Mo Dewji toa billion 20 ambazo zipo kimkataba, acha kutengeneza mazingira ya kuonewa huruma na ujanja ujanja

Ni Tanzanian pekee mwekezaj anaanza kunufaika matunda ya kampuni bila hata ya kutoa ela ya umiliki (hisa) haya ndo maajabu ya afrika

Na mwekezaj anapoambiwa ela ya umiliki wa hisa anakua mbogo, swali la kujiuiza mo dewji ameachwaje miaka mitatu bila hata ya kuchukuliwa hatua na mamlaka husika.

Mfano timu za ulaya huwezi enda miliki timu kienyeji enyeji na kijanja Kama anavyofanya Mo dewji, na lazima kuwe na uwazi juu ya mikataba inayoingia, mfano jezi ya Simba imejaa matangazo ya dewji je ni shilingi ngapi timu inapata.

Kwa nchi nyingine dewji angetakiwa apigwe penalty, na billion 20 sio kuja kusema Mara timu inapata hasara hizo ni janja janja.

Simba na Yanga ziko Kama zilivyo na zitabaki Kama zilivyo Kama zikiendelea na wawekezaj Kama dewji au Manji, na hata gsm anachofanya Yanga ni njia zile zile za kienyeji enyeji
haujui mo anamipango gani broo wewe tulia sisi wenye simba yetu tunajua kinachokuja badae
 
Amini nakuambia mashabiki wa izi timu wanataka ushindi tu......hayo mengine hayawahusu
Mwenzako Mo ananunua marefa na zawadi kutoka caf ns kulipa posho maafisa pale tff, shida yenu si kumfunga yanga tu!
 
Mo aliahidi kwa kinywa chake atatoa bill 20 ikaweka kwenye mkataba, Leo anaambiwa atimize takwa la kimkataba anakua mbogo, alafu Cha ajabu mashabiki Kama wewe wamesha shahau tukio la 2017 ajabu sana
Mo anasema hela yake atailinda nani kule simba, kina Manara?
 
Back
Top Bottom