UBUNGO YETU
Member
- Feb 19, 2015
- 35
- 6
Tumekuwa tukilaumu sana safari za J.Kikwete Ulaya na kusahau kutembelea na kutatua matatizo ya wananchi wake, hali hii napenda niifananishe na Mbunge wangu Mnyika yeye kila siku kimguu na njia ila mtaani kwetu haonekani.
Hatujakuchagua kuwa mbunge wa magazeti, kumbuka ni sisi wana Ubungo tuliokufanya ufikie hapo.
Nawasilisha na hii ni maalumu kwa wana Ubungo
Hatujakuchagua kuwa mbunge wa magazeti, kumbuka ni sisi wana Ubungo tuliokufanya ufikie hapo.
Nawasilisha na hii ni maalumu kwa wana Ubungo
Inafika wakati mtu unajuta kumchagua mtu fulani kuwa kiongozi wako,yaani unakaa muda wote huo huji hata kusikiliza kero zetu.Yapi uliyoahidi umetekeleza?
Nakuambia hivii,tutakutana kwenye sanduku la kura, sipigii chama napigia mtu kulingana na uwezo wake wewe naon umeshindwa.
Yani hata sasa hivi kuelekea uchaguzi mkuu umeshindwa kuja kujigonga? Tunakusikia mara mwanza mara Mtwara au hao ndio waliokuchagua.
Hivi unashindwa kuiga mfano wa Ndesamburo watu wa Moshi kwa raha zao,we kazi kupiga domo kwenye majimbo ya wengine.