Mnyika Mbunge wangu, ya wengine unayajua, yako je?

mimi kama mkazi wa ubungo nafikiri mnyika hafahamu vizuri watu walivyo mchoka jimboni kwake. wengi mnaomtetea ni kwa vile hampo jimboni kwake na hamjui ni jinsi gani wananchi walivyo mchoka huyu jamaa. nawaambieni october jamaa anawakati mgumu sana tuombe uhai ili wengi mlishuhudie hili ninalo waambia
 
Mbunge wangu Mnyika haonekani Ubungo na hatimaye bunge linaenda kuanza.Nilisikia huwa anapita kuchukua kero kabla ya kwenda bungeni mbona nimekwenda mara 10 sijampata.

Jamani mnisaidie namba yake ile ya voda hapokei wala hajibu meseji.
nenda pale kwenye ofisi ya mbunge , peleka kero zako kwa maandishi , shida yako itatatuliwa .
 
MIRADI ILIYOTEKELEZWA KWA MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO TOKA 2010/2011, 2012/2013 NA 2013/2014. S/NA KATA MRADI GHARAMA TSH. HALIHALISI YA UTEKELEZAJI
1 Kwembe Ukarabati wa jingo la kutolea huduma ya afya kwa akina mama na watoto (MCH). 27,245,433.00 Mradi umekamilika
2 Ubungo Kuchangia ujenzi wa police post eneo la Golani (awamu ya kwanza) 5,991,700.00 Mradi upo katika hatua ya umaliziaji.
MRADI GHARAMA TSH HALIHALISI YA UTEKELEZAJI
Ubungo Umaliziaji wa kituo cha police msewa(awamu ya pili) 5,99,1,700.00 Mradi upo katika hatua ya umaliziaji
Kuchangia ujenzi wa kivuko cha waendao kwa miguu eneo la Mewe – Kibo kata ya Ubungo 5,000,000.00 Mradi umekamilika
Ujenzi wa kivuko cha waendao kwa miguu kwa mtaa wa kibo 4,500,000.00 Mradi umetekelezwa
3 Kibamba Ujenzi wa choo katika shule ya sekondari Hondogo 22,000,000.00 Mradi umekamilika
Umaliziaji wa choo cha shule ya sekondari Gogoni 10,000,000.00 Kazi haijatekerezwa
4 Mburahati Ununuzi wa wa madawati 200 ya shule ya sekondari Mburahati Tsh.65,000 13,000,000.00 Madawati 200 yalinunuliwa na kukabidhiwa katika shule ya sekondari Mburahati
Kuchangia Ujenzi wa Kingamaji katika eneo la Barafu kata ya Mburahati 1,659,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ujenzi wa kalvati katika eneo la National Housing kata ya Mburahati(awamu ya kwanza) 4,792,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ujenzi wa kalvati katika eneo la Nationl Housing kata ya Mburahati(awamu ya pili) 3,000,000.00
Kukarabati visima vya maji MBADECO,KWA BI ASIA na ANNA MKAPA na ujenzi wa kalvati eneo la National Housing 10,500,000.00 Kazi inaendelea
5 Kimara Kuchangia vifaa vya ujenzai wa kituo cha police 2,000,000.00 Mradi umepatiwa tofali 2,000 za inchi 5 na nondo za mm.16PCS 10
6 Saranga Matengenezo ya barabara ya Kibanda cha mkaa hadi kwa Abasi - Kimara B 4,000,000.00 Mradi umekamilika
S/NA KATA MRADI GHARAMA TSH. HALI HALISI YA UTEKELEZAJI
7 Mbezi Kuchangia ujenzi wa kivuko cha waenda kwa miguu eneo la saba kata ya Mbezi 75,00,000.00 Mradi hauja tekelezwa na fedha ziko katika akaunti ya kata ya Mbezi
Kuchangia mradi wa maji wa kuweka by pass kwa ajili ya Makabe,Msakuzi na Mpiji Magohe 4,210,000.00 Kazi ya kuweka by pass imekamilika
Ununuzi wa madawati 120 kwa ajili ya shule ya msingi Msumi kata ya Mbezi 12,000,000.00 Madawati yamenunuliwa na kukuabidhiwa katika shule ya msingi Msumi
8 Makurumla Ujenzi wa kivuko cha waendao kwa miguu katika eneo la Jogingi kata ya Makurumla 7,000,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia uchimbaji na upanuzi wa mfereji wa maji ya mvua eneo la daraja la Mwinyi katika kata ya Makurumla 3,000,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ukarabati wa madarasa 2 ya shule za msingi Mianzini kata ya Makurumla 5,000,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ujenzi wa kivuko kinacho unganisha mtaa wa Kilimahewa 7,500,000.00 Mradi umekamilika
9 Mabibo Ujenzi wa kivuko cha waenda kwa miguu Mabibo kisiwani 2,500,000.00 Mradi umekamilika
Ujenzi wa mifereji katika Zahanati ya Mabibo 2,500,000.00 Mradi umekamilika
Mradihaujatekelezeka na fedha za mradi huu zimebadilishwa matumizi.Fedha hizo zilitumika kujenga kivuko cha waenda kwa miguu katika mtaa wa Kanuni
S/NA KATA MRADI GHARAMA TSH HALI HALISI YA UTEKELEZAJI
Kuhangia mradi wa ujenzi wa daraja linalojengwa kwa nguvu za wananhi mtaa wa Kanuni 6,000,000.00 Mradi haujatekelezwa

