Mnyika Mbunge wangu, ya wengine unayajua, yako je?

Mnyika ubungo kafanya mengi,ungepa pongezi zake,sijui umekula maharage ya wapi wewe.

Usicheze step ya ngoma usiyoijua kama umetumwa kumtetea kaa pembeni wenye ngoma ndio tunajia aina gani ya step tunayoicheza matatiz yetu tunayajua sisi na huyu hapiki mwaka huu..aende kanda ya ziwa watamchagua
 
Mbona hata wewe husemi nini hajafanya? Ccm imekuwa na jimbo hilo kwa zaidi ya miaka 50. Mnataka kumbebesha lawama MTU aliekaa kwa miaka 4 tu? Tumeona mnyika akifuatilia maji mguu kwa mguu, mi nyinyiem ndo mnaweka kauzibe

Tulimpa kwa ahadi zake ila mambo ndo yamekuwa worse zaidi
 
Ninaishi Ubungo.Ingawa sikatai kunaweza kuwa na changamoto za hapa na pale zinazosababishwa na serikali lakini Mnyika amefanya kazi kubwa sana kwa kipindi cha miaka 4 ya Ubunge wake.Hakuna mbunge yeyote wa CCM ameweza kuyafanya haya kwa miaka yote iliyopita.

Ukitaka kujua wabunge vimeo fanya ziara ya siku moja katika jimbo la Ukonga na ukirudi Ubungo utamuamkia Mnyika Shikamoo.
Sema kafanya nini sio porojo tu unaleta....
 
Tumekuwa tukilaumu sana safari za J.Kikwete Ulaya na kusahau kutembelea na kutatua matatizo ya wananchi wake, hali hii napenda niifananishe na Mbunge wangu Mnyika yeye kila siku kimguu na njia ila mtaani kwetu haonekani.

Hatujakuchagua kuwa mbunge wa magazeti, kumbuka ni sisi wana Ubungo tuliokufanya ufikie hapo.

Nawasilisha na hii ni maalumu kwa wana Ubungo


Anadhani ubungo wamekaa mabongo lala kama tulivyomtoa wamwanzo ndivyo tutakavyomtoa Mnyika ili aendele kuitumikia vizuri Chadema taifa....na kuwasaidiA wengine kwenye majimbo yao
 
Kila mnapoulizwa majukumu ya wabunge wa chadema mnatoa mfano wa ccm eti imetekelezaje ahadi zake! ni kichekesho! kwa hiyo wabunge wa chadema hawatatekeleza ahadi zao simply kwa kuwa ccm haikutekeleza baadhi ya ahadi zake! how pathetic! Kwa hiyo hata mkipewa dola mtakaa miaka mitano bila kutekeleza chochote, na mkirudi kwa wananchi mtasema, "mbona ccm wamekaa madarakani miaka 50 na hawakutimiza ahadi zote, tupeni muda tena" mtauona mtiti wake maana watanzania wa leo sio wa kudanganywa.

This has logic wachache sana wenye akili hizi.....
 
kama mtu kashindwa alichoahidi, isitumike
kigezo eti mbona ccm wamekaa miaka 50 hawajafanya kitu.
hizo zitakuwa siasa matope...

kama kashindwa anapigwa chini...
tuchague sera na uwezo wa mtu sio chama...
 
Kwani mnyika ndio mkandarasi na mkusanya kodi wa serikali? Unataka ajenge barasbara kwa fedha zake za mfukoni,? Bangi mbaya sana aisee?pole sana.

We kwenda kule wabunge wangapi wengine wametekeleza haya hela wametoa wapi....nenda moshi uone alichofanya ndesamburo........acha ujinga yeye ndiye msimamiaji na kuhakikisha yale aliyoyasema anatekeleza sasa tunaona kila siku bora na miaka 10 iliyopita kweli Mnyika UBUNGO SI SIZE YAKO.....ONA INAKUPWEREPWETA SASA
 
kama mtu kashindwa alichoahidi, isitumike
kigezo eti mbona ccm wamekaa miaka 50 hawajafanya kitu.
hizo zitakuwa siasa matope...

kama kashindwa anapigwa chini...
tuchague sera na uwezo wa mtu sio chama...

Kaka hii nzuri sana kiukweli tumemchoka.....anachoweza jamaa mdomo tu...ngoja watutumtoe huyu....wanaubungo jaman tuanze kupropose tu mapema....tunataka mtu aliyekaribu na wananchi na atakayetekeleza anachoahidi hatutaki porojo za mtu anayefanya kazi kwa kuwaridhisha mabosi wake na kusahau wale waliomuweka madarakani....
 
