TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,868
- 5,753
Ni wajinga tu wanaoweza kumbeza Dr. Slaa.
Mbowe ndo mchagga halisi. Anajua maana ya shilingi.Kilichomkuta Dr. Slaa, ni kutaka kuwa na uhakika wa chadema kuwepo hata baada ya uchaguzi kitu ambacho Mbowe na wenzake hawakutaka kabisa kufikiria. Mbowe na wenzake walikumbwa na upepo wa Lowassa na kuamua kuungana naye bila kutafakari hatima ya chadema baada ya uchaguzi. Sawa na kujiunga na mdundiko bila kujua utaishia wapi. Kazi inakuwa kurudi nyumbani mdundiko ukiisha.
Tukifananisha ya Dr. Slaa na kisa Samson na Delila, maana yake mwisho wa chadema sio mzuri. Kumbuka baada ya Samson kunyolewa nywele alitobolewa macho. wakaendelea na sherehe wakiwa wamesahau kuwa nywele za Samson zinakua na baada ya nywele kukua Samson alimwomba Delila ampeleke kwenye nguzo kubwa ya katikati alipoifikia aliikumbatia na kitikisa. kilichotokea kila mmoja anajua, si samson, Delila na watesi wa Samson aliyebaki, maana nyumba iliwaangukia wote wakiwa ndani na hakuna aliyepona.
Tunasema kuna maisha hata baada ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, je? na mambo yakawa ndivyo sivyo, ni nani kati ya Mbowe na Dr. Slaa ambaye akisimama jukwaani wananchi watamwelewa
Kamanda saa zingine unakua unapotoka. Hili bandiko si la afya sana, ila pia halifafanui kayasema hayo wapi, lini na akiwa anafanya nini. Vitu vingine bora potezea tu Mkuu.Mnyika amemtetea vikali Dr.Slaa na kupingana na wale wanaomkejeli na kumuona hana mchango CHADEMA.
Mnyika anasema Dr.Slaa anao mchango wake na yaliyomkuta ni mambo kama yaliyowahi kumkuta Samsoni kwa Delila.
Naomba kuisha hapa.
Kumtusi Dr Slaa ni upeo Mdogo wa kisiasa.
Dr slaa hana kosa mbowe ndiyo wa hovyo kauza chama kwa mafisadi papa.
Kumtusi Dr Slaa ni upeo Mdogo wa kisiasa.
Kilichomkuta Dr. Slaa, ni kutaka kuwa na uhakika wa chadema kuwepo hata baada ya uchaguzi kitu ambacho Mbowe na wenzake hawakutaka kabisa kufikiria. Mbowe na wenzake walikumbwa na upepo wa Lowassa na kuamua kuungana naye bila kutafakari hatima ya chadema baada ya uchaguzi. Sawa na kujiunga na mdundiko bila kujua utaishia wapi. Kazi inakuwa kurudi nyumbani mdundiko ukiisha.
Tukifananisha ya Dr. Slaa na kisa Samson na Delila, maana yake mwisho wa chadema sio mzuri. Kumbuka baada ya Samson kunyolewa nywele alitobolewa macho. wakaendelea na sherehe wakiwa wamesahau kuwa nywele za Samson zinakua na baada ya nywele kukua Samson alimwomba Delila ampeleke kwenye nguzo kubwa ya katikati alipoifikia aliikumbatia na kitikisa. kilichotokea kila mmoja anajua, si samson, Delila na watesi wa Samson aliyebaki, maana nyumba iliwaangukia wote wakiwa ndani na hakuna aliyepona.
Tunasema kuna maisha hata baada ya uchaguzi. Baada ya uchaguzi, je? na mambo yakawa ndivyo sivyo, ni nani kati ya Mbowe na Dr. Slaa ambaye akisimama jukwaani wananchi watamwelewa
Slaa, Rais wa mioyoni mwa bavicha: Naukumbuka sana msemo huu.
Watu wanaenda kuchukua Nchi ,wewe bado unawazia kuendelea kuwa mpinzani!?
ushahidi wa nini sasa
Mnyika amemtetea vikali Dr.Slaa na kupingana na wale wanaomkejeli na kumuona hana mchango CHADEMA.
Mnyika anasema Dr.Slaa anao mchango wake na yaliyomkuta ni mambo kama yaliyowahi kumkuta Samsoni kwa Delila.
Naomba kuisha hapa.
Wanaosema lowasa ni fisadi labda ni walio ingia tz jn ila ukiulizwa fisadi nyangumi ni kikwete na riziwani walioingia ikulu kwa baiskeli.lkn wametoka na viwanda lukuki bgmy,ndege,sheli za mafuta,hoteli na rasilimali zt za tz wamewauzia wachina na usa.....dr slaa angekuwa mtu wa maana asingenunuliwa km peremende hvy..
FISIEM HOVYO..UKAWA DAIMA
Unaanzisha process ya kumpokea mtu usiye weza kushare naye chama!