10 Msigani Kuchangia ujenzi wa kivuko cha kudumu Msigani 3,085,000.00 Kazi imekamilika
Kuchangia mradi wa maji Msigani 3,500,000.00 Mradiumekamilika
11 Goba Kuchangia mradi wa maji Goba 3,000,000.00 Kazi ilifanyika kwa kulipa sehemu ya bill ya maji
Kuchangia ujenzi wa kivuko cha waenda kwa miguu eneo la Kulangwa kata ya Goba 5,000,000.00 Mradi umekamilika
12 Makuburi Kuchangia mradi wa maji katika eneo la Makoka - Uluguluni 10,000,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ujenzi wa kalvati na matengenzo ya barabara katika eneo la Ubungo Islamic sec.school mtaa wa Kibangu 10,000,000.00 Ujenzi umeanza
13 Manzese Kuwawezesha wanakikundi cha usafi wa mazingira ha mtaa wa Muungano kata ya Manzese 5,000,000.00 Kikundi kilikabidhiwa fedha kupitia uongozi wa kata ya Manzese
Ununuzi wa madawati 120 kwa ajili ya shule za msingi Ukombozi,Manzese,Uzuri na Kilimani 12,000,000.00 Madawati ya menunuliwa na kukabidhiwa katika shule za msingi Ukombozi,Manzese,Uzuri na Kilimani
14 Sinza Kuchangia ujenzi wa kituo cha Polie Sinza C 10,000,000.00 Kazi ya ujenzi inaendelea
JUMLA KUU 2333,302,796.00

S/NA KATA/MTAA JINA LA KIKUNDI MRADI VIFAA WANAVYO HITAJI MCHANGO WA WANACHI KIASI KILICHO OBWA MAONI YA OFISI YA MH:MBUNGE
1 MAKURUMLA/KINONDONI MANISPAA KINONDONI VIJAZNZA SACCOS SACCOS Komputa 3 za thamani ya tshs 1,5000,000.00 kifaa cha kuifadhia fedha (kiasi cha 600,000.00 2,100,000 1,100,000
2 UBUNGO UMOJAWA WANAWAKE UBUNGO TANESCO Kutengeneza sabuni Vifaa vya kutengeneza sabuni 2,975,000 1,500,000
Mapambo na usafiri Vifaa vya kupambia 930,000 0
3 MANZESE/KILIMANI PRUDENSI WOMAN SACCOS Kutotoa vifaranga Mashine ya kutotoa vifaranga 500,000 2,800,000 1,500,000
4 MBURAHATI JIPE MOYO WOMAN DEV(JIMOWODE) Kutengeneza sabuni za maji na vipande Vifaa vya kutengeneza sabuni 5,000,000 1,400,000
5 GOBA TUINUANE GROUP Mashine ya kutotolea vifaranga 4,000,000 1,900,000 1,500,000
6 KIMARA MELENIA YA TATU Kushona nguo na kudarizi Mashine za kushona nguo na kudarizi,mikasi na nyuzi 1,000,000 1,000,000
7 KIMARA-BARUTI-KITONGOJI CHA MATETE JUHUDI GROUP Kushona nguo na kudarizi 1,000,000 1,000,000
8 MABIBO GENDER TRAINING INSTITUTE Center for feminist leadership Printer hp 400n series (oloured) 450 and · Utp cable 20m….30,000.00 · Bookshelf 1 kubwa 200,000.00 1,000,000 1,000,000
JUMLA KUU 10,000,000


