CHADEMA Mpya
Member
- Jun 5, 2012
- 84
- 22
Katika ukurasa wake wa Facebook Mh.John Mnyika ameandika" Jana nilihutubia Kigamboni Mji Mwema, wananchi wameunga mkono kupinga kufungiwa kwa gazeti la Mtanzania na Mwananchi. Nimetaka na gazeti la MwanaHalisi lifunguliwe.
Sheria mbovu kama hazibadilishwi zinapaswa kupingwa kwenye mahakama ya umma na mahakama za kawaida. Mahakama za kawaida huchukua muda mrefu, je tunajua kwamba MwanaHalisi walifungua kesi mpaka sasa hukumu bado?"
Sheria mbovu kama hazibadilishwi zinapaswa kupingwa kwenye mahakama ya umma na mahakama za kawaida. Mahakama za kawaida huchukua muda mrefu, je tunajua kwamba MwanaHalisi walifungua kesi mpaka sasa hukumu bado?"