ok ngoja nifke home nichukue cmu kubwa ntakucheck nduguPm Mkuu check ulivyosema
ok ngoja nifke home nichukue cmu kubwa ntakucheck nduguPm Mkuu check ulivyosema
Babu yake, baba yake, baba mdogo na yeye wote wameing'ang'ania kuidhamini simba. Hivi hatushituki? Wanapata nini?n kwa sababu hajafikisha target anayoitaka yeye kama yeye. Labda kuna mambo ya mkataba yanamfanya asiachie. Na pili hakuna cku tajir atasema mwaka huu nimepata faida nyng kwan wafanyakaz watadai labda kuongezewa mishahara na yeye labda hayupo tayar.
Simba ni dude kubwa sana, unaweza kulitumia hata kwenye siasa kupata Urais wa nchi. Unaweza kulitumia hata kuuza madawa ya kulevya na pembe za ndovu ukatajirika. Hebu fikiria mashabiki wa simba kama wakiamua kunywa maji na vinywaji vya mo tu na kuacha maji na juice nyingine zote. Simba inashiriki mashindano ya CAF ikimtangaza mo kila kona ya Afrika na dunia.Hii figa ya 500b umeipata wapi hii?
hyo ni biashara ya familia. Hapo kuna director, had watchman. Mo hana pesa za kufanya kaz yeye kama yeye wameamua kushirikiana hapo wanagana faida tu. Simba watulie pesa iko benki.Babu yake, baba yake, baba mdogo na yeye wote wameing'ang'ania kuidhamini simba. Hivi hatushituki? Wanapata nini?
Kukaa tu meza moja na Rais wa FIFA ni bei gani? Ingemgharimu bei gani kupata milage ile ya kidunia? Je, milage ile ilimuingizia mo kiasi gani kwenye biashara zake kimataifa?.Hii figa ya 500b umeipata wapi hii?
Deni linazidi kukua ipo siku. Wanasimba wataamka na kukuta simba ni ya mo na mo ni wa simba 💯Haiishi tu Mo kuidai simba billions of shilings! Yeye na familia yake ndiyo wamiliki halali wa timu ya simba. Kama huamini muulize Mangungu.
Mkuu kavulata madawa ya kulevya hapana😃😃😃. Bado tunamkumbuka aliyekua Kocha wetu wa makipa Muharam Sultan anasota gerezani mwaka wa tano sasa kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya dawa za kulevyaSimba ni dude kubwa sana, unaweza kulitumia hata kwenye siasa kupata Urais wa nchi. Unaweza kulitumia hata kuuza madawa ya kulevya na pembe za ndovu ukatajirika. Hebu fikiria mashabiki wa simba kama wakiamua kunywa maji na vinywaji vya mo tu na kuacha maji na juice nyingine zote. Simba inashiriki mashindano ya CAF ikimtangaza mo kila kona ya Afrika na dunia.
Kupitia Simba mo alikaa meza moja na Rais wa FIFA. Ni milage kubwa sana ya mabilioni ya fedha.
UKo sahihi sana. Hata hivyo kubali tu kuwa timu hizi zimetumika sana kuingiza madawa ya kulevya nchini na kuvusha nyara za serikali nje ya nchi hasa pale zinapokwenda na kurudi kutoka pre-seasons nje ya nchi, kwakuwa hazikaguliwi sana pale airport. Ndani ya mipira na vifaa vya michezo vyao huwa kunawekwa na mambo mengine. Kuna wakati pia wanazitumia kuchezea kamali na kuvuna mapesa mengi kwenye beting. Wahindi sio wajinga hivyo, ndio maana wanazing'ang,ania hizi timu zama na zama, Vizazi na vizazi wamo tu.Mkuu kavulata madawa ya kulevya hapana😃😃😃. Bado tunamkumbuka aliyekua Kocha wetu wa makipa Muharam Sultan anasota gerezani mwaka wa tano sasa kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya
Nakubaliana na wewe kua Simba (na hata Yanga) ni dude kuubwa na ina ushawishi mkubwa kiasi hata watu wanaweza kupitia huko kutimiza agenda zao ziwe za kisiasa, kijamii au kibiashara
Ndio maana unaona hata serikali haiwezi kukubali kuziachia hizi timu zimilikiwe na mtu mmoja ili asije akazitumia tofauti
Kama huamini angalia mchakato wa transformation kwenye Simba kama utakamilika kwa muundo unaopendekezwa sasa.
Hicho kitu hakitatokea sababu serikali haikubali mtu amiliki dude linalobeba sapoti ya zaidi ya watu milioni 20 au 30 wakiwemo viongozi wa juu wa nchi, taasisi za ulinzi na usalama nk
Hata Mwakyembe alipokua Waziri wa Michezo aliwahi kuyasem haya.
Hivi kuna kampuni hapa Tanzania inayoweza kuilipa Simba bilioni 30 kwa mwaka kutangaza biashara?Thamani ya Simba ni mashabiki wake na nembo yake. Mashabiki na nembo ya Simba ni zaidi ya Tsh 500b. Hii thamani ndiyo iliyomfanya mo aachane na Singida United na kuja Simba.
Hela zoooooote alizotoa Mo kwa Simba zimetumika tayari kumtangaza mo, makampuni yake na bidhaa zake sokoni. Matangazo haya yame promote bidhaa zake zikauzika sokoni kama nyungu hadi akawa bilionea namba moja kijana Afrika. Simba imemtangaza mo hadi akajulikana ndani na nje ya nchi. Anaijua thamani ya kutangazwa?
Simba haina deni lolote, sanasana inamdai mo na makampuni yake yaliyoimarika kutokana na kubebwa na Simba, na hii ndiyo iliyomfanya asiende kuzifadhili timu nyingine.
Ndugu tutajie kampuni yoyote inayoweza kuzilipa Simba au Yanga bilioni 30 kwa mwaka kutangaza biashara zake.Hadai kitu, thamani ya Simba kumtangaza yeye, makampuni yake na bidhaa zake ni zaidi ya 100b. Wanachama na mashabiki wa simba wanavaa jezi za simba zenye chapa ya mo mpaka kwenye makalio yao, anajua thamani ya shabiki kuvaa jezi ya simba yenye mo foundation kwenye kalio?
Kuna wakati mashabiki wa Simba wamekunywa sumu nyingi zilizomo kwenye Mo Extra energy, mo cola na majuice mengine ya hovyo ili kusaidi mo apate faidi. Anajua madhara wanayopata mashabiki kwa kunywa Mo extra 10 kila siku?. Yaani Simba inamdai yeye, zile 20b zake hatujui ziko wapi lakini hazitoshi kabisa na anadaiwa, akae akijua hilo.
Mkuu kimya sana Mopakok ngoja nifke home nichukue cmu kubwa ntakucheck ndugu
Jidanganye.Thamani ya Simba ni mashabiki wake na nembo yake. Mashabiki na nembo ya Simba ni zaidi ya Tsh 500b. Hii thamani ndiyo iliyomfanya mo aachane na Singida United na kuja Simba.
Hela zoooooote alizotoa Mo kwa Simba zimetumika tayari kumtangaza mo, makampuni yake na bidhaa zake sokoni. Matangazo haya yame promote bidhaa zake zikauzika sokoni kama nyungu hadi akawa bilionea namba moja kijana Afrika. Simba imemtangaza mo hadi akajulikana ndani na nje ya nchi. Anaijua thamani ya kutangazwa?
Simba haina deni lolote, sanasana inamdai mo na makampuni yake yaliyoimarika kutokana na kubebwa na Simba, na hii ndiyo iliyomfanya asiende kuzifadhili timu nyingine.