Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Habari kutoka ndani ya chama jimbo la Kibamba zinasema mbunge wa sasa wa Kibamba Mheshimiwa John John Mnyika ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CHADEMA mpaka muda wa kuchukua fomu unaisha alikuwa hajachukua fomu ya kutetea kiti hicho.
Kama hizi habari ni za kweli je ni nini sababu? Ametosheka au anajipa muda wa kuitumikia nafasi ya katibu mkuu?
====
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema hatogombea ubunge katika uchaguzi ujao ili apate muda zaidi wa kushughulikia masuala ya uongozi wa chama, waweze kupata ushindi. Mnyika amekuwa mbunge kwa vipindi viwili akiwakilisha Jimbo la Ubungo (2010-2015) na Kibamba (2015-2020).
POLITICS: CHADEMA's SG, John Mnyika, has declared that he will not run for any political position, including a Member of Parliament position, in this year's general election.
Mnyika has been a Legislator for the past 10 years, currently is the MP of Kibamba Constituency in Dar.
Kama hizi habari ni za kweli je ni nini sababu? Ametosheka au anajipa muda wa kuitumikia nafasi ya katibu mkuu?
====
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema hatogombea ubunge katika uchaguzi ujao ili apate muda zaidi wa kushughulikia masuala ya uongozi wa chama, waweze kupata ushindi. Mnyika amekuwa mbunge kwa vipindi viwili akiwakilisha Jimbo la Ubungo (2010-2015) na Kibamba (2015-2020).
POLITICS: CHADEMA's SG, John Mnyika, has declared that he will not run for any political position, including a Member of Parliament position, in this year's general election.
Mnyika has been a Legislator for the past 10 years, currently is the MP of Kibamba Constituency in Dar.