MIRADI YA JIMBO AMBAYO IMEPATIWA FEDHA KWA MWAKA 2013/2014 S/NA KATA MRADI GHARAMA
1 Mburahati Fedha kwa ajili ya malipo ya bili ya umeme kwa visima vitatu, cha Mbandeko, Bi Asia,Na cha Mama Anna Mkapa. 3,000,000.00
2 Saranga Kuhangia ujenzi wa chumba cha maktaba katika sekondari ya Mavurunza 15,000,000.00
3 Kwembe Kununua makalvati kwa ajili ya kuweka vivuko vya kuunganisha mitaa ya Mpakani,King’azi,Kisopwa,Kwembe na Luguluni 10,500,000.00
4 Sinza Ujenzi wa vivuko katika mitaa ya Sinza E(6 milion) na Sinza D(4milion) 10,000,000.00
5 Msigani Kuchangia ujenzi wa Zahanati ya Malamba Mawili 10,000,000.00
6 Goba Ujenzi wa kituo cha Polisi 12,000,000.00
7 Kimara Kisima cha maji 10,000,000.00
8 Makurumla Uchimbaji wa kisima ha maji mtaa wa sisi kwa sisi 10,000,000.00
9 Makurumla Ujenzi wa kivuko ha waenda kwa miguu mtaa wa kwa jongo 7,000,000.00
JUMLA 87,000,000.00

Mbona kuna aliye leta mchanganuo wa nini kimefanywa na kipi kipo kinaendelea na kipi hakijafanywa. Mbona hamviongelei. Mnalengo gani nyinyi maccm
 
