Mnyika apanda daladala!

Mnyika apanda daladala!

Lua

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
704
Reaction score
305
Mbunge wa Ubungo kamanda John Mnyika aungana na wananchi waliokuja Katika mkutano uliofanyika Katika viwanja Vya Kibaha Maili Moja mara tu mkutano ulipokwisha.

Kwa ushuhuda cheki picha chini

attachment.php
 

Attachments

  • mnyika-daladala.jpg
    mnyika-daladala.jpg
    48.4 KB · Views: 6,158
Glitter with Radiant Character...Mfano wa kuigwa kwa vijana wengi wa kitanzania...
 
Huyo jamaa yuko real,he is not fake hata gari aanayoendesha Dar ni Vits..hana màkuu
 
Huyo anazuga tu,hana lolote! Hapo mnashangaa nini,kaamua mwenyewe! Angeuza kabisa gari lake na aache kuchukua posho.Wanasiasa wa bongo ni mafisi tu,njaa inawasumbua!hawa wanafaa kupigwa mawe popote wapitapo,bungeni vita ya kijinga,vita ya matumbo yao na hawana lolote zaidi ya kujitafutia umaarufu.Eti ndani ya daladala, pambafu!
 
Huyo anazuga tu,hana lolote! Hapo mnashangaa nini,kaamua mwenyewe! Angeuza kabisa gari lake na aache kuchukua posho.Wanasiasa wa bongo ni mafisi tu,njaa inawasumbua!hawa wanafaa kupigwa mawe popote wapitapo,bungeni vita ya kijinga,vita ya matumbo yao na hawana lolote zaidi ya kujitafutia umaarufu.Eti ndani ya daladala, pambafu!
wewe ndie pambafu kumshambulia mtu anayepanda daladala na kuwaacha watu waoagiza mashangingi kila kukicha au wanaotumia mabilioni kununua ndege mbovu au wanaotumia mabilioni kununua rada za deal. kuhusu posho ulikuwa wapi wewe Gamba wakati chadema ilipokuwa ikidai posho zisizo za msingi zifutwe ?? l

please acha ukali wako wa kinafiki gamba la kijani Pilitoni
 
kwa kweli kuna viongozi wengi sana hata kwa kujifanyisha hiki kitendo hawawezi kufanya.
safi sana kamanda JJ Mnyika
 
hakuna umaarufu hapo....kama daladala amezipanda sana tu kwa hiyo hata akipanda leo hii watu wanaona kawaida na yeye mwenyewe anaona kawaida, sasa wale wabunge watoto wa vigogo ambao wamekulia kwenye magari ya serikali wakipanda daladala ndio tunaweza sema wanatafuta umaarufu
 
Hakuna mtu ambaye yuko mtimilifu kwa kila jambo na hii inatokana na utashi na mawazo ya kila mmoja ndio maana hata ukifanya baya kuna watakao kusifu kwani ubaya ndio chaguo lao, na pia wapo watu ukifanya vema watakuunga mkono kwani uzuri ndio chaguo lao, Jembe Mnyika fanya unachoona ni sawa tunakuunga mkono.
 
Wajinga ndiyo.....muulizeni vipi kuhusu milioni 90 za gari alizochukuwa bungeni.
 
Huyo anazuga tu,hana lolote! Hapo mnashangaa nini,kaamua mwenyewe! Angeuza kabisa gari lake na aache kuchukua posho.Wanasiasa wa bongo ni mafisi tu,njaa inawasumbua!hawa wanafaa kupigwa mawe popote wapitapo,bungeni vita ya kijinga,vita ya matumbo yao na hawana lolote zaidi ya kujitafutia umaarufu.Eti ndani ya daladala, pambafu!
Wewe unataka akale wapi?? Posho ni haki yake anastahili Posho,,Hata vitabu vya dini vimesema asiyefanya kazi na asile.Kijana anapiga kazi mwache ale,Siyo kama wale Raia/Gambazzz wanalala tu Bungeni
 
Sioni ajabu kwa kiongozi kama Mnyika kupanda daladala,kwa wanaobeza hili basi watupe mfano wa viongozi wao wenye mashangingi ya bei mbaya na wakaamua kupanda daladala.
 
Back
Top Bottom