FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 93,057
- 109,407
Ilala ina tofauti gani na Ubungo au Kawe?
Jaribu bahati yako ndipo utapoijuwa tofauti iliyopo.
Ilala ina tofauti gani na Ubungo au Kawe?
Sasa kwa nini CDM isikubalike Ilala? kama una ujasiri toa hoja maana sehemu nyingi imekubalika, kwa hiyo si suala la sera, tuambie nini hasa mpaka utamani kuhama Nchi? Maana kuapia huku ni kama vile hujui demokrasia maana yake nini.
usipoteze muda kunipa hongera niwajjibu wangu kwa watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yao, pia wewe haujafungiwa kuwa mzalendo wa kweli, karibu
Ukitaka kuwachafua hawa wazamiaji, wahindi koko, na waharabu, wa------- waambie kuhusu CDM, wana mind kichizi! maana wanajua hicho ndiyo kificho chao cha kufanyia mambo machafu, na wanajua kuwapoza magamba ni kumwaga pesa tu!
Huyo Al Kharoos ni mzazi wa mwenzake na mwenye kaya! walizaa 1985 kama sikosei..na Kuhusu taarifa za Ilala si kweli kwasababu kuna majimbo zaidi ya matatu, na kwanini iwe Ilala?! Huyo mama aendelee tu kufanya biashara yake ya mafuta na Gbp Oil yake na aendelee kutafuta umaarufu michezoni kwa kudhamini Twiga Stars na Simba..eti jike la nyuki...mppssxxyy
Wee bangoo acha umbea usemayo ni Sensless (upuuzi mtupu) wachache tu Lakini TZ Nchini nzima ni waoga na hovyo nawe ukiwemo !! kwani hatujijui unashabikia utumbo nna Baseless points.Ni moja ya jimbo linaloongozwa na watu wasio na maana kabisa.. Wakazi wake wengi ni watu wa hovyo.. Waoga sana.. Ccm hata wakiweka chizi anashinda.. Wengi wahindi waarabu wapemba... Wapemba wamenunua nyumba nyingi lakini waoga..
Kweli majungu na unafiki umezidi hapa,kampuni ya GBP inahusika vp na rahma?
Acha majungu ya kike wamiliki wa GBP hata rahma hawamjui,sema kitu ambacho una uhakika nacho sio kuleta majungu mradi usifiwe
Wote hao wanajitesa majimbo yote hayo yanaingia mikononi mwa CDM
Huyu hapa na mwanawe.....mengine siyajui!Hapa wakiwa Sunderland AFC Uingereza wakati wa mkutano wa G8...Incidentally mkulu naye akatembelea Sunderland hiyohiyo wakati huohuo!
Huyu hapa na mwanawe.....mengine siyajui!Hapa wakiwa Sunderland AFC Uingereza wakati wa mkutano wa G8...Incidentally mkulu naye akatembelea Sunderland hiyohiyo wakati huohuo!
Aaa kweli wewe THE REAL Safari , umenimaliza "no comment"
shukrani mkuu.
yaani wewe unawaita akina FaizaFoxy wajingawajinga?????ilala wanakaa wajinga wajinga... Wanaopewa kanga pombe, flana na 5,000.. Zungu anapita kirahisi sana... Waswahili ni watu wabaya sana... Wanaridhika na vitu vidogo vidigo!
nilichojibu ni ukweli mtupu, na ningekuwa nimeandika utumbo mtupu ungepata nni cha kuchangia, hivyo kuna point ndiyo maana unajiuma, muda unakuja na ndiyo utajua ukweli ninao ongea, tanganyika itakombokaHayo sii kweli na unazungumza utumbo mtupu!! mbona wengi Wamo CDM na kweingine? ED, Chenge nk walifanya mazuri?
afu nani amwage pesa Ovyo alizochuma kwa jasho lake? Wew acha upotosh na umbea wako!! "be FAIR"
Huyo Al Kharoos ni mzazi wa mwenzake na mwenye kaya! walizaa 1985 kama sikosei..na Kuhusu taarifa za Ilala si kweli kwasababu kuna majimbo zaidi ya matatu, na kwanini iwe Ilala?! Huyo mama aendelee tu kufanya biashara yake ya mafuta na RBP OIL & Industrial Technolog yake na aendelee kutafuta umaarufu michezoni kwa kudhamini Twiga Stars na Simba..eti jike la nyuki...mppssxxyy
si kama wa mtu yoyte, sisukumwi na mtu, uzalendo kwa vizazi vijavyo vya kitanzania/tanganyika, uzalendo hauigwi haufundishwi ni dhamira ya ndani ya mtu...na pia si dhambi kutokuwa mzalendo, maana kuna namana nyingi za kujipatia mkate wa kila sikuUzalendo kama wa Nasari?