MIRADI ILIYOTEKELEZWA KWA MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO TOKA 2010/2011, 2012/2013 NA 2013/2014. S/NA KATA MRADI GHARAMA TSH. HALIHALISI YA UTEKELEZAJI
1 Kwembe Ukarabati wa jingo la kutolea huduma ya afya kwa akina mama na watoto (MCH). 27,245,433.00 Mradi umekamilika
2 Ubungo Kuchangia ujenzi wa police post eneo la Golani (awamu ya kwanza) 5,991,700.00 Mradi upo katika hatua ya umaliziaji.
MRADI GHARAMA TSH HALIHALISI YA UTEKELEZAJI
Ubungo Umaliziaji wa kituo cha police msewa(awamu ya pili) 5,99,1,700.00 Mradi upo katika hatua ya umaliziaji
Kuchangia ujenzi wa kivuko cha waendao kwa miguu eneo la Mewe – Kibo kata ya Ubungo 5,000,000.00 Mradi umekamilika
Ujenzi wa kivuko cha waendao kwa miguu kwa mtaa wa kibo 4,500,000.00 Mradi umetekelezwa
3 Kibamba Ujenzi wa choo katika shule ya sekondari Hondogo 22,000,000.00 Mradi umekamilika
Umaliziaji wa choo cha shule ya sekondari Gogoni 10,000,000.00 Kazi haijatekerezwa
4 Mburahati Ununuzi wa wa madawati 200 ya shule ya sekondari Mburahati Tsh.65,000 13,000,000.00 Madawati 200 yalinunuliwa na kukabidhiwa katika shule ya sekondari Mburahati
Kuchangia Ujenzi wa Kingamaji katika eneo la Barafu kata ya Mburahati 1,659,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ujenzi wa kalvati katika eneo la National Housing kata ya Mburahati(awamu ya kwanza) 4,792,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ujenzi wa kalvati katika eneo la Nationl Housing kata ya Mburahati(awamu ya pili) 3,000,000.00
Kukarabati visima vya maji MBADECO,KWA BI ASIA na ANNA MKAPA na ujenzi wa kalvati eneo la National Housing 10,500,000.00 Kazi inaendelea
5 Kimara Kuchangia vifaa vya ujenzai wa kituo cha police 2,000,000.00 Mradi umepatiwa tofali 2,000 za inchi 5 na nondo za mm.16PCS 10
6 Saranga Matengenezo ya barabara ya Kibanda cha mkaa hadi kwa Abasi - Kimara B 4,000,000.00 Mradi umekamilika
S/NA KATA MRADI GHARAMA TSH. HALI HALISI YA UTEKELEZAJI
7 Mbezi Kuchangia ujenzi wa kivuko cha waenda kwa miguu eneo la saba kata ya Mbezi 75,00,000.00 Mradi hauja tekelezwa na fedha ziko katika akaunti ya kata ya Mbezi
Kuchangia mradi wa maji wa kuweka by pass kwa ajili ya Makabe,Msakuzi na Mpiji Magohe 4,210,000.00 Kazi ya kuweka by pass imekamilika
Ununuzi wa madawati 120 kwa ajili ya shule ya msingi Msumi kata ya Mbezi 12,000,000.00 Madawati yamenunuliwa na kukuabidhiwa katika shule ya msingi Msumi
8 Makurumla Ujenzi wa kivuko cha waendao kwa miguu katika eneo la Jogingi kata ya Makurumla 7,000,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia uchimbaji na upanuzi wa mfereji wa maji ya mvua eneo la daraja la Mwinyi katika kata ya Makurumla 3,000,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ukarabati wa madarasa 2 ya shule za msingi Mianzini kata ya Makurumla 5,000,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ujenzi wa kivuko kinacho unganisha mtaa wa Kilimahewa 7,500,000.00 Mradi umekamilika
9 Mabibo Ujenzi wa kivuko cha waenda kwa miguu Mabibo kisiwani 2,500,000.00 Mradi umekamilika
Ujenzi wa mifereji katika Zahanati ya Mabibo 2,500,000.00 Mradi umekamilika
Mradihaujatekelezeka na fedha za mradi huu zimebadilishwa matumizi.Fedha hizo zilitumika kujenga kivuko cha waenda kwa miguu katika mtaa wa Kanuni
S/NA KATA MRADI GHARAMA TSH HALI HALISI YA UTEKELEZAJI
Kuhangia mradi wa ujenzi wa daraja linalojengwa kwa nguvu za wananhi mtaa wa Kanuni 6,000,000.00 Mradi haujatekelezwa

10 Msigani Kuchangia ujenzi wa kivuko cha kudumu Msigani 3,085,000.00 Kazi imekamilika
Kuchangia mradi wa maji Msigani 3,500,000.00 Mradiumekamilika
11 Goba Kuchangia mradi wa maji Goba 3,000,000.00 Kazi ilifanyika kwa kulipa sehemu ya bill ya maji
Kuchangia ujenzi wa kivuko cha waenda kwa miguu eneo la Kulangwa kata ya Goba 5,000,000.00 Mradi umekamilika
12 Makuburi Kuchangia mradi wa maji katika eneo la Makoka - Uluguluni 10,000,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ujenzi wa kalvati na matengenzo ya barabara katika eneo la Ubungo Islamic sec.school mtaa wa Kibangu 10,000,000.00 Ujenzi umeanza
13 Manzese Kuwawezesha wanakikundi cha usafi wa mazingira ha mtaa wa Muungano kata ya Manzese 5,000,000.00 Kikundi kilikabidhiwa fedha kupitia uongozi wa kata ya Manzese
Ununuzi wa madawati 120 kwa ajili ya shule za msingi Ukombozi,Manzese,Uzuri na Kilimani 12,000,000.00 Madawati ya menunuliwa na kukabidhiwa katika shule za msingi Ukombozi,Manzese,Uzuri na Kilimani
14 Sinza Kuchangia ujenzi wa kituo cha Polie Sinza C 10,000,000.00 Kazi ya ujenzi inaendelea
JUMLA KUU 2333,302,796.00

