata asipotoa haimhusu mtu maana sio lazima.
Maisha lazima yaendelee acheni unafki wa kipumbavu.
Akili mavi kabisa.