Chadema chama langu kufa na kuzikana,mimi sio msaliti kama zzK na Act yake,sio ccm chama cha majambaz na mafsadi na cjawai fka rumumba kupewa buku 7000,ni cdm damu ata huyo mnyika akiniona ananitambua japo kwa sura na anajua mimi M4C pure.
ila wanachama wenzangu kwa majibu kama haya mnaotoa kwa mreta mada ni dhairi shairi kwamba hayatoshi kuwa sahh kwetu kumpatia mleta uzi,mengi ni majibu ya kahuni na tunaweza poteza imani kwa wageni wapya wa Jf ambao wanataka kujua mijadara ya chama inaendleaje?,na ikumbukwe kipindi hiki vijana na wazee ndo wameibukia kwenye siasa na wanapenda mabadriko.
Hivyo tujipange vyema kujibu hoja na maswali ya wachokozi wetu ili kuwapa moyo wanaokiona chama chetu cha cdm kama mkombozi wao vingnevyo ccm-A na ccm-B watatumulia vumbi hiyo oct.

Hii ni hii rubbish....umeishia darasa la ngapi aseeee
 
Kwa kweli sio siri Mnyika unavyotufanyia tuliokuchagua si uongozi na si ubinadamu. Toka tukuchague tumekuwa watu wa shida, tunavumilia tukijua ndio mambo yalivyo kuna siku utatukumbuka lakini imekuwa tofauti.

Vinyesi vya stend ya mkoa vimekuwa ndio pafyum ya wanajimbo wako waishio kule, wamelalamika wee hadi wamevizoea. Huduma za kijamii, barabara za mitaani hovyooooo mashimo kila upande. Dawasco ndio wametuchezea hadi wenyewe wamechoka na sasa angalau wanaachia maji mara moja moja kwa baadhi ya sehemu. Hospitali hatuna, Soko balaa tupu.

Kwa kifupi bwana wewe! ....... endelea kupeta, jina lako limekuwa jivunie kwa hilo. Tujulishe tu utatuembelea lini maana tumekumiss!
 
Jamani eeee usiropoke tu humu. Mnadai kafanya mengi tu ubungo yapi??? hebu yatajeni. Hakuna alilolifanya. Sisi ndio wazawa wa Ubungo kitu kipya kilichofanyika hatukioni. Mnadai hana pesa, sio kila kitu kinafanywa kwa pesa. Kwa kiongozi kama Mnyika angekuwa karibu na jimbo lake hata angeshiriki kukemea mavi yanayotiririka stand ya mkoa yazibwe na manispaa... kelele zake tu zingetosha.

Mara ngapi wakazi wa nyuma ya stend wametaka kutolewa/kuhamishwa kinyemela, yeye amesema nini? hebu acheni ushabiki wa siasa. Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake!

Mheshimiwa Mnyika Shikamoooo
 
We kwenda kule wabunge wangapi wengine wametekeleza haya hela wametoa wapi....nenda moshi uone alichofanya ndesamburo........acha ujinga yeye ndiye msimamiaji na kuhakikisha yale aliyoyasema anatekeleza sasa tunaona kila siku bora na miaka 10 iliyopita kweli Mnyika UBUNGO SI SIZE YAKO.....ONA INAKUPWEREPWETA SASA

Ndesamburo lasima utambue pale Moshi serekali ni ya cdm bajeti wana panga wao ingawa mkurugenzi ni kikwazo kikubwa lakini inakuwa rahisi kumzidi maarifa tofauti na Ubungo madiwani ni wa çcm kwahiyo inapopangwa bajeti inakuwa kama unavyo ona bungeni wengi wape hata hayo yaliyo fanyika nampongeza na mngine anapo sema mnyika in msemaji tu siyo mtendaji kazi ya mbunge ni kuwasemea wananchi watendaji ni serekali huo ndiyo utaratibu kwahiyo kama in msemaji mzuri kimsingi ndiye mbunge mzuri
 
Mkuu Molemo msaidieni Mnyika. Kwa kweli wanaubungo tuna shida nyingi. Barabara ni mbovu sana. Hii inaweza kuchangiwa na mazingira ya ubungo hasa maeneo ya kimara lakini mbunge wetu haonekani huko kuja kuwahamasisha wananchi wake kujiletea marndeleo. Barabara za jirani zetu yaani jimbo la segerea ni nzuri na zinafanyiwa kazi na manispaa. Manispaa ya Kinondoni ina grader tena jipya lakini halionekani. Lingesaidia sana kuchonga barabara hata kwa wananchi kuchangia mafuta lakini halipatikani.
DIWANI mumeona?
 
Last edited by a moderator:
HII NDO KAZI YA MNYIKA ;
KATUMWA PESA
attachment.php
 
Inafika wakati mtu unajuta kumchagua mtu fulani kuwa kiongozi wako,yaani unakaa muda wote huo huji hata kusikiliza kero zetu.Yapi uliyoahidi umetekeleza?

Nakuambia hivii,tutakutana kwenye sanduku la kura, sipigii chama napigia mtu kulingana na uwezo wake wewe naon umeshindwa.

Yani hata sasa hivi kuelekea uchaguzi mkuu umeshindwa kuja kujigonga? Tunakusikia mara mwanza mara Mtwara au hao ndio waliokuchagua.

Hivi unashindwa kuiga mfano wa Ndesamburo watu wa Moshi kwa raha zao,we kazi kupiga domo kwenye majimbo ya wengine.

unfounded allegations
 
Back
Top Bottom