S/NA KATA/MTAA JINA LA KIKUNDI MRADI VIFAA WANAVYO HITAJI MCHANGO WA WANACHI KIASI KILICHO OBWA MAONI YA OFISI YA MH:MBUNGE
1 MAKURUMLA/KINONDONI MANISPAA KINONDONI VIJAZNZA SACCOS SACCOS Komputa 3 za thamani ya tshs 1,5000,000.00 kifaa cha kuifadhia fedha (kiasi cha 600,000.00 2,100,000 1,100,000
2 UBUNGO UMOJAWA WANAWAKE UBUNGO TANESCO Kutengeneza sabuni Vifaa vya kutengeneza sabuni 2,975,000 1,500,000
Mapambo na usafiri Vifaa vya kupambia 930,000 0
3 MANZESE/KILIMANI PRUDENSI WOMAN SACCOS Kutotoa vifaranga Mashine ya kutotoa vifaranga 500,000 2,800,000 1,500,000
4 MBURAHATI JIPE MOYO WOMAN DEV(JIMOWODE) Kutengeneza sabuni za maji na vipande Vifaa vya kutengeneza sabuni 5,000,000 1,400,000
5 GOBA TUINUANE GROUP Mashine ya kutotolea vifaranga 4,000,000 1,900,000 1,500,000
6 KIMARA MELENIA YA TATU Kushona nguo na kudarizi Mashine za kushona nguo na kudarizi,mikasi na nyuzi 1,000,000 1,000,000
7 KIMARA-BARUTI-KITONGOJI CHA MATETE JUHUDI GROUP Kushona nguo na kudarizi 1,000,000 1,000,000
8 MABIBO GENDER TRAINING INSTITUTE Center for feminist leadership Printer hp 400n series (oloured) 450 and · Utp cable 20m….30,000.00 · Bookshelf 1 kubwa 200,000.00 1,000,000 1,000,000
JUMLA KUU 10,000,000


MIRADI YA JIMBO AMBAYO IMEPATIWA FEDHA KWA MWAKA 2013/2014 S/NA KATA MRADI GHARAMA
1 Mburahati Fedha kwa ajili ya malipo ya bili ya umeme kwa visima vitatu, cha Mbandeko, Bi Asia,Na cha Mama Anna Mkapa. 3,000,000.00
2 Saranga Kuhangia ujenzi wa chumba cha maktaba katika sekondari ya Mavurunza 15,000,000.00
3 Kwembe Kununua makalvati kwa ajili ya kuweka vivuko vya kuunganisha mitaa ya Mpakani,King’azi,Kisopwa,Kwembe na Luguluni 10,500,000.00
4 Sinza Ujenzi wa vivuko katika mitaa ya Sinza E(6 milion) na Sinza D(4milion) 10,000,000.00
5 Msigani Kuchangia ujenzi wa Zahanati ya Malamba Mawili 10,000,000.00
6 Goba Ujenzi wa kituo cha Polisi 12,000,000.00
7 Kimara Kisima cha maji 10,000,000.00
8 Makurumla Uchimbaji wa kisima ha maji mtaa wa sisi kwa sisi 10,000,000.00
9 Makurumla Ujenzi wa kivuko ha waenda kwa miguu mtaa wa kwa jongo 7,000,000.00
JUMLA 87,000,000.00

Mbona hii hamuizungumzii. Mnacho kitaka sindo hicho hapo
 
Tumekuwa tukilaumu sana safari za J.Kikwete Ulaya na kusahau kutembelea na kutatua matatizo ya wananchi wake, hali hii napenda niifananishe na Mbunge wangu Mnyika yeye kila siku kimguu na njia ila mtaani kwetu haonekani.

Hatujakuchagua kuwa mbunge wa magazeti, kumbuka ni sisi wana Ubungo tuliokufanya ufikie hapo.

