Mo Dewji ateua wajumbe wapya Bodi ya Simba SC

Mo Dewji ateua wajumbe wapya Bodi ya Simba SC

unaposema kuuza hisa maana yake moja kwa moja timu unaiweka kwenye private sector/investors kitu ambacho sheria ya umiliki iliyotungwa kipindi mo anataka kuinunua simba ilikataa.
ukishauza hizo hisa maana yake hao wawekezaji watafanya wanachotaka wao shabiki hahusiki. Nadhani ni kwa vile tu taifa letu halina wawekezaji wengi ndo maana mo anapigiwa magoti pale simba. Siku akiamka vibaya akaamua kujitoa tutatembeza bakuli kama yanga.
Nitajaribu kuitafuta hiyo sheria niisome vizuri na huo mkataba wa mabadiliko ndani ya Simba.

Sidhani kama Mo anapigiwa magoti na mtu, ni kwamba yeye ndiyo ameweza kuonyesha utashi wa kuwekeza na mabadiliko haya yanayoendelea kwa kiasi kikubwa ni kwa sababu ya utashi wake, hivi hivi yangebaki maneno tu.

Siku za mbele Simba watapata wawekezaji bora zaidi, huu ni mwanzo tu na mwanzo ni mgumu.
 
Nitajaribu kuitafuta hiyo sheria niisome vizuri na huo mkataba wa mabadiliko ndani ya Simba.

Sidhani kama Mo anapigiwa magoti na mtu, ni kwamba yeye ndiyo ameweza kuonyesha utashi wa kuwekeza na mabadiliko haya yanayoendelea kwa kiasi kikubwa ni kwa sababu ya utashi wake, hivi hivi yangebaki maneno tu.

Siku za mbele Simba watapata wawekezaji bora zaidi, huu ni mwanzo tu na mwanzo ni mgumu.

katika suala la mabadiliko pesa yake ndo imeongea. Akijichomoa tu siku moja hata uko caf tutakuwa zaidi ya vichekesho.

kupata wawekezaji kwa nchi yetu sidhani kama ni rahisi ndio maana yanga iligeuka ombaomba.
Kama ingekuwa rahisi kupata wawekezaji basi zile 49% zinazotolewa kwa ajili yao zingegombaniwa lakini haipo hivyo.
hivyo inabidi hawa waliopo tuwapigie goti ili wasiondoke.
Ndio maana mashabiki wanaolijua hilo hawataki hata kuulizia bil.20 ziliko.
 
katika suala la mabadiliko pesa yake ndo imeongea. Akijichomoa tu siku moja hata uko caf tutakuwa zaidi ya vichekesho.

kupata wawekezaji kwa nchi yetu sidhani kama ni rahisi ndio maana yanga iligeuka ombaomba.
Kama ingekuwa rahisi kupata wawekezaji basi zile 49% zinazotolewa kwa ajili yao zingegombaniwa lakini haipo hivyo.
hivyo inabidi hawa waliopo tuwapigie goti ili wasiondoke.
Ndio maana mashabiki wanaolijua hilo hawataki hata kuulizia bil.20 ziliko.
Ni kweli kwa uchumi wetu huu hakuna wawekezaji wengi wanaoweza kuwekeza kwenye mpira. Hata wale waliopo hawawezi kuingia huku mpaka mazingira ya ufanyaji kazi yaboreshwe katika ngazi zote.

Yanga wangeweza kuwa wa kwanza kwenye kujiendesha kisasa ila mpaka leo wanasumbuliwa na uswahili na siasa za ccm.

Ila bado nahisi hilo suala la 49% haujalielewa. Hisa za Simba zikitangazwa kuuzwa wazi zitauzika sana tu. Sidhani kama mpaka sasa mwanachama mmoja mmoja au mshabiki anaweza kujinunulia hisa za club.
 
Samahani kwa wanaojua mtusaidie, kateua kwa mamlaka yapi aliyonayo?

Wale wenye 51% wanawakilishwa na akina nani kwenye hiyo bodi?

Maana nimeona pia kamteua mwenyekiti wa bodi, sijui nafasi ya wale wenye 51% ni ipi so far
Bado hata mimi nafikiria nguvu ya kuteua wajumbe wa bodi ameitolea wapi.
 
