Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Rais wa heshima wa klabu ya Simba Mohammed Dewji MO, ameleza furaha yake huku akimpongeza Nyota Pape Ousmane Sakho baada ya kushinda Tuzo ya goli bora la CAF 2022 mjini wa Rabat nchini Morocco
"Wanasimba na Watanzania tunajivunia mafanikio yako Pape Ousmane Sakho.
Hongera kwa kushinda Tuzo ya goli bora la CAF 2022 na asante kwa kuleta heshima ya kipekee kwa Simba SC na Tanzania.
Tuzo hii imezidi kuonyesha namna gani Simba SC ni Timu Kubwa na ina wachezaji wenye viwango". Dewji MO.
"Wanasimba na Watanzania tunajivunia mafanikio yako Pape Ousmane Sakho.
Hongera kwa kushinda Tuzo ya goli bora la CAF 2022 na asante kwa kuleta heshima ya kipekee kwa Simba SC na Tanzania.
Tuzo hii imezidi kuonyesha namna gani Simba SC ni Timu Kubwa na ina wachezaji wenye viwango". Dewji MO.