AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Chadema bana mhh..!!walijaribu maandamano haikuleta majibu,occupy unga limited ikafeli,yaani kila kitu kibounce.mgomo wa madaktari nao unaelekea kushindwa kufikia malengo yakisiasa waliotarajia kina mnyika NDO MAANA MNYIKA KITI CHA BUNGENI ANAKIONA CHA MOTO.HATULII KILA DAKIKA .MUONGOZO.ili apenyeze suala la mgomo lijadiliwe.
ww nawe ni khafiri 2.