Nawasilisha na hii ni maalumu kwa wana Ubungo

Haya nimesha yazungumza hapo nyuma lakini naona sikueleweka. Tatizo kubwa ni kwa hawa jamaa kutoa ahadi kem kem wakati wa kampeni, ahadi ambazo anajua kabisa ziko juu ya uwezo wake. Sasa ili kukwepa maswali ya wananchi logically mbunge hawezi onekana jimboni. Utasikia anapita juu kwa juu huyooo kama mwewe wa clouds tv. Ukiwabana saana watakwambia kwani wao ndio wanakusanya kodi. Yaani ni ufisadi wa kisiasa typical. Watu kama hawa inatakiwa wafunguliwe mashtaka kwa sababu ni kama wizi wa kuaminika. Wanashawishi watu wanaamini kwa ahadi wanazotoa. Mwisho wa siku wanaingia mitini.wajameeen tubadilike
 
Tumekuwa tukilaumu sana safari za J.Kikwete Ulaya na kusahau kutembelea na kutatua matatizo ya wananchi wake, hali hii napenda niifananishe na Mbunge wangu Mnyika yeye kila siku kimguu na njia ila mtaani kwetu haonekani.

Hatujakuchagua kuwa mbunge wa magazeti, kumbuka ni sisi wana Ubungo tuliokufanya ufikie hapo.

Nawasilisha na hii ni maalumu kwa wana Ubungo

wewe ndiye uliyetangaza kugombea Ubungo kupitia ile taasisi ya ---------???
 
Wewe kila siku na Mnyika.....

Nenda mitaani kawaambie kuhusu Mnyka..... Unafikiri hapa kuna wana Ubungo wangapi???

Sanasana utaungwa mkono na watu wa Kigoma ambao hawatakusaidia chochote.
 
Watu kama Nyie ndio mnatakiwa kunyongwa. Mnyika Sio mbunge wa Ubungo bali ni mbunge wa watanzania wote wanyonge, ungekuwa una akili usinge kubali kutumiwa kijinga hivi

Hapa Hakuna viraza ndugu ambao unaweza kuwadanganya na huu uzushi wako
 
Mbezi magari saba huwezi fika kwako na gari.

We muongo sana,magari 7 ipi haipitiki?pale mwanzoni kuna udongo mfinyanzi mvua ndo imepaharibu tu ila greda ilitengeneza mwez wa pili tu magari saba yote mpaka mshikamano s/msingi,mbezi in,njeteni,makondeko,kwembe,kwa yusufu(mbezi high).ukipita angalia alama za jembe la greda.Magar 7 ile ya moon rise bar ni mkondo wa maji tupu ndomana hakuna njia.Liar....!Nimepita sana mitaa hiyo.mnyika hana tatizo na wananchi wake ila bajeti za serikali ndio zinakwamisha jimbo la ubungo.
 
Wote wanamkosoa Mnyika tutajieni mradi wowote wa kuijenga ubungo ambao Mnyika amekula.au kero yoyote ambayo ipo ubungo halafu mnyika hajaipigania!mpeni haki yake Mnyika.
 
