RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,603
- 8,553
Unafikir kwa nn Yanga walikua wanatembeza bakuli lichayakuwa na brand sawa na Simba?. Wadhamini hawakuwepo?.INA maana SSC haina revenue yoyote ndugu?
Unafikir kwa nn Yanga walikua wanatembeza bakuli lichayakuwa na brand sawa na Simba?. Wadhamini hawakuwepo?.INA maana SSC haina revenue yoyote ndugu?
Kigwa anaweza kuwa nahoja, lkn hoja zake zimeathiriwa na chuki yakunyimwa mkopo, hoja hizo ilitakiwa azilete mtu huru zingekua na mantiki.Mudi Dewji kakosea kutamka mambo ya mikopo binafsi wakati issue inahusu suala la Simba. Hamisi kama ni mwanachama halali wa Simba naye kakosea, alitakiwa kutumia majukwaa halali ya kikatiba ya Simba kuhoji uwekezaji huo. Hata hivyo, Hamisi kamjibu kiutu uzima Mudi juu ya suala la mkopo.
Bhasi mngekuwa nao toka mwaka 1936 si wamazoezi tuu...??? Unadhani bei ya lie carpet la majani bandia ni mil 200 etiii Kila mtu anajibiwa tokana na hoja yakee wewe ndo unaruka rukaa... Jengeni unaoingiza hela bhasiMkuu panga hoja vizuri maana unarukaruka tu.
Kwajinsi unavoongea najua tu mpira wa tz umeanza fwatilia juzi hapa ndo mana unaongelea uwanja ambao hauingizi hata 100 kwa club.
Uwanja wa mazoezi nao uanaleta kelele? Je azam wenye uwanja wao nao wasemeje? Ki uhalisia Simba au Yanga zinaendeshwa kisiasa tu.
Ila hoja za kigwangala kama nazielewa hivi
Sasa wewe ulitegemea yeye ajilipe vipi??? Kwani timu ya baba yake ileee... Everton wanavaa Jezi imeandikwa Sportpesa unadhani waliamkaa tu na kuandika sportpesa Wabongo mnapenda mteremko sanaaa... Ndo maana ya kuinvest na kumake deal..Mi nauliza Yale matangazo ya bidhaa za mo kwenye jezi za Simba, team inanufaika vipi??? Analipa?? Maana isijekua thamani ya hayo matangazo ndo ya kusajili na kulipa na kuendesha team, halafu hajaweka hata sent kwenye bilioni ishirini, sisi tunaona anaisaidia Sana team, kumbe ni halali (malipo ya matangazo ya bidhaa zake nyingi Sana)
KWA hili nasimama na Kigwangala
Hao wenye hisa 51 wametoa nini mpaka sasa. Na je katika ile ruzuku ya billion 3 inayotoka kila mwaka hawa 51 wanachangia ngapi.Yeye Mo sio mkweli..
Anataka geuza Simba kama Mali yake binafsi
Hisa zake ni asilimia 49 Tu na hajalipa hiyo hela.
Watu wenye hisa hisa asilimia 51 wanayo haki ya kuuliza
Hakuna utu uzimaaa... Hamisi kazinguaa!! Anakomalia UCEO utadhani ana hisa simbaaa Tatizo sio CEO tatizo ni mkopo wa pikipikii.. Kwani huyo Sezo alifukuzwa simbaa????
Hamis hisa anazo Simba
Ni zile 51%
Simfagilia MO kwa ufisadi wake ila nampongeza kwa kumnyima mkopo KIGSWI ,Mo nadhani amestukia mchezo kwamba KIGSWI angemdhulumu......Haiwezekani Waziri Mzima ambaye anakunja kipindoni karibu milioni 19 kwa mwezi ashindwe kununua "TOYO" aka MO BOXER 25?? Tukichukulia Evarage ya Boxer moja 2.2m kwa 25 ni around 55m.....Hivi ni kweli Kigswi ameshindwa kutoa mil 55 kununu hizo Boxer 25? Hapa Kigwa alitaka kumdhulumu MO maana wanasiasa hasa mawaziri wanapenda sana kuchukua vitu bure bre bila kulipa siku ukimdai anaanza kukuambia haulipi kodi mara nitakuletea TRA mara nitakuleta watu wa TEETH na bla bla kibao.
Yale yanalipiwa, nakila moja ni mil 250 kwa mwaka. Endelea kusimama na KigwangalaMi nauliza Yale matangazo ya bidhaa za mo kwenye jezi za Simba, team inanufaika vipi??? Analipa?? Maana isijekua thamani ya hayo matangazo ndo ya kusajili na kulipa na kuendesha team, halafu hajaweka hata sent kwenye bilioni ishirini, sisi tunaona anaisaidia Sana team, kumbe ni halali (malipo ya matangazo ya bidhaa zake nyingi Sana)
KWA hili nasimama na Kigwangala
Ausioo..!!Yale yanalipiwa, nakila moja ni mil 250 kwa mwaka. Endelea kusimama na Kigwangala
Mpaka sasa Kigwa ametoa tweets ngapi kuhusu mkopo?
Ni kweli alitakiwa Hamisi kuwa huru. Hata hivyo, Mudi alitakiwa kujibu hoja hiyo ya Hamisi bila kutwambia siri za mteja wake. Kitendo alichokifanya Mudi kinaweza kutafsiriwa kama anatafuta huruma ya mashabiki wa Simba kuficha mambo amekiuka kama mdhamini wa Simba.Kigwa anaweza kuwa nahoja, lkn hoja zake zimeathiriwa na chuki yakunyimwa mkopo, hoja hizo ilitakiwa azilete mtu huru zingekua na mantiki.
Yani ni Kiazi mbatata...View attachment 1560152
Huyu ni waziri zero brain
Hapa kuna Siri Huyu Dr tunamjuwa na Mo tunammanya. Basi natusubiriJuzi Kati Kwenye akaunti ya twitter Kigwangala alionekana akiwanadi ng'ombe wake
Kabla ya hapo alionekana jimboni kwake akigawa pikipiki kitu ambacho hajawahi kufanya kwa miaka ya nyuma kabla ya mwaka wa uchaguzi.
Leo kabwatuka kuhusu uteuzi uliofanywa na klabu ya Simba akidai taratibu hazijafuatwa.
Baadaye Mo Dewji anahoji kwanini asimpigie simu? Mwisho anamshauri asichukulie hasira kunyimwa mkopo wa bodaboda
View attachment 1559971
========
View attachment 1559972
Yale yanatakiwa yalipiwe, na hakuna favour yoyote mo anafanyia simba, Kuna mdau amesema kila tangazo ni milion 250, bidhaa zake ni nyingi anazozitangaza kupitia SIMBA. Remember SIMBA ni brand kubwa Sana Africa. MO ndo anapenda mteremko. Atoe hizo 20billions. Kigwangala Ana hoja za msingi ZINAZOHITAJI MAJIBU ya kinaSasa wewe ulitegemea yeye ajilipe vipi??? Kwani timu ya baba yake ileee... Everton wanavaa Jezi imeandikwa Sportpesa unadhani waliamkaa tu na kuandika sportpesa Wabongo mnapenda mteremko sanaaa... Ndo maana ya kuinvest na kumake deal..