Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,599
- 1,798
Mkuu vijana hatari hao, na walitaka kupinga hata uhai wa Zitto.
Thread ilikuwepo jana ikaondolewa chap chap.
Namjua huyo ndumilakuwili mkuu!
Mkuu vijana hatari hao, na walitaka kupinga hata uhai wa Zitto.
Thread ilikuwepo jana ikaondolewa chap chap.
Kuna watu wanadhani upinzani maana yake ni kupinga kila kitu...
Kila haki ina mipaka yake! There is basic rights and duty to every thing! Soma katiba vizuri mburula!
Mtamkoma mwaka huu lazima azae nanyiMnyika ni mhuni wa kawaida tu
Una sumu hapo?
Kuna watu wanadhani upinzani maana yake ni kupinga kila kitu...
Kuna watu wanadhani upinzani maana yake ni kupinga kila kitu...
Tumemzowea!
basic right and duty right so to get information is one of the basic right and the government should respect it we don`t request for our rights but we fight for them! fuc....KKKKK uuuuuu
Kuna watu wanadhani upinzani maana yake ni kupinga kila kitu...
Yeees! Yeees! Fu......ck u toooo! And who next? The st....pid political party of yours! Who next!? Your moom! You dick head!
Kina mnyika waungane bungeni kupelekwa muswada wa kufanya marekebisho ya sheria kandamizi na mbovu kama hizi badala ya kuishia kutoa matamko!
We Ben mtu akikuangalia kwa harakaharaka anaweza kudhani mtu mwenye busara,hekima na unafanya mambo ki taaluma! Kumbe huna lolote kichwani (brain washed) hiyo hoja unayoiweka hapa ina uhusiano gani na nilichopost hapo? Tumia ubongo kufikiri sio masharubu!
Yeees! Yeees! Fu......ck u toooo! And who next? The st....pid political party of yours! Who next!? Your moom! You dick head!
Katika ukurasa wake wa Facebook Mh.John Mnyika ameandika" Jana nilihutubia Kigamboni Mji Mwema, wananchi wameunga mkono kupinga kufungiwa kwa gazeti la Mtanzania na Mwananchi. Nimetaka na gazeti la MwanaHalisi lifunguliwe.
Sheria mbovu kama hazibadilishwi zinapaswa kupingwa kwenye mahakama ya umma na mahakama za kawaida. Mahakama za kawaida huchukua muda mrefu, je tunajua kwamba MwanaHalisi walifungua kesi mpaka sasa hukumu bado?"
Una sumu hapo?