MIRADI ILIYOTEKELEZWA KWA MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO TOKA 2010/2011, 2012/2013 NA 2013/2014. S/NA KATA MRADI GHARAMA TSH. HALIHALISI YA UTEKELEZAJI
1 Kwembe Ukarabati wa jingo la kutolea huduma ya afya kwa akina mama na watoto (MCH). 27,245,433.00 Mradi umekamilika
2 Ubungo Kuchangia ujenzi wa police post eneo la Golani (awamu ya kwanza) 5,991,700.00 Mradi upo katika hatua ya umaliziaji.
MRADI GHARAMA TSH HALIHALISI YA UTEKELEZAJI
Ubungo Umaliziaji wa kituo cha police msewa(awamu ya pili) 5,99,1,700.00 Mradi upo katika hatua ya umaliziaji
Kuchangia ujenzi wa kivuko cha waendao kwa miguu eneo la Mewe – Kibo kata ya Ubungo 5,000,000.00 Mradi umekamilika
Ujenzi wa kivuko cha waendao kwa miguu kwa mtaa wa kibo 4,500,000.00 Mradi umetekelezwa
3 Kibamba Ujenzi wa choo katika shule ya sekondari Hondogo 22,000,000.00 Mradi umekamilika
Umaliziaji wa choo cha shule ya sekondari Gogoni 10,000,000.00 Kazi haijatekerezwa
4 Mburahati Ununuzi wa wa madawati 200 ya shule ya sekondari Mburahati Tsh.65,000 13,000,000.00 Madawati 200 yalinunuliwa na kukabidhiwa katika shule ya sekondari Mburahati
Kuchangia Ujenzi wa Kingamaji katika eneo la Barafu kata ya Mburahati 1,659,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ujenzi wa kalvati katika eneo la National Housing kata ya Mburahati(awamu ya kwanza) 4,792,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ujenzi wa kalvati katika eneo la Nationl Housing kata ya Mburahati(awamu ya pili) 3,000,000.00
Kukarabati visima vya maji MBADECO,KWA BI ASIA na ANNA MKAPA na ujenzi wa kalvati eneo la National Housing 10,500,000.00 Kazi inaendelea
5 Kimara Kuchangia vifaa vya ujenzai wa kituo cha police 2,000,000.00 Mradi umepatiwa tofali 2,000 za inchi 5 na nondo za mm.16PCS 10
6 Saranga Matengenezo ya barabara ya Kibanda cha mkaa hadi kwa Abasi - Kimara B 4,000,000.00 Mradi umekamilika
S/NA KATA MRADI GHARAMA TSH. HALI HALISI YA UTEKELEZAJI
7 Mbezi Kuchangia ujenzi wa kivuko cha waenda kwa miguu eneo la saba kata ya Mbezi 75,00,000.00 Mradi hauja tekelezwa na fedha ziko katika akaunti ya kata ya Mbezi
Kuchangia mradi wa maji wa kuweka by pass kwa ajili ya Makabe,Msakuzi na Mpiji Magohe 4,210,000.00 Kazi ya kuweka by pass imekamilika
Ununuzi wa madawati 120 kwa ajili ya shule ya msingi Msumi kata ya Mbezi 12,000,000.00 Madawati yamenunuliwa na kukuabidhiwa katika shule ya msingi Msumi
8 Makurumla Ujenzi wa kivuko cha waendao kwa miguu katika eneo la Jogingi kata ya Makurumla 7,000,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia uchimbaji na upanuzi wa mfereji wa maji ya mvua eneo la daraja la Mwinyi katika kata ya Makurumla 3,000,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ukarabati wa madarasa 2 ya shule za msingi Mianzini kata ya Makurumla 5,000,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ujenzi wa kivuko kinacho unganisha mtaa wa Kilimahewa 7,500,000.00 Mradi umekamilika
9 Mabibo Ujenzi wa kivuko cha waenda kwa miguu Mabibo kisiwani 2,500,000.00 Mradi umekamilika
Ujenzi wa mifereji katika Zahanati ya Mabibo 2,500,000.00 Mradi umekamilika
Mradihaujatekelezeka na fedha za mradi huu zimebadilishwa matumizi.Fedha hizo zilitumika kujenga kivuko cha waenda kwa miguu katika mtaa wa Kanuni
S/NA KATA MRADI GHARAMA TSH HALI HALISI YA UTEKELEZAJI
Kuhangia mradi wa ujenzi wa daraja linalojengwa kwa nguvu za wananhi mtaa wa Kanuni 6,000,000.00 Mradi haujatekelezwa

10 Msigani Kuchangia ujenzi wa kivuko cha kudumu Msigani 3,085,000.00 Kazi imekamilika
Kuchangia mradi wa maji Msigani 3,500,000.00 Mradiumekamilika
11 Goba Kuchangia mradi wa maji Goba 3,000,000.00 Kazi ilifanyika kwa kulipa sehemu ya bill ya maji
Kuchangia ujenzi wa kivuko cha waenda kwa miguu eneo la Kulangwa kata ya Goba 5,000,000.00 Mradi umekamilika
12 Makuburi Kuchangia mradi wa maji katika eneo la Makoka - Uluguluni 10,000,000.00 Mradi umekamilika
Kuchangia ujenzi wa kalvati na matengenzo ya barabara katika eneo la Ubungo Islamic sec.school mtaa wa Kibangu 10,000,000.00 Ujenzi umeanza
13 Manzese Kuwawezesha wanakikundi cha usafi wa mazingira ha mtaa wa Muungano kata ya Manzese 5,000,000.00 Kikundi kilikabidhiwa fedha kupitia uongozi wa kata ya Manzese
Ununuzi wa madawati 120 kwa ajili ya shule za msingi Ukombozi,Manzese,Uzuri na Kilimani 12,000,000.00 Madawati ya menunuliwa na kukabidhiwa katika shule za msingi Ukombozi,Manzese,Uzuri na Kilimani
14 Sinza Kuchangia ujenzi wa kituo cha Polie Sinza C 10,000,000.00 Kazi ya ujenzi inaendelea
JUMLA KUU 2333,302,796.00

