Hizi twita ni za leo za Kigwangalla.
“Bilionea hawezi kuwa na roho ya kichawi namna hiyo; mkopo umemnyima mtu halafu unamtangaza, why? Kwani yeye huwa hakopi?” Hamis Kigwangalaah.
“Waambie waache kunifuata fuata kwenye kurasa zangu! Mjadala wa Simba tumeuahirisha mpaka November kupisha uchaguzi, sasa wanaambizana kwenye magroup yao waje wanishambulie. Nina taarifa zote”. Hamis Kigwangallah.
“Mimi ni jeshi la mtu mmoja. Novemba ntaufufua huu mjadala, and I will go personal will go personal on him at the right time. And since he is sending mercenaries to attack me, I will chill for now, but they will enjoy to know the intricacies of their man when I lay him bare”. Hamis Kigwangallah.
“Baada ya kampeni kuisha tutajibu shambulio ‘personal’, tuna mambo mengi ya kusema. Mengi. Tutaujulisha umma. Kwa sasa acha waendelee kutukana. Muda utafika wataomba poo! Kwa sbb kama bilionea alishindwa kukopesha pikipiki 16, hatoweza kuwa amelipa b20 hizi siku 48 zilizobakia”. Hamis Kigwangalla.
Uchaguzi 2020 - Baada ya Dkt. Kigwangalla kujibizana na Mo Dewji Twitter. Dkt. Bashiru amshukia Kigwangalla, amtaka am-tweet Dkt. Magufuli
“Bilionea hawezi kuwa na roho ya kichawi namna hiyo; mkopo umemnyima mtu halafu unamtangaza, why? Kwani yeye huwa hakopi?” Hamis Kigwangalaah.
“Waambie waache kunifuata fuata kwenye kurasa zangu! Mjadala wa Simba tumeuahirisha mpaka November kupisha uchaguzi, sasa wanaambizana kwenye magroup yao waje wanishambulie. Nina taarifa zote”. Hamis Kigwangallah.
“Mimi ni jeshi la mtu mmoja. Novemba ntaufufua huu mjadala, and I will go personal will go personal on him at the right time. And since he is sending mercenaries to attack me, I will chill for now, but they will enjoy to know the intricacies of their man when I lay him bare”. Hamis Kigwangallah.
“Baada ya kampeni kuisha tutajibu shambulio ‘personal’, tuna mambo mengi ya kusema. Mengi. Tutaujulisha umma. Kwa sasa acha waendelee kutukana. Muda utafika wataomba poo! Kwa sbb kama bilionea alishindwa kukopesha pikipiki 16, hatoweza kuwa amelipa b20 hizi siku 48 zilizobakia”. Hamis Kigwangalla.
Uchaguzi 2020 - Baada ya Dkt. Kigwangalla kujibizana na Mo Dewji Twitter. Dkt. Bashiru amshukia Kigwangalla, amtaka am-tweet Dkt. Magufuli