Mo Dewij wacha kulalama, anzisha timu yako

Mo Dewij wacha kulalama, anzisha timu yako

uyu jamaa cjui yukoje cjui ajui jins ya kuinvest yy anakomaa na simba tuu anzishe timu yake ...
 
Hata Man u ilinunuliwa baada ya kuanzishwa,chelsea imeuzwa na kununuliwa na wengine,man citu ilianzishwa ila imeuzwa kwa waarabu,so kuanzisha yako sio solution,,solution ni kumuuzia tu ndio dawa na kelele za kijinga jinga zitakwisha... Mbona akina Abromivic hawakuanzisha zao??
 
Narudia hili jitu ovyo kabisa!
 
Narudia hili jitu ovyo kabisa!
 
lkn Moo kawasaidia sana wana simba tuzunguke kooote,, jamaa kawatoa mbali.,, Mlipaswa walau mumshirikishe,,!! MO ndo ujifunze sku nyingine kumfadhili mwafrika, hana shukran hata sku moja...!!
cc; manji
 
Simba sio ya mtu mmoja kama unavyofikiri!

kulipa mshahara wachezaji sio ndio kumilikishwa timu, mwambie simba sc ni zaidi ya Tsh bilion 1
ukumbuke simba inawenyewe ndio maana muda wote analialia anataka haki miliki kamili kwa sasa hana uwezo wa kuzuia simba kuingia mkataba na sportpesa
Duh, uelewa wako finyu sana
 
Umetumwa! Uzuri nakufahamu sana,hauna kazi mjini kazi ni kushinda pale msimbazi ukisubiri makombo yanayodondoka kutoka mezani mwa bwana zako!! Kwa Mo hazuilikiki kuichukua Simba
 
mwekezaji anawekeza sehemu anaona panafaa kwani mmiliki wa chelsea alikuwa anashindwa kuanzisha timu yake huko russia
 
Back
Top Bottom