S/NA KATA/MTAA JINA LA KIKUNDI MRADI VIFAA WANAVYO HITAJI MCHANGO WA WANACHI KIASI KILICHO OBWA MAONI YA OFISI YA MH:MBUNGE
1 MAKURUMLA/KINONDONI MANISPAA KINONDONI VIJAZNZA SACCOS SACCOS Komputa 3 za thamani ya tshs 1,5000,000.00 kifaa cha kuifadhia fedha (kiasi cha 600,000.00 2,100,000 1,100,000
2 UBUNGO UMOJAWA WANAWAKE UBUNGO TANESCO Kutengeneza sabuni Vifaa vya kutengeneza sabuni 2,975,000 1,500,000
Mapambo na usafiri Vifaa vya kupambia 930,000 0
3 MANZESE/KILIMANI PRUDENSI WOMAN SACCOS Kutotoa vifaranga Mashine ya kutotoa vifaranga 500,000 2,800,000 1,500,000
4 MBURAHATI JIPE MOYO WOMAN DEV(JIMOWODE) Kutengeneza sabuni za maji na vipande Vifaa vya kutengeneza sabuni 5,000,000 1,400,000
5 GOBA TUINUANE GROUP Mashine ya kutotolea vifaranga 4,000,000 1,900,000 1,500,000
6 KIMARA MELENIA YA TATU Kushona nguo na kudarizi Mashine za kushona nguo na kudarizi,mikasi na nyuzi 1,000,000 1,000,000
7 KIMARA-BARUTI-KITONGOJI CHA MATETE JUHUDI GROUP Kushona nguo na kudarizi 1,000,000 1,000,000
8 MABIBO GENDER TRAINING INSTITUTE Center for feminist leadership Printer hp 400n series (oloured) 450 and · Utp cable 20m….30,000.00 · Bookshelf 1 kubwa 200,000.00 1,000,000 1,000,000
JUMLA KUU 10,000,000


MIRADI YA JIMBO AMBAYO IMEPATIWA FEDHA KWA MWAKA 2013/2014 S/NA KATA MRADI GHARAMA
1 Mburahati Fedha kwa ajili ya malipo ya bili ya umeme kwa visima vitatu, cha Mbandeko, Bi Asia,Na cha Mama Anna Mkapa. 3,000,000.00
2 Saranga Kuhangia ujenzi wa chumba cha maktaba katika sekondari ya Mavurunza 15,000,000.00
3 Kwembe Kununua makalvati kwa ajili ya kuweka vivuko vya kuunganisha mitaa ya Mpakani,King’azi,Kisopwa,Kwembe na Luguluni 10,500,000.00
4 Sinza Ujenzi wa vivuko katika mitaa ya Sinza E(6 milion) na Sinza D(4milion) 10,000,000.00
5 Msigani Kuchangia ujenzi wa Zahanati ya Malamba Mawili 10,000,000.00
6 Goba Ujenzi wa kituo cha Polisi 12,000,000.00
7 Kimara Kisima cha maji 10,000,000.00
8 Makurumla Uchimbaji wa kisima ha maji mtaa wa sisi kwa sisi 10,000,000.00
9 Makurumla Ujenzi wa kivuko ha waenda kwa miguu mtaa wa kwa jongo 7,000,000.00
JUMLA 87,000,000.00

Mbona kuna aliye leta mchanganuo wa nini kimefanywa na kipi kipo kinaendelea na kipi hakijafanywa. Mbona hamviongelei. Mnalengo gani nyinyi maccm

Asantee sana sana kaka kwa mchanganuo mzuri make maccm yameendelea kueneza propaganda tu bila kua na data
P**mbavuu sanaa
 
Mwaka huu atumwi mtu dukani kitaeleweka tu. Tumejipanga kuakikisha maccm yanafunga virago.
 
Back
Top Bottom