Mamlaka ya Katiba ya Simba company Sports club
ambayo inataka kutakuwa na bodi ya wakuregenzi 16
8 kutoka upande wa timu ambao walipigiwa kura hiv karibuni
na 8 wengjne kutoka kwa mwekezaji (Mo)

wale 51% wanawakilishwa na wale kina mangungu na wenzake waliochaguliwa mwezi uliopita
Bodi ina wajumbe 16? Pengine taratibu zimebadilika ama kuna kitu nimesahau.

Bodi inakuwa na member wasiopungua watano na wasiozidi kumi.
 
Ni kweli kwa uchumi wetu huu hakuna wawekezaji wengi wanaoweza kuwekeza kwenye mpira. Hata wale waliopo hawawezi kuingia huku mpaka mazingira ya ufanyaji kazi yaboreshwe katika ngazi zote.

Yanga wangeweza kuwa wa kwanza kwenye kujiendesha kisasa ila mpaka leo wanasumbuliwa na uswahili na siasa za ccm.

Ila bado nahisi hilo suala la 49% haujalielewa. Hisa za Simba zikitangazwa kuuzwa wazi zitauzika sana tu. Sidhani kama mpaka sasa mwanachama mmoja mmoja au mshabiki anaweza kujinunulia hisa za club.

kwa kifupi mo alitaka 51% (majority)
sheria ikambana ikasema 51% za club 49% wawekezaji wa tatu wagawane.
nadhani ili kuziba huo mwanya mo akamweka dada yake fatma dewji na kaka yake kassim dewji. Kama ingekuwa inawezekana kununua hizo 51% sidhani kama angeshindwa.
 
Ungekua ww Ungeweka hizo billion 20
Kwa lipi la maana kiasi cha kuhatatisha pesa yote hiyo
Hizo ni pesa ndogo kwenye mpira
Mo akiuza jezi milion 3 kwa faida ya elfu 20 anakuwa na bilioni 60 bdani ya mwezi mmoja fikiria kwa upana huo
 
View attachment 2532894
Taarifa ya Rais wa Heshima wa Simba Mwekezaji Mo Dewji

Nimeteua wajumbe wanne wapya kwenye Bodi ya Simba Sports Club. Karibu Dk. Raphael Chegeni, Mhe Rashid Shangazi, Bwana Hamza Johari na Bwana Zulfikar Chandoo. Wanachama hawa wataleta uzoefu mkubwa ambao utasaidia katika kutimiza lengo la klabu, na kuwa klabu ya soka inayoongoza barani Afrika!

In English
I have appointed four New Board members to Simba Sports Club. Welcome to Dr. Raphael Chegeni, Hon Rashid Shangazi, Mr Hamza Johari and Mr Zulfikar Chandoo. These Members will bring great experience that will assist in realizing the Clubs' goal to become the leading football club in Africa

My Take
Tunategemea mje na mikakati yenye uhalisia wa kuifanya Simba Sc kuwa club kubwa barani Africa.
Wote hao sio watu wa mpira. Ni watu wa mipasho zaidi na siasa.
 
View attachment 2532894
Taarifa ya Rais wa Heshima wa Simba Mwekezaji Mo Dewji

Nimeteua wajumbe wanne wapya kwenye Bodi ya Simba Sports Club. Karibu Dk. Raphael Chegeni, Mhe Rashid Shangazi, Bwana Hamza Johari na Bwana Zulfikar Chandoo. Wanachama hawa wataleta uzoefu mkubwa ambao utasaidia katika kutimiza lengo la klabu, na kuwa klabu ya soka inayoongoza barani Afrika!

In English
I have appointed four New Board members to Simba Sports Club. Welcome to Dr. Raphael Chegeni, Hon Rashid Shangazi, Mr Hamza Johari and Mr Zulfikar Chandoo. These Members will bring great experience that will assist in realizing the Clubs' goal to become the leading football club in Africa

My Take
Tunategemea mje na mikakati yenye uhalisia wa kuifanya Simba Sc kuwa club kubwa barani Africa.
Huyu MO ni kuwa anadharau klabu au ni mbumbumbu? Kwani kwenye board kulikuwa na nafasi za kujaza? Kama kawateua hao kawaengua akina nani? Iliwahi kusemwa huku kuwa Simba kumwalika MO kuwa mwekezaji waliingia CHOO CHA KIKE
 
Back
Top Bottom