Mnyika umesema, wao wamethibitisha!!

Chadema bana mhh..!!walijaribu maandamano haikuleta majibu,occupy unga limited ikafeli,yaani kila kitu kibounce.mgomo wa madaktari nao unaelekea kushindwa kufikia malengo yakisiasa waliotarajia kina mnyika NDO MAANA MNYIKA KITI CHA BUNGENI ANAKIONA CHA MOTO.HATULII KILA DAKIKA .MUONGOZO.ili apenyeze suala la mgomo lijadiliwe.

ww nawe ni khafiri 2.
 
Madhaifu wanajulikana ,kazi kupiga makelele na ubishi mwingi !
 
Tanzania is a zombie nation, period! yaani nchi ya misukule, no hope, no future.
 
Liwalo na Liwe!!!!!!!!!!!, naenda zangu love connect kutafuta kiburudisho.:israel:
 
hivi unategemea nini unachagua rais wa aina ya JK!!! hakuna jipya ..yuko busy kuwekeza kenye mahoteli na kununua milori kwa ajili ya kusafirisha mafuta kwenda DRC..hakuna rais hapo bana
 
CCM niambieni nimfariji vipi mgonjwa wangu anaelekea kufa naniambia nimwitie Doctor na madoctor wamegoma nimwambie nae aende mahamakani au nimpeleke kwa mama Makinda ili awe na huruma swala la MAdoctor lipate nafasi ya kujadiliwa tupate suluhisho wagonjwa wapone jamani.
 
Leo tunashuhudia siku ya saba watanzania wakitaabika kwa kukosa huduma ya matibabu. Je, wenye dhamana wanasema nini? – tumefanya kila jambo imeshindikana, hatuwezi kusema lolote jambo hili liko mahakamani, tume imeundwa…. Udhaifu huu wanaounesha viongozi wetu ni mkubwa kuliko alivyosema Mnyika.

Techinicalities and protocol aside watu wanakufa jamani - haitoshi kutupa majibu haya yasiyo na mshiko hivi mmetaarifa magonjwa yasubiri kwani jambo hili liko mahakamani.

Kwa hili nasema mihimili yote sasa imethibitisha udhaifu mkubwa na kutokujali wananchi wake - mbunge wangu naomba jibu kama jambo liko mahakamani nimwambie nini mgonjwa wangu?

Tatizo kubwa hapa lipo kwa spika be kiroboto ndo anaepangua hoja za wabunge zenye maslahi kwa taifa na raia wake kwa ujumla!
 
Sisi Watanzania tunaongoza kwa "umbumbumbu". Kwa hili suala la Madaktari hasa baada ya mbinu kandamizi za kutaka kuua viongozi wa madaktari tulitakiwa tuonyeshe kwa vitendo kutokubaliana na kinachoendelea. Ajabu naona WATU wanaendelea na shuguli zao Kama kawaida. Du umbumbumbu hatari unaenda kazini wakati hujui ukipata tatizo utatibiwa wapi.....ajabu na kweli. Unapanda boda boda kweli hii leo...mmmh umbumbumbu umetujaaa. Mbunge unazunguka na kiti bungeni wakati hospital imefungwa...du haya ni maajabu.

Mkuu hata mimi nilifikiri starting point ndo tumeipata ya nguvu ya umma kuanza kufanya kazi kumbe hola ndo kwaanza hatuna habari!
 
Jamani kwani Babu wa Lolindo yuko wapi?Ndugu zangu hii ndio nafasi ya Waganga wa Kihenyeji kuonyesha Umaarufu ilikuwasidia Watanzania.
 
Back
Top Bottom