LadyAJ
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 7,173
- 9,631
We unaonaje?Kwani kuitaja UDOM ni DHAMBI..!!?
We unaonaje?Kwani kuitaja UDOM ni DHAMBI..!!?
Ni KAWAIDA...We unaonaje?
Inamaana sisi wa SAUT siyo watz au ?
Pumbavu
Hata mm nimeshangaa. Masuala ya GPA NECTA si yalishafutwa?Hata hivo hilo tangazo lina utata sana.. 1st year undergraduate.. at least 3.8 GPA???? how comes? ama alikuwa anamaanisha waliopata division one?
Alaa okay.. ni utaratibu mzuri. hata mimi one day nikija kuwa super billionaire lazima nimwage scholarship kwa chama langu la UDSMAtakuwa anamaanisha GPA ya mwaka iwe 3.8, si unajua kila mwaka una GPA na ile ya mwisho ni average?
Ndg, hata km umetoka chuo kikuu cha mbinguni, usiite wanaUDom vilaza !!!!! Utamu wa ngoma ingia ucheze.Pipo mnaisuta Udom huku hamjasomea pale, Kwa nini ? Wew unadhani watu wanazawadiwa digrii pale ? Ungejua msoto uliopo hapo Udom usingesema haya.Acheni mambo ya ajabu.By the way vyuo vyote vilaza na vipanga wapo.Sio Havard, muhas, Udom saut sua Udsm n.k kote n yaleyale tuu hakuna jipya tusitishiane bure jamani ! Lol ha haView attachment 390616View attachment 390617View attachment 390618View attachment 390620
Nasikia Maprof wa The Udom aka Vilazer wamemind kinyama.
Serikali ya Wanafunzi Udom imepiga marufuku bidhaa za MO kuuzwa THE UDOM
Udsm Home of VIPANGA
mkuu Harvard hakuna kilaza.Fatilia kwa kina sifa za watu wanaochukuliwa Harvard.Ndg, hata km umetoka chuo kikuu cha mbinguni, usiite wanaUDom vilaza !!!!! Utamu wa ngoma ingia ucheze.Pipo mnaisuta Udom huku hamjasomea pale, Kwa nini ? Wew unadhani watu wanazawadiwa digrii pale ? Ungejua msoto uliopo hapo Udom usingesema haya.Acheni mambo ya ajabu.By the way vyuo vyote vilaza na vipanga wapo.Sio Havard, muhas, Udom saut sua Udsm n.k kote n yaleyale tuu hakuna jipya tusitishiane bure jamani ! Lol ha ha
VilazaInamaana sisi wa SAUT siyo watz au ?
Pumbavu
Mkiambiwa Udsm ni chuo kikubwa muwe waelewa bhana.Inamaana sisi wa SAUT siyo watz au ?
Pumbavu
Unajua Cutting point ya kuchukuliwa Udsm kwa faculty za law. Je faculty za education nazo.Ndg, hata km umetoka chuo kikuu cha mbinguni, usiite wanaUDom vilaza !!!!! Utamu wa ngoma ingia ucheze.Pipo mnaisuta Udom huku hamjasomea pale, Kwa nini ? Wew unadhani watu wanazawadiwa digrii pale ? Ungejua msoto uliopo hapo Udom usingesema haya.Acheni mambo ya ajabu.By the way vyuo vyote vilaza na vipanga wapo.Sio Havard, muhas, Udom saut sua Udsm n.k kote n yaleyale tuu hakuna jipya tusitishiane bure jamani ! Lol ha ha
Sikuwa tayari kuchangia but imenibidi nicheke sana.mkuu Harvard hakuna kilaza.Fatilia kwa kina sifa za watu wanaochukuliwa Harvard.