Mnyika; njoo kimara haraka

Mnyika; njoo kimara haraka

Msusu

Member
Joined
Dec 23, 2009
Posts
20
Reaction score
3
Ndugu John J. Mnyika, mbunge wa jimbo la ubungo, mimi ni mpiga kura wako ambae nlikuchagua kwa mbwembwe nyingi mno na nlikua mmoja wa wasimamizi wa kura zako pale mabibo, ninakaa kimara bonyokwa. kwa kweli mbunge wangu kipenzi njia zetu zote hazipitiki brother, hapa nipo hapa vinane kama unapafahamu almost anhour gari haziendi miundo mbinu mibovu sana bro. bahati mbaya sana we don't have an alternative way ya kutufikisha akwetu bro. makaravati mengi hayapitiki right now sababu ni mvua halafu hamna anaejali. najua una majukumu mengi ya kitaifa ila hili ni mojawapo kaka yaani tumekosa motivator tu, njoo tu organise tuweke sawa njia zipitike mkuu. yaani ni kuanzia kimara mwisho pa kuingilia kwetu bonyokwa ni shida na huku v8 pia.

ni mimi mkazi wa bonyokwa mpiga kura wako na mfuasi wako. asante kwa kunielewa.

usiku mwema!!
 
Utamsubiri hadi Yesu arudi. Mkiambiwa CHADEMA ni walaghai mnadhani tunatania.

Waulize wenzako wa Ubungo kama wameshatimiziwa ahadi hata moja. Wakiuliza wanajibiwa siyo kazi ya mbunge ni ya serikali.
 
unataka aje kuongoza magari kama trafiki?

Si unaona majibu yao mkuu Msusu? Achana na hawa matapeli watakusababishia majanga uiache familia yako ikiteseka wao wanaendelea kuponda raha.

Rudi nyumbani CCM.
 
Last edited by a moderator:
Utamsubiri hadi Yesu arudi. Mkiambiwa CHADEMA ni walaghai mnadhani tunatania.

Waulize wenzako wa Ubungo kama wameshatimiziwa ahadi hata moja. Wakiuliza wanajibiwa siyo kazi ya mbunge ni ya serikali.

kwaiyo unataka Mnyika atoe pesa yake mfukoni? kwani msaada huo? acha shobo!
 
kwaiyo unataka Mnyika atoe pesa yake mfukoni? kwani msaada huo? acha shobo!

Ndo majibu yako haya unayopewa mkuu Msusu. Cha maana wewe ni kuvumilia hadi 2015 uende kuwaadhibu CHADEMA kwenye boksi la kura.

CHADEMA ni chama cha matapeli.
 
Last edited by a moderator:
Halafu ukiandika utumbo wanajifanya wanamisimo
Si unaona majibu yao mkuu Msusu? Achana na hawa matapeli watakusababishia majanga uiache familia yako ikiteseka wao wanaendelea kuponda raha.

Rudi nyumbani CCM.
 
Last edited by a moderator:
Tusijibu maswali kwa hoja ndogo ndogo,,,,Mnyika inabidi awe na hizi taarifa, wakati yuko bungeni aliandika kwenye ukurasa wake wa fb na kuandika no ya simu ya katibu wake na alikuwa akipita kukagua athari za mafuriko ili aweze kupeleka taarifa sehemu husika ili warekebishe,,,mtoa uzi kama kweli unania ya dhati basi ingia kwenye ukurasa wa fb wa mbunge wako uchukue no ya simu upige uone utajibiwa nn, inawezekana hata hizo taarifa hazipo ofcn kwake,,,
S3
 
mtoa uzi kama kweli unania ya dhati basi ingia kwenye ukurasa wa fb wa mbunge wako uchukue no ya simu upige uone utajibiwa nn, inawezekana hata hizo taarifa hazipo ofcn kwake,,,
S3

Wananchi wanalalamika simu inapigwa haipokelewi na hata ikipokelewa (kwa mara chache sana) wanajibiwa majibu ya shortcut na hakuna chochote kinachoendelea.

CHADEMA ni matapeli na 2015 jimbo linarudi CCM. Wananchi wa jimbo la Ubungo hawawezi kuyaweka maisha yao rehani kwa miaka mingine mitano.
 
usitake kutetea ujinga hujui jukumu la mbunge? Wenzake wanafanya nini kukabiliana na matatizo ktk majimbo yao?
Filikunjome madiwani wote amewanunulia pikipiki mpaka wa chadema. Kwajiri ya kuzunguka na kusikiriza matatizo ya wananchi anatumia hela ya nani?
Hujua kila mmbunge huwa anapewa pesa la kuendeleza jimbo lake yeye ameleka wapi?
Mnyika hafai tu.
 
usitake kutetea ujinga hujui jukumu la mbunge? Wenzake wanafanya nini kukabiliana na matatizo ktk majimbo yao?
Filikunjome madiwani wote amewanunulia pikipiki mpaka wa chadema. Kwajiri ya kuzunguka na kusikiriza matatizo ya wananchi anatumia hela ya nani?
Hujua kila mmbunge huwa anapewa pesa la kuendeleza jimbo lake yeye ameleka wapi?
Mnyika hafai tu.

Wabunge wote wa CHADEMA ni matapeli al maarufu wachumia tumbo.

Tapeli mkubwa (Dr. Slaa) yeye hadi leo hii analipwa hela ya ubunge na wakati yeye siyo mbunge.
 
pole sana. wewe ulimpa kura ili apate kula, sasa aje huko kufanya nini tena? unachekesha kweli we.
 
mimi kwa siku nanunua maji ya alfu kumi, yaani dumu moja alfu moja, dumu kumi ndio natumia. mabomba yapo hadi ndani lakini hayatoi maji huku kimara. nashindwa nisemeje.
 
Yaani watu wote wamemchoka hawamtaki tena.
Anashindwa hata na Halima Mdee Yuko karibu na jimbo lake njia hazipitika anaweka karavati na kuzuia uchimbaji hovyo wa mchanga.
 
Ndo mkome kuchagua kelele kubwa badala ya vichwa vya ukweli
 
Kwanza wewe ni uongo halafu ni shabiki wa ccm. barbar unayoisema iko chini ya diwani wako wa ccm.Mnyika haongozi magari hiyo ni kazi ya traffic
 
Kwanza wewe ni uongo halafu ni shabiki wa ccm. barbar unayoisema iko chini ya diwani wako wa ccm.Mnyika haongozi magari hiyo ni kazi ya traffic


Mkuu jimbo la nani? wabunge wapo busy na UKAWA wanasahau majimbo yao
 
Yaani watu wote wamemchoka hawamtaki tena.
Anashindwa hata na Halima Mdee Yuko karibu na jimbo lake njia hazipitika anaweka karavati na kuzuia uchimbaji hovyo wa mchanga.

MKUU hayo ni mambo yamakusidi kabisa yanayofanywa na ccm kuwakomoa kwa kuwa jimbo lipo chini ya upinzani.mnasulubiwa weee ili next